Kamjadili meco kwa pilatoMbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.
Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama.
Sisi tufikirie namna ya kuhakikisha taifa letu linapambana na uharifu, kujenga shule hospital na ajira za jeshi la polisi.
Nawakilisha kuwa Mbowe sio kama hayati Mtikila.
Ndiyo sifa yao haoKwahiyo tujikite kuwaunga mkono na kuwatetea wauza ubongo pale geti la kijani sio?
Mbowe ni mwizi na jambazi sugu, Mwisho wake umefika na yeye anajua hiloMbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.
Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama...
Uhalifu kama huu unaofanywa mbibi siyo!Kudhibiti uhalifu na kujenga shule.
Msengerema hata kuandika huwezi.Mbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.
Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama...
Shoga babako. K mbovu wewe.Nakupiga block we shoga
tujadili ajira za jeshi la polisi. nikuambie yu hili halikuhusu. wataajiri wanapotaka wanavyopenda wao. havidiliwi. waachie polisi wenyeweMbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.
Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama....
jifunze kuandika kwanzaHapana, tupinge uharifu, na kudai maendeleo.
KaoleweMbowe ni pebari amabaye yeye anajali tumbo lake na biashara zake.
Kwamba ametiwa mikononi mwa wazee hilo tuliachie polisi na mahakama.
Sisi tufikirie namna ya kuhakikisha taifa letu linapambana na uharifu, kujenga shule hospital na ajira za jeshi la polisi.
Nawakilisha kuwa Mbowe sio kama hayati Mtikila.
Bwashee ni lazima mtofautishe Chadema na Mbowe!Nafahamu kuwa hayo ndio matamanio yako na ndiyo matamanio ya wabambikaji,hapa unakuja kuwachora watu.
Kwa sasa shughuli zote za chama zimesimama.utawaambia nn wana ufipa kuhusu mbowe wakakuelewa, mbowe hajawahi kutenda dhambi bana
Utatofautishaje kati ya ugaidi wa mbowe (kama kweli) na uhusiano wa siasa? (Upinzani)Bwashee ni lazima mtofautishe Chadema na Mbowe!
Kwa CCM hii siasa ni uadui tena wa juu snTuhuma za ugaidi anazotuhumiwa nazo Freeman Mbowe hazina uhusiano wowote na chama chake cha CHADEMA lakini Viongozi wa CHADEMA wameifanya kesi hiyo ni kama vile ina mahusiano na utendaji wa shughuli za kila siku za chama jambo ambalo ni hatari endapo Freeman atatiwa hatiani na mahakama.
Tunakumbushana tu, siasa siyo uadui.
Mungu ni mwema wakati wote!
Naunga mkono hoja yakoWafute tu roho za maccm ziridhike uzuri ubaya hauna kwao utawarudia tu
Na kijani ni maharamia mabambikajiChadema ni magaidi