IGP Sirro: Hatuna barua ya kumkamata Askofu Gwajima, utaratibu ufuatwe

IGP Sirro: Hatuna barua ya kumkamata Askofu Gwajima, utaratibu ufuatwe

Hii ina maana jeshi police lipo upande wa Askofu Gwajima. Na wala haitaji kupepesa macho. Waziri akatafute police wake huko anakojua yeye.
Amchukue kwa mkopo aiiigiiipiiii w Afghanistan....
aiiigiiiipiiiii.jpg
 
Sirro ndiyo IGP wa hovyo kuwahi kutokea kwenye hii Nchi.Nimeanza kuelewa kwanini Mambosasa alikuwa anamdharau sana hadi Sirro akaleta Mipasho kuwa Mambosasa ni mshamba.
 
Sasa imejulikana ni akina nani wapo nyuma ya askofu gwajima na kwa jeuri hii ya afande sirro huenda hata Rais Samia akawa yupo mifukoni mwa watu
Ambalo pengine mama hajalifahamu ni kwamba anazungukwa na watu wenye nia ovu juu yake, muda utaongea.
 
Hata akikamatwa ni sawa na bure tu. mwili utakuwa gerezani mawazo yalisha zagaaa mtaani kazi ni kwa vibaraka wa siasa uchwala
 
Anaye weza kusimami mwelekeo mzuri wa nchi hii kwa sasa ni mmoja tu CDF Mabeyo kama alivyo simamia mama kupewa nchi toka mikononi kwa Mahafadhina wa CCM waliotaka kumpora.

Hivyo asimamie tupate KATIBA tuishi kwa haki na Amani hii ya kukamatana hovyo iondoke. Mabeyo Mungu alikuandaa kukomboa nchi hii wewe ni Mcha Mungu wa kweli FSimamia hili Unauwezo nalo kama ulivyo wazima Mahafadhina wa CCM wakina Luku na kundi lake
 
Mwana CCM akitaka kukamatwa lazima barua ya maandishi itokee...[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
View attachment 1896435

Nakumbuka Makonda amewahi kuwaagiza polisi kumkamata Mbowe baada ya kumtaja kwenye orodha ya madawa ya kulevya. Sirro hakusubiri maandishi. Makonda huyohuyo akaagiza Aabdul Nondo akamatwe kwa tuhuma za kujiteka. Sirro hakusubiri maandishi, licha ya kwamba yalikua maelekezo ya Mkuu wa mkoa tu. Leo Waziri katoa maelekezo anasema anasubiri maandishi?

Anyway ni barua gani Sirro alipewa kuwakamata vijana wa Chadema waliokua ibadani huko Mwanza juzi jumapili? Je Sirro alipewa barua na nani kumkamata Askofu Mwamakula na Prof.Azavel Lwaitama usiku wa manane hotelini kama majambazi na kuwaweka rumande bila hatia? Sirro alipewa barua na nani kuwakamata vijana wanaokwenda mahakamani kufuatilia kesi ya Mwenyekiti Mbowe? Why these double standards?

Credit: Malisa GJ
Utawala uliofikinika na unaofitinishwa na wasimamia sheria wa taifa hili.
 
Kwa hivyo tuhuma mama kula mlungula kurusu chanjo ni jambo la kupuuza?
Ni kweri alikula,mm natamani mda wake wa kulidhi upite twende kwenye uchaguzi,halafu aje lissu tuone kama atahimili supana za lissu.
 
Back
Top Bottom