Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Umeona eenhh??!!!...Gwajima angekuwa mpinzani angekuwa analalia sakafu mahabusu muda mrefu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona eenhh??!!!...Gwajima angekuwa mpinzani angekuwa analalia sakafu mahabusu muda mrefu tu.
Tutampa na Zawadi.Barua za kuwakamata wapinzani, aliyebahatika kuiona japo moja, atupe ushuhuda tasafali.
Amchukue kwa mkopo aiiigiiipiiii w Afghanistan....Hii ina maana jeshi police lipo upande wa Askofu Gwajima. Na wala haitaji kupepesa macho. Waziri akatafute police wake huko anakojua yeye.
Kama Dc ana mamlaka ya kukuweka ndani waziri anakosaje kwa mfano?!Waziri hana mamlaka ya kuamrisha mtu akamatwe kiholela namna hiyo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Amchukue kwa mkopo aiiigiiipiiii w Afghanistan....View attachment 1896469
Ambalo pengine mama hajalifahamu ni kwamba anazungukwa na watu wenye nia ovu juu yake, muda utaongea.Sasa imejulikana ni akina nani wapo nyuma ya askofu gwajima na kwa jeuri hii ya afande sirro huenda hata Rais Samia akawa yupo mifukoni mwa watu
He is 58, kwani yeye hajui kama atastaafu? Mwacheni atimize majukumu yake.Ila SIRRO pia sku zako zahesabika!
Changamoto sanaHaswaaa, serikali haiongei lugha moja
mkuu kwani mtuhumiwa huwa anakamatwa kwa maneno ya Kiongozi tu au kwa kutuhumiwa kuvunja sheria?!waziri wa Afya hana polisi mwenye polisi ni RC na DC.
Utawala uliofikinika na unaofitinishwa na wasimamia sheria wa taifa hili.View attachment 1896435
Nakumbuka Makonda amewahi kuwaagiza polisi kumkamata Mbowe baada ya kumtaja kwenye orodha ya madawa ya kulevya. Sirro hakusubiri maandishi. Makonda huyohuyo akaagiza Aabdul Nondo akamatwe kwa tuhuma za kujiteka. Sirro hakusubiri maandishi, licha ya kwamba yalikua maelekezo ya Mkuu wa mkoa tu. Leo Waziri katoa maelekezo anasema anasubiri maandishi?
Anyway ni barua gani Sirro alipewa kuwakamata vijana wa Chadema waliokua ibadani huko Mwanza juzi jumapili? Je Sirro alipewa barua na nani kumkamata Askofu Mwamakula na Prof.Azavel Lwaitama usiku wa manane hotelini kama majambazi na kuwaweka rumande bila hatia? Sirro alipewa barua na nani kuwakamata vijana wanaokwenda mahakamani kufuatilia kesi ya Mwenyekiti Mbowe? Why these double standards?
Credit: Malisa GJ
Ni kweri alikula,mm natamani mda wake wa kulidhi upite twende kwenye uchaguzi,halafu aje lissu tuone kama atahimili supana za lissu.Kwa hivyo tuhuma mama kula mlungula kurusu chanjo ni jambo la kupuuza?