Johnson Fundi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,386
- 1,207
neeeeyo!!!!Ingekuwa Mbowe? Au mwana Chadema? Mbona ingebidi mabalozi wa mabeberu waingilie kati?
Hiiiiii bagosha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
neeeeyo!!!!Ingekuwa Mbowe? Au mwana Chadema? Mbona ingebidi mabalozi wa mabeberu waingilie kati?
Hiiiiii bagosha!
kosa la Gwajima ni lipi mpaka akamatwe?
Uoneshwe wewe kama nani?Kwahiyo wanapo kamatwa wale wanaombambikiwa kuna maandishi rasmi ya maelekezo sio,basi tuonyeshwe maelekezo hayo ya Kamata Kamata yanayoelekezwa kwao tasafali.au ndio mwendo ya maigizo ya sang.
Mbona Petrobas Katambi aliaguza polisi kumkamate Yule mshikaji na akakamatwa?Toka lini waziri akawa amiri jeshi? Yaani waziri atoe amri kwa jeshi? Tukiendekeza hilo kuna siku we waziri Mulamula ataamrisha jwtz ivamie Malawi!
anaonekana ana watuKwa hii kauli ya Sirro Askofu Gwajima ameshashinda tayari asubuhi na mapema.
eti tuhuma hizi ziangaliwe kwa mazungumzo?Kwa hivyo tuhuma mama kula mlungula kurusu chanjo ni jambo la kupuuza?
MBONA WAPINZANI MNAWAKAMATA BILA BARUA? ACHA UFALA WEWE ZIRROIGP Sirro amesema kuwa jeshi la polisi linaendeshwa kwa maandishi na kuna taratibu hivyo wanasubiri barua kutoka kwa waziri ili waangalie wanatekeleza vipi agizo lak
Mbona Petrobas Katambi aliaguza polisi kumkamate Yule mshikaji na akakamatwa?
Wapi aliposema Rais amepokea rushwa?Makosa ya Askofu Gwajima ni wazi:
1. Hadharani amewatuhumu Rais na wasaidizi wake kwa rushwa.
Amehamashisha vile serikali ilivyopendekeza, hiari ya kuchanja ama kutokuchanja.2. Hadharani amehamasisha watu dhidi ya serikali.
Sana sana anachofanya ni kusisitiza mapendekezo ya Rais kuwa watu wanahiari ya kutochanja.3. Kwenye #2 hapo amekuwa akitumia maneno ya dharau, kejeli, kuudhi, dhidi ya Mh. Rais na serikali.
Mbona wanaohamashisha kuchanja hawatuhumiwi kufanya makosa?Haya yote ni makosa kisheria kwani kwa kila moja upo ushahidi wa watu waliokwisha kukamatwa, kushitakiwa na hata kuhukumiwa.
Gwajima, Sirro japo mmoja Ang'oke
Bila shaka, maana hii kauli ya IGP ni ya kumbeza moja kwa moja Waziri.anaonekana ana watu
Acha waumane kisawasawa,nafurahi mimi.Kile Kimwanamke kimemuanika mwenzake lkn chenyewe kusemwa kidogo tu kinakimbilia polisi, pumbavu zake ndio maana sio kizuri.Kikomae kujibu hoja za Askofu Gwajima .Gwajima hakamatiki, wakizubaa Jumapili ataendeleza zoezi la kupambana na chanjo ya corona, safari hii atamshughulikia Dorothy [emoji1787]
Hapo ujue Polisi wameanza kujirudi baada ya aibu ya Kawekamo.Atuonyeshe na maandishi ya maelekezo ya Kawekamoo .