binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Natamani nione comment yako iliyowahi kutetea uhai wa maelfu ya watu waliouwawa na polisi wetu, watu wasio na hatia. Mfano tu wale wa zanzibar mwaka jana.Hayo maneno si kitu kabisa unapolinganisha na kosa kubwa alofanya Msomali la kuua watu wasio na hatia!
Uhai wa binadamu unathamani kubwa sana isiyo mithiri.
Uhai wa mwanadamu ukishapotea hauwezi kupatikana popote Duniani hata kwa kuuzwa !
Acheni chuki jamani !
Nimekuja buanaa! Naona watu wamecharuka kwenye comments! JF iishi milele.Hahaaaa ushakuja binti😂😂
😄😄 Sawa mkuu, msalimie saitoti.Hahaha ni kweli wewe unawafahamu ila umechanganya madesa kidogo.
Mimi wengi wao nimekua nao toka watoto wa Mahita nawajua vizuri sana
Ndomaana nimesikitika sana kauli ya huyu mkuu wakati kwake nako kuna shida na tunajua
kumbe siro maisha mazuri
Kwamba yao Ni zabibu?😁😁😁😁😁Natamani nione comment yako iliyowahi kutetea uhai wa maelfu ya watu waliouwawa na polisi wetu, watu wasio na hatia. Mfano tu wale wa zanzibar mwaka jana.
Au hao polisi waliouwawa na Hamza wana damu ya juice ya zabibu? Uache double standards!
Chanika zipo mbili mbonachanika kuna bar kubwa inasemekana ni ya mkuu wetu mzee sirro
Lakini si useme tu? Nyani haoni kundule.Kama ni kweli inasikitisha na ama kweli nyani haoni nonihino lake!
Butiama waijua?Chanika zipo mbili mbona
Hii kauli hadi maofisa wa polisi wameshtushwa kuisikiaKatika kikundi cha wazazi sita, wanne wameshaijadili hii kauli ya Sirro, na ni ukweli kuwa wengi hawajaipenda na imewasikitisha.
Isipokuwa kwa akina Mr and mrs privilege's kama Akilinjema na mama D ndio waliomuunga mkono afande Sirro.
IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.
Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.
Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.
"Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?". Mwisho wa kunukuu.
IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu, ukiwemo kupiga watu.
Je, unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.
JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Nan anaishia kwa mshahara cku hizi, upo nyuma sana mzee. Mtu mwenye ng'ombe Mia tu anaweza kufanya maajabu ndan ya muda mfupi na usiamini macho yakoIliyoko Pasiansi? Kumbe ni hotel ya Sirro? Basi kuna ufisadi mahali, huwezi kujenga kwa mshahara wa u IGP!
Unaujua mshahara wa polisi wewe?
Mbona kupigwa risasi kwa Lisu akuongea kwa uchungu. na uchunguzi kakataa kuufanya acha unafiki wa kijinga
badili mtizamo wako, mishahara Ni kwa ajili ya kupatia mikopo na mitaji tu.Unaujua mshahara wa polisi wewe?
Acha fiksi....lenana ipo toka siro ni kuruta,mwenye hiyo hotel kaijenga miaka ya 90 tunasoma,kipindi hicho siro labda traffic au mlinzi wa bank
Sio hajaja mjini akiwa mlinzi kulinda bank n wakubwa zake,lenana imejengwa miaka ya tisini...siro akiwa hana cheoHuo uongo Sasa,Lenana ya kitambo hata Sirro hajaja mjini.
Natamani nione comment yako iliyowahi kutetea uhai wa maelfu ya watu waliouwawa na polisi wetu, watu wasio na hatia. Mfano tu wale wa zanzibar mwaka jana.
Au hao polisi waliouwawa na Hamza wana damu ya juice ya zabibu? Uache double standards!
Top lady anao wawili huyu mwingine mume kapewa uwaziri wakati elimu yake katibu kataOhhoo even yule mtangulizi ana kijana sampuli hiyo hiyo even the top top lady wana kijana sampuli hiyo hiyo.
Mwambieni afute hiyo kauli aende kwa gwajima akarudishwe kwenye line
Hahah jamaa wameamua kutunga tu halafu wanalazimisha iwe ukweli mkuu.Sio hajaja mjini akiwa mlinzi kulinda bank n wakubwa zake,lenana imejengwa miaka ya tisini...siro akiwa hana cheo