IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

Natamani nione comment yako iliyowahi kutetea uhai wa maelfu ya watu waliouwawa na polisi wetu, watu wasio na hatia. Mfano tu wale wa zanzibar mwaka jana.

Au hao polisi waliouwawa na Hamza wana damu ya juice ya zabibu? Uache double standards!
 
Hahaha ni kweli wewe unawafahamu ila umechanganya madesa kidogo.

Mimi wengi wao nimekua nao toka watoto wa Mahita nawajua vizuri sana

Ndomaana nimesikitika sana kauli ya huyu mkuu wakati kwake nako kuna shida na tunajua
😄😄 Sawa mkuu, msalimie saitoti.
 
Natamani nione comment yako iliyowahi kutetea uhai wa maelfu ya watu waliouwawa na polisi wetu, watu wasio na hatia. Mfano tu wale wa zanzibar mwaka jana.

Au hao polisi waliouwawa na Hamza wana damu ya juice ya zabibu? Uache double standards!
Kwamba yao Ni zabibu?😁😁😁😁😁
 
Katika kikundi cha wazazi sita, wanne wameshaijadili hii kauli ya Sirro, na ni ukweli kuwa wengi hawajaipenda na imewasikitisha.

Isipokuwa kwa akina Mr and mrs privilege's kama Akilinjema na mama D ndio waliomuunga mkono afande Sirro.
Hii kauli hadi maofisa wa polisi wameshtushwa kuisikia
 
 
Iliyoko Pasiansi? Kumbe ni hotel ya Sirro? Basi kuna ufisadi mahali, huwezi kujenga kwa mshahara wa u IGP!
Nan anaishia kwa mshahara cku hizi, upo nyuma sana mzee. Mtu mwenye ng'ombe Mia tu anaweza kufanya maajabu ndan ya muda mfupi na usiamini macho yako
 
Natamani nione comment yako iliyowahi kutetea uhai wa maelfu ya watu waliouwawa na polisi wetu, watu wasio na hatia. Mfano tu wale wa zanzibar mwaka jana.

Au hao polisi waliouwawa na Hamza wana damu ya juice ya zabibu? Uache double standards!


Mimi Imani yangu inakataza kulipa kisasi !

Tunatakiwa kumuachia Mwenyezi Mungu yeye ndiye anayejua jinsi ya kuwalipa uovu wao.

Allah Wakil.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…