IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

20210829_064635.jpg
 
Kaka yake hamza amesema hamza ni mbabaifu tangu utotoni kitu kilichopekekea baba yake kumpeleka Egypt kusoma dini....... kwa kauli za igp atakua anayajua mengi sana ya malezi ya hamza, sio kwamba ameropoka

Haipingiki kwamba kuwa na raia wema malezi mema lazima yaanzie kwa wazazi. Hakuna mzazi bingwa wa malezi lakini wazazi tupambane kulea tukimtanguliza Mungu huku tukikubali kurekebishwa pale tunapokosea kwenyebmalezi.

Mambo ya hamza ni mengi sana
Vipi kuhusu huyu wa chanika? Ambaye ni mtoto wa inspector general na bado anapulizia watu bangi usoni? Baba yake ndiye alimfundisha hivyo?
 
Huyo ni Mtoto wa Sirro anasumbua watu sana mtaani kwa ubabe wake na anavuta bangi hadharani. Muda Mwingi anashinda Chanika kwenye Bar ya Baba yake.
Mrekodini matukio yake kisha mturushie humu ili na Sisi wa mikoani tuweze kumfahamu.

Hivi wale waliowashambulia watu Kule Z'bar au wale waliotaka kumuondoa Mh Lissu Duniani Kwa Sirro waliokuwa Sawa sio? Au wao hawakuwa na wazazi wala ndugu sio?? Kumbe Polisi ndio wenye kujua kuzaa sio? Kumbe ndio wenye wazazi na ndugu sio? Kuna mtu alikuwa analindwa na mabunduki kuliko yeye Sirro lkn Mauti hayakumuogopa.

Sirro ajue Mungu muweza wa yote yuko na anamsikia anamuona na anashuhudia utendaji wake wa kazi. Ameshawajaza raia hasira vyakutosha sasa ameanza ku beep Mungu ktk Uumbaji wake.

Hawa wote wanaodhulumiwa kwakuwa hawana wa kuwatetea, Mungu muumbaji wao alishasema kupitia vitabu vya dini" wale wote wenye Mamlaka wasipowatetea wanaoonewa basi ardhi itawalilia". Kila Jambo linalotendeka Lina kusudi Kwa Mungu hata hili la Mwamba Hamza.
 
" Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?".

Nasi tunajisikia vibaya sana wazazi wake Siro kuzaa mtu kama yeye na siyo yeye Polisi wote wanaofanana na yeye wenye kuleta uonevu na kuleta umaskini kwa jamii kwa vitendo vyao viouvu.Tunashangaa sana wazazi wao waliwazaa vipi?

Imekuwaje wazazi wao wakazaa aina ya viongozi mbugila mbugila , akili tope wenye kauli chafu za kuudhi na kuumiza watu ni aina gani ya wazazi waliwazaa hao jamaa?

Kwa mantiki hiyo tunawalaumu sana wazazi wa viongozi jinsi walivyokuza akili mbovu ..ingewezekana wangewatupa vyooni mapema sana wajifie huko kuliko kuleta watu wenye lugha chaafu halafu ni watu wazima.
 
Hamza angekuwa na mama yake nae ana bunduki pale Salenda angestahili dharau hizi lakini maskini hata yeye atakuwa amejua kupitia vyombo vya habari kama Sisi. Sirro angekuwa umewahi kubeba mimba hata wiki moja usingeharisha huo utumbo wake.
 
IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.

Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.

Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.
" Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?".
Mwisho wa kunukuu.

IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu,ukiwemo kupiga watu.

Je?! unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.

JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Nasikia Kuna mtoto akiwa na genge lake aliwahi kudhulumu wazungu dhahabu ya mabilioni ya fweza akakimbilia airport kwenda mwanza Cha ajabu hakuna data zozote zilizoonekana airport zote mbili alikotoka na alikotua eti data hizo zilifichwa kimagumashi je Toto hilo ni lanani?
 
Siro ukimwangalia mwonekano wake kimwili utadhani ni mtu wa kuheshimika sana!

Hapana, kuna wakati hata matamshi yake yalionekana kuwa ya mtu mwenye busara.

Haieleweki ni kitu gani hasa kimembadilisha akili kiasi hiki alivyokuwa sasa?

Unajua, inasemekana damu za binaadam zikimwagwa kwa uonevu tu, hazimwachi mtu anayesababisha zimwagike, ni lazima atadhurika tu kwa njia moja au nyingine.

Siro ni mhanga wa umwagaji wa damu za waTanzania ambao hawakustahili kuuliwa au kuumizwa.

Maisha yake ya uhai wake uliosalia yatakuwa ya matatizo tupu.
Hata mimi jamaa nilikuwa namkubali sana speech zake kipindi kile anawapa mawaidha wakina mambosasa.
Inawezekana amevurugwa na formality ya uongozi kubadilika na hajui hatima yake.

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.

Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.

Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.
" Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?".
Mwisho wa kunukuu.

IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu,ukiwemo kupiga watu.

Je?! unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.

JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Yaani Huyo kamanda utadhani Hamza na Yeyr hawako chama kimoja. Kila kauli inaonesha anamkana.
 
IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.

Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.

Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.
" Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?".
Mwisho wa kunukuu.

IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu,ukiwemo kupiga watu.

Je?! unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.

JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Watu wengi hamjuwi kilichopo moyoni mwa IGP ila nataka niwahakikishie ndani yake ameshasoma alama za nyakati na anatamani aruhusiwe kustaafu maana alisha staafu sema wakamkatalia sasa moyo wake anatamani kustaafu na ndio maana anaongea sentence tata atumbuliwe basi. Ila ndio wana kaa kimya. Hata ingekuwa wewe ungetamani kustaafu maana muda wake ktk utumishi wa umma umefika then watafute mwingine. Nadhani hayo ndio siri moyoni mwake.
 
Watu wengi hamjuwi kilichopo moyoni mwa IGP ila nataka niwahakikishie ndani yake ameshasoma alama za nyakati na anatamani aruhusiwe kustaafu maana alisha staafu sema wakamkatalia sasa moyo wake anatamani kustaafu na ndio maana anaongea sentence tata atumbuliwe basi. Ila ndio wana kaa kimya. Hata ingekuwa wewe ungetamani kustaafu maana muda wake ktk utumishi wa umma umefika then watafute mwingine. Nadhani hayo ndio siri moyoni mwake.
Jeshi loote la polisi hawana mtu mbadala wake? Basi kuna shida mahali
 
Sirro tumbo Ni mithili ya shamba hutoa mazao ya Kila aina,hivyo huwezi kutukana wazazi na familiya Kisha tukupigie makofi kwa ubora wa matusi.Sirro ulichofanya Ni utoto na ulevi wa madaraka ,tubu mapema.Sirro unahisi Kama kizazi chako hakifahamiki? Mbona na wewe ulizaa,kulea,na kukuza mvuta bangi anayesumbua chanika.Hotel zako za mwanza ulizijenga kwa mshahara na lesheni ya upolisi gani.Usitake tuseme yasiyotakiwa kusemwa.kitendo Cha kudhihaki familiya HAPANA HAPANA HAPANA HAKIKUBALIKI.
Mimi ninachokiona ni Kutaka kumbebesha Mzigo Hamza. Tunajua hamza ana makosa makuba kuwaua wale Polisi wetu. Lakini bado ukweli haujulikani wale polisi walikuwa wamemfanya nini. ni Kama kamanda anataka kuonesha upande mmoja tu kuwa Hamza ana makosa pekee yake.

Hii kesi ya Hamza na naifananisha na kezi ya Abdalla zombe
 
Kaka yake hamza amesema hamza ni mbabaifu tangu utotoni kitu kilichopekekea baba yake kumpeleka Egypt kusoma dini....... kwa kauli za igp atakua anayajua mengi sana ya malezi ya hamza, sio kwamba ameropoka

Haipingiki kwamba kuwa na raia wema malezi mema lazima yaanzie kwa wazazi. Hakuna mzazi bingwa wa malezi lakini wazazi tupambane kulea tukimtanguliza Mungu huku tukikubali kurekebishwa pale tunapokosea kwenyebmalezi.

Mambo ya hamza ni mengi sana
Sasa alikuaje mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM?!!

Au CCM ni kokoro by John Komba rip.
 
Back
Top Bottom