Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno mazito na yenye hekima, tunapaswa kuyaishi .Mama yangu aliwahi kuniambia, kamwe usijaribu kumcheka mtoto wa MTU kama huwezi kumsaidia muombee au nyamaza kimya maana hata wewe hujui wakwako watakuwa nani.
Sirro ni fisadi kuu, ana lodge na hotel karibu mikoa yote...Tegeta Nyakoro, Chanika...ButiamaMkuu ongeza nyama, nani ana bar Chanika ?
Kapataje hali ni mtumishi mshahara wake unajulikana
Zipo lenana hata huko arusha,nimeiona mianziniUongo mkubwa. Lenana ya Mchaga mmoja kutoka huko Kibosho.
Kwani walioko shamba hawaruhusiwi kujenga? wewe unacheza na kazi ya upolisi, kazi ya upolisi unaweza tajirika wakati wowote haijalishi unacheo au hauna, ogopa mtu anayedeal na waalifu.Huo uongo Sasa,Lenana ya kitambo hata Sirro hajaja mjini.
Wajiulize wao kwanza,haya maaskali yanayo bambikia watu kesi yalizaliwa na nani?IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.
Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.
Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.
" Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?".
Mwisho wa kunukuu.
IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu,ukiwemo kupiga watu.
Je?! unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.
JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Vipi kuhusu huyu wa chanika? Ambaye ni mtoto wa inspector general na bado anapulizia watu bangi usoni? Baba yake ndiye alimfundisha hivyo?
Akimaliza kuomba msamaha kwa wazazi wa Hamza awaombe msamaha na WatanzaniaIGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.
Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.
Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.
" Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?".
Mwisho wa kunukuu.
IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu,ukiwemo kupiga watu.
Je?! unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.
JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Hamza angekuwa na mama yake nae ana bunduki pale Salenda angestahili dharau hizi lakini maskini hata yeye atakuwa amejua kupitia vyombo vya habari kama Sisi. Sirro angekuwa umewahi kubeba mimba hata wiki moja usingeharisha huo utumbo wake.
Wekeni na picha tumdekuHuyo ni Mtoto wa Sirro anasumbua watu sana mtaani kwa ubabe wake na anavuta bangi hadharani. Muda Mwingi anashinda Chanika kwenye Bar ya Baba yake.
Kapataje hali ni mtumishi mshahara wake unajulikana
Huwa wanakuwa na akili za punda hao.Mwingine aliita watoto wa watu vilaza.Mara hataki wanafunzi waliopata watoto waendelee na masomo.Tafrani tupu.Saa hizi anapiga soga na mashetani wenzie tu huko kuzimu.😝😝😝😝😝Wekeni picha ya hilo litoto lake hapa. Kumbe naye ana kimeo halafu anatukana wazazi wengine?
Sio rahisiKwa umri wake na managerial positions alizofanya kwa miaka mingi anastahili!
Ukizingatia siku hizi kuna huduma za mikopo na saccos!
Sasa mama D utawasimangaJe wazazi wenzio kumbe nawe hola !!.Kwani aliyoongea kwa hamza hakusema kwambq yanamhusu hamza peke yake.....?
Yanahusu malezi ya kila mzazi kwa watoto
Halafu anaitwa wa wenzake vilaza kumbe na binti lake nalo zilikuwa hazimo!Huwa wanakuwa na akili za punda hao.Mwingine aliita watoto wa watu vilaza.Mara hataki wanafunzi waliopata watoto waendelee na masomo.Tafrani tupu.Saa hizi anapiga soga na mashetani wenzie tu huko kuzimu.😝😝😝😝😝