Wewe ndio umeongea chanzo hasa cha Kamanda kuchanganyikiwaSiro ukimwangalia mwonekano wake kimwili utadhani ni mtu wa kuheshimika sana!
Hapana, kuna wakati hata matamshi yake yalionekana kuwa ya mtu mwenye busara.
Haieleweki ni kitu gani hasa kimembadilisha akili kiasi hiki alivyokuwa sasa?
Unajua, inasemekana damu za binaadam zikimwagwa kwa uonevu tu, hazimwachi mtu anayesababisha zimwagike, ni lazima atadhurika tu kwa njia moja au nyingine.
Siro ni mhanga wa umwagaji wa damu za waTanzania ambao hawakustahili kuuliwa au kuumizwa.
Maisha yake ya uhai wake uliosalia yatakuwa ya matatizo tupu.
hahaaa kamanda dhambi zinamwandama.Hii biashara ni simple sana na ina pesa ya haraka ila ndio hvyo utachuma dhambi hadi wakati upo kaburini watu wakiendelea kutinduana dhambi zinazidi tu kumiminika
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Ipo inaitwa Tongoli Lodge & Bar.Hivi sirro ile Lodge yake kule tegeta bado ipo?
Alafu wanachoshidwa kuelewa mimi mwenyewe natamani nikipata mtoto wa kiume awe dizaini ya hamza sio mtoto wa kiume unakuwa laini unaonewa kifala....!!! Yani hao wazazi wa hamza wamezaa mtoto kweri kweri.... Siro lazima imuume sana lakini mimi bado naamini uyu chalii lazima kuna kitu waliopishana akawachapa!!!! Na issue yakutumia silaha ni jambo Dogo sana ukiwa unamiliki pistol... Kuna mafunzo unapata ya namna gani utajilinda na iyo silaha uliyonunua so iyo kujua kutumia silaha ni jambo la kawaida issue ni kwann aliamua kuwapiga risasi? R.I.P HAMZA & vijana wa SiroOhhoo even yule mtangulizi ana kijana sampuli hiyo hiyo even the top top lady wana kijana sampuli hiyo hiyo.
Mwambieni afute hiyo kauli aende kwa gwajima akarudishwe kwenye line
Ya Zombe ilikuwaje?Mimi ninachokiona ni Kutaka kumbebesha Mzigo Hamza. Tunajua hamza ana makosa makuba kuwaua wale Polisi wetu. Lakini bado ukweli haujulikani wale polisi walikuwa wamemfanya nini. ni Kama kamanda anataka kuonesha upande mmoja tu kuwa Hamza ana makosa pekee yake.
Hii kesi ya Hamza na naifananisha na kezi ya Abdalla zombe
chanika kuna bar kubwa inasemekana ni ya mkuu wetu mzee sirroMkuu ongeza nyama, nani ana bar Chanika ?
Ana nyumba mabwepande Mji mpyaHivi sirro ile Lodge yake kule tegeta bado ipo?
Chanika...Butiama?IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe.
Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie.
Jana ulitamka maneno haya nami nakunukuu.
" Watanzania kuweni makini msije mkazaa mtoto wa hovyo hovyo kama Hamza aliyetuletea majanga Watanzania, wazazi wa Hamza mnajisikiaje kuzaa mtoto kama huyo? Na nyie ndugu zake mnajisikiaje kuwa na ndugu kama Hamza?".
Mwisho wa kunukuu.
IGP Sirro, hakuna mzazi anayepanga azae mtoto wa aina gani, Binadamu tunazaa mwili hatuzai Roho.
Kuna kijana anasumbua sana mitaani, anajitapa kwamba hakuna wa kumfanya lolote kwa sababu Baba yake ana cheo kikubwa mno serikarini, kijana huyo huvuta unga na kwenda hadi kwenye Hotel ya Baba yake iliyoko Chanika ambako hufanya vituko vya ajabu,ukiwemo kupiga watu.
Je?! unajua huyo mtoto ni wa nani? Tafadhali sana, wazazi wa Hamza hawakujua kama wanazaa mtoto wa aina gani, hata wazazi wako wewe Sirro hawakujua kama ipo siku utakuja kuwa IGP.
JITOKEZE UIOMBE MSAMAHA FAMILIA YA HAMZA ILI ULINDE HESHIMA YAKO.
Nijuavyo chanika kuna Hotel ya Butiama ni mali ya huyu mukuluMkuu ongeza nyama, nani ana bar Chanika ?
Nitajie watu wawili tu pale CCM ambao sio wababaifuNa bado akawa kiongozi wa CCM na ubabaifu wake.
Hawajazoea changamoto wamekariri watanzania ni watu wanyonge ndio tatizoMzee alipanic
Ana stress kiasi,kesi Mahakama kuu,kifo Cha Hamza,uu staafu wakeSiro ukimwangalia mwonekano wake kimwili utadhani ni mtu wa kuheshimika sana!
Hapana, kuna wakati hata matamshi yake yalionekana kuwa ya mtu mwenye busara.
Haieleweki ni kitu gani hasa kimembadilisha akili kiasi hiki alivyokuwa sasa?
Unajua, inasemekana damu za binaadam zikimwagwa kwa uonevu tu, hazimwachi mtu anayesababisha zimwagike, ni lazima atadhurika tu kwa njia moja au nyingine.
Siro ni mhanga wa umwagaji wa damu za waTanzania ambao hawakustahili kuuliwa au kuumizwa.
Maisha yake ya uhai wake uliosalia yatakuwa ya matatizo tupu.
Bado ipoHivi sirro ile Lodge yake kule tegeta bado ipo?
Hela za rushwa!