kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Yaani hata hili Dogo nalo alienda kujifunza Rwanda. Nilidhani angekuja na karipio la kupiga marufuku makanisa ya mitaani.Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa lintakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro ameeleza hayo wakati akizungumzia ziara yake ya siku nne nchini Rwanda na kusema wamejifunza hilo kutoka huko, hivyo ni vyema wapite kwenye maneno hayo kujua malengo ya mafunzo yanayotolewa.
“Tumeona wenzetu hizi shule za dini, kwa mfano haya Madrasa, kwa mfano hizo Sunday schools kuna kikosi maalum kuona mafunzo yanayofundishwa. Je! Mafunzo yale yanatolewa kwa ajili ya uzalendo, au ni mafunzo yanayotolewa kwa ajili ya kuharibu nchi,” amesema Sirro akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Sirro ameeleza utaratibu huo ni mzuri na kwamba watawashirikisha viongozi wa dini na timu ya kupambana na makosa ya kigaidi kuona namna ya kupitia mafunzo yanayofundishwa kwenye shule za dini na shule za elimu dunia, hadi ngazi ya vyuo vikuu, kuona kama mafunzo yanawajenga au yanawabomoa vijana.
Aidha, ameitaka jamii kutoa taarifa endapo itabaini kuna mtu ana tabia au mwenendo kinyume na jamii husika, na kwamba sio lazima mhusika afungwe, bali wanaweza kumsaidia kuwa mtu mwema na akaendelea na shughuli zake.
Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa lintakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro ameeleza hayo wakati akizungumzia ziara yake ya siku nne nchini Rwanda na kusema wamejifunza hilo kutoka huko, hivyo ni vyema wapite kwenye maneno hayo kujua malengo ya mafunzo yanayotolewa.
“Tumeona wenzetu hizi shule za dini, kwa mfano haya Madrasa, kwa mfano hizo Sunday schools kuna kikosi maalum kuona mafunzo yanayofundishwa. Je! Mafunzo yale yanatolewa kwa ajili ya uzalendo, au ni mafunzo yanayotolewa kwa ajili ya kuharibu nchi,” amesema Sirro akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Sirro ameeleza utaratibu huo ni mzuri na kwamba watawashirikisha viongozi wa dini na timu ya kupambana na makosa ya kigaidi kuona namna ya kupitia mafunzo yanayofundishwa kwenye shule za dini na shule za elimu dunia, hadi ngazi ya vyuo vikuu, kuona kama mafunzo yanawajenga au yanawabomoa vijana.
Aidha, ameitaka jamii kutoa taarifa endapo itabaini kuna mtu ana tabia au mwenendo kinyume na jamii husika, na kwamba sio lazima mhusika afungwe, bali wanaweza kumsaidia kuwa mtu mwema na akaendelea na shughuli zake.
Wakienda hao wakaguzi, wanapigiwa kareti za tumbo, wajiharishie mji mzima, Hadi wakifika kwa wake wakose Cha kuelezea. Nawakaribisha MtambaniIGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.
Source: Swahili times
My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti!
Kwa kweli maana kuna baadhi ya watanzania hawatumii akili ndo maana hua wanakua brainwashed easily na kubeba chuki dhidi ya wengine halafu wanajifanya wapenda amani na wao ni watu wema,very funnyHivi kujua karate ndio ugaidi ? Hii nchi hata maombi hayatasaidia chochote , tuachane nayo tu
Amen bwashee!Nikiwa Mkiristo ninayemuamini YESU kuwa Bwana na mwokozi wangu naunga mkono na kupongeza kwa dhati Wazo hili
CUF walikuwa wanajifunza judo kwenye nyumba za mitume!Kwa kweli maana kuna baadhi ya watanzania hawatumii akili ndo maana hua wanakua brainwashed easily na kubeba chuki dhidi ya wengine halafu wanajifanya wapenda amani na wao ni watu wema,very funny
Haswaaaaa,wanatengeneza mabomu halafu yakiripuka wanatafuta chanzo ni nini wakati walitengeneza wenyewe,facts over opinions and hate as I always sayTenda haki you will be safe! Kama mtu Ana sababu za kutosha moyoni kwake kujifunza kitu haitaji Mwalimu au mahali.
Mnafiki mkubwa IGP Sirro.IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.
Chanzo: Swahili times
My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti.
Hebu tuonyeshe hizo nyumba za mtume huku Tanzania ziki wapi? Second kwani kujifunza judo ni kosa?? Nchi ngapi wanajifunza umewahi kusikia ni kosa,pole sana,you are sickCUF walikuwa wanajifunza judo kwenye nyumba za mitume!
IGP sasa anafukuza watalii kwa kuitangaza Tanzania kuwa kuna ugaidiIGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.
Chanzo: Swahili times
My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti.
Wanatafuta kisingizio cha kuwabambikia kesiMnafiki mkubwa IGP Sirro.
Kaambiwa amkamate Gwajima kwa kumpinga sera za Mama Samia kuhusu Covid19 hakutekeleza amri.
Sasa unafiki huo aanze kwa kutembelea kanisa la Gwajima.
Hebu tuonyeshe hizo nyumba za mtume huku Tanzania ziko wapi? Second kwani kujifunza judo ni kosa?? Nchi ngapi wanajifunza umewahi kusikia ni kosa,pole sana,you are sick
IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.
Chanzo: Swahili times
My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti.
Pesa hakuna wamebuni miradi ya kuwabambikia kesi watu kwa visingizio vya ugaidi ambao haupo Tanzania ni aina fulani ya uonevu wa kuwatisha wananchi wawaogope Polisiccm ili CCM iendelee kukaa madarakani milele na mileleTunajua nyumba za ibada wanazozilenga. Lakini ukweli ni kwamba hakuna mtu anajifunzia ugaidi msikitini, sio Tanzania labda nchi nyingine huko.
Badala ya kutafuta sababu za msingi na vyanzo halisi vya ugaidi wao wanaanza kutafuta chuki na uhasama na dini fulani. Upumbavu nao ni kipaji.
IGP sasa anafukuza watalii kwa kuitangaza Tanzania kuwa ugaidiHivyo kujifunza kareti ni kujifunza ugaidi??!!
Kagame ni Dikiteta hana mfano wa kuigwa hata mmoja kwanza ni Aibu kwa Tanzania kwenda kuiga Mbinu haramu za kishetani huko RwandaKagame kashafuta usajili wa Makanisa zaidi ya 4000..
Kuna vikundi vinaharibu uislamu, vishughulikiwe.IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.
Chanzo: Swahili times
My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti.