IGP Sirro: Jeshi la Polisi kukagua yanayofundishwa kwenye nyumba za Ibada

Yaani hata hili Dogo nalo alienda kujifunza Rwanda. Nilidhani angekuja na karipio la kupiga marufuku makanisa ya mitaani.
 

Tenda haki you will be safe! Kama mtu Ana sababu za kutosha moyoni kwake kujifunza kitu haitaji Mwalimu au mahali.
 
IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.

Source: Swahili times

My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti!
Wakienda hao wakaguzi, wanapigiwa kareti za tumbo, wajiharishie mji mzima, Hadi wakifika kwa wake wakose Cha kuelezea. Nawakaribisha Mtambani
 
Hivi kujua karate ndio ugaidi ? Hii nchi hata maombi hayatasaidia chochote , tuachane nayo tu
Kwa kweli maana kuna baadhi ya watanzania hawatumii akili ndo maana hua wanakua brainwashed easily na kubeba chuki dhidi ya wengine halafu wanajifanya wapenda amani na wao ni watu wema,very funny
 
Kwa kweli maana kuna baadhi ya watanzania hawatumii akili ndo maana hua wanakua brainwashed easily na kubeba chuki dhidi ya wengine halafu wanajifanya wapenda amani na wao ni watu wema,very funny
CUF walikuwa wanajifunza judo kwenye nyumba za mitume!
 
Tenda haki you will be safe! Kama mtu Ana sababu za kutosha moyoni kwake kujifunza kitu haitaji Mwalimu au mahali.
Haswaaaaa,wanatengeneza mabomu halafu yakiripuka wanatafuta chanzo ni nini wakati walitengeneza wenyewe,facts over opinions and hate as I always say
 
IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.

Chanzo: Swahili times

My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti.
Mnafiki mkubwa IGP Sirro.
Kaambiwa amkamate Gwajima kwa kumpinga sera za Mama Samia kuhusu Covid19 hakutekeleza amri.
Sasa unafiki huo aanze kwa kutembelea kanisa la Gwajima.
 
CUF walikuwa wanajifunza judo kwenye nyumba za mitume!
Hebu tuonyeshe hizo nyumba za mtume huku Tanzania ziki wapi? Second kwani kujifunza judo ni kosa?? Nchi ngapi wanajifunza umewahi kusikia ni kosa,pole sana,you are sick
 
IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.

Chanzo: Swahili times

My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti.
IGP sasa anafukuza watalii kwa kuitangaza Tanzania kuwa kuna ugaidi
 
Hebu tuonyeshe hizo nyumba za mtume huku Tanzania ziko wapi? Second kwani kujifunza judo ni kosa?? Nchi ngapi wanajifunza umewahi kusikia ni kosa,pole sana,you are sick
 
IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.

Chanzo: Swahili times

My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti.

Hivyo kujifunza kareti ni kujifunza ugaidi??!!
 
Pesa hakuna wamebuni miradi ya kuwabambikia kesi watu kwa visingizio vya ugaidi ambao haupo Tanzania ni aina fulani ya uonevu wa kuwatisha wananchi wawaogope Polisiccm ili CCM iendelee kukaa madarakani milele na milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…