johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #61
MbagalaHebu tuonyeshe hizo nyumba za mtume huku Tanzania ziki wapi? Second kwani kujifunza judo ni kosa?? Nchi ngapi wanajifunza umewahi kusikia ni kosa,pole sana,you are sick
Rwanda ni Nchi ya kidikteta hakuna uhuru wa kuabudu, ni Aibu kubwa kwa Tanzania kujifunza mbinu haramu za kishetani toka RwandaYaani hata hili Dogo nalo alienda kujifunza Rwanda. Nilidhani angekuja na karipio la kupiga marufuku makanisa ya mitaani.
IGP anafukuza watalii kwa kutangaza Tanzania kuna ugaidiMbagala
Safi sana kuichafua Nchi kuwa kuna ugaidi? Watalii wakiacha kuja utajiona safi sana?Safi sana!
Nchi inachafuka kwa kuonekana kuna magaidi wakati hakuna ugaidi wowote TanzaniaFamilia zao zinawashinda kukaguliwa harafu eti wakague mifumo yawatu labda polisi wenyewe wafundishe madrasa
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Polisiccm inaenda kuongeza chuki kubwa tokea kwa wananchi kwa ujumla ni hao hao Polisiccm wataimaliza CCM kwani jumuia za kimataifa zinaenda kuichoka CCM na ndipo utakuwa mwisho wa CCM, walikuwepo akina Bokasa, Gadafi Sadam Hussein Elbashiri Iddy Amin dada chiluba Abacha mabutu wapo wapi sasa ?mpigie seleman 0715132277 au 0787132277 anajua story zote za nchiAseme tu wanataka kukagua misikiti na madrasa sio kutubabaisha kwa kutaja sijui na sunday schools, niseme tu mtindo unaotumika kupambana na hicho wanachoita ugaidi pia ndio unafanya huo uhalifu unazidi kuchipuka kwani inawafanya baadhi ya watu kuaminisha wengine kwamba wanaonewa hivyo inahitajika wapambane.
Vikundi vya wapi? Acheni kuichafua Tanzania itakosa watalii uchumi utayumbaKuna vikundi vinaharibu uislamu, vishughulikiwe.
Acha ubwege wako na utumwa wako wa kipuuzi,huyo selemani mimi ananihusu nini hadi nimpigie simu, tujadili nini? Acha kutumika na hao mabwana zenu kwa ujira wa vihela kidogo mnavyoongwa huko na kuumiza wengine huku mkifikiri mtaishi milele mbona bwana wenu mzandiki mkuu mmeshindwa kumfanya aishi milele.Polisiccm inaenda kuongeza chuki kubwa tokea kwa wananchi kwa ujumla ni hao hao Polisiccm wataimaliza CCM kwani jumuia za kimataifa zinaenda kuichoka CCM na ndipo utakuwa mwisho wa CCM, walikuwepo akina Bokasa, Gadafi Sadam Hussein Elbashiri Iddy Amin dada chiluba Abacha mabutu wapo wapi sasa ?mpigie seleman 0715132277 au 0787132277 anajua story zote za nchi
Ww ujaelewa soma vzr uzi uwokwahiyo padri anatakiwa kuwasilisha kwa Sirro atakachofundisha kabla ya siku ya ibada??
Si ndo hapo wanajua ukweli wanapindisha mambo hali ya kuwa wanaichafua nchi hawa mbweha. Ni sawa na kilichokua kinaendelea Kibiti, fika walengwa walikua CCM lakini wakai-divert kwa kusema ni Ugaidi hawa wapuuzi. Hayajua impact ya kusema hivyo kwa national welfare statusNchi inachafuka kwa kuonekana kuna magaidi wakati hakuna ugaidi wowote Tanzania
Hao mnaowaita magaidi mnawatengeneza wenyewe kwa sababu ya chuki zenu mnawafanya baadhi ya watu wanaonewa hivyo wanatakiwa wapambane.Wananchi tushirikiane na police kufichia wale wanaojificha kwenye mgongo wa dini kueneza ugaidi
Sunday school ni kisingizio.Tunajua nyumba za ibada wanazozilenga. Lakini ukweli ni kwamba hakuna mtu anajifunzia ugaidi msikitini, sio Tanzania labda nchi nyingine huko.
Badala ya kutafuta sababu za msingi na vyanzo halisi vya ugaidi wao wanaanza kutafuta chuki na uhasama na dini fulani. Upumbavu nao ni kipaji.
Seleman ni bwawa yako aliniambia ukiongea ufala nikuambie umpigie acha kutumikia bwawa zako kuja na Sheria za Rwanda kuwaonea watu badala ya kutumia katiba na Sheria za Nchi, umehongwa wewe mbweha hadi umejitoa fahamu zote ukafikri kila mmoja anahongwa kama wewe acha ufala wako Tambua kuwa Tundu lisu ni mpinzani anafanya kazi ya kuikosoa SerikaliAcha ubwege wako na utumwa wako wa kipuuzi,huyo selemani mimi ananihusu nini hadi nimpigie simu, tujadili nini? Acha kutumika na hao mabwana zenu kwa ujira wa vihela kidogo mnavyoongwa huko na kuumiza wengine huku mkifikiri mtaishi milele mbona bwana wenu mzandiki mkuu mmeshindwa kumfanya aishi milele.