IGP Sirro: Jeshi la Polisi kukagua yanayofundishwa kwenye nyumba za Ibada

IGP Sirro: Jeshi la Polisi kukagua yanayofundishwa kwenye nyumba za Ibada

Aombe kupumzika kwa manufaa ya Umma,mpaka hapo alipofikia inatosha asiendelee kuharibu zaidi.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
IGP SIMON SIRRO AJA NA MAPYA: JESHI LA POLISI SASA KUCHUNGUZA MAFUNDISHO (DOGMA) MAKANISANI NA MISIKITINI!

Mkaguzi wa Mtaala ni lazima aujue mtaala au awe na elimu kuhusu mitaala! Mitaala ya Shule ya Jumapili (Sunday School Curriculum) hutungwa na wasomi na wataalamu wa Theologia (Theology), Masomo ya Biblia (Biblical Studies), Falsafa (Philosophy) na Elimu ya Dini (Religious Studies/Education). Jeshi la Polisi nchini Tanzania linataka kujipa kazi ya kukagua Mitaala ya Sunday School Makanisani. Tunawakaribisha Askari Polisi kujiunga katika Vyuo vya Theologia na kwenye Seminari Kuu ili kusomea masomo hayo. Liandae watu wenye sifa kwa ajili ya kusomea Shahada za Theologia na Falsafa. Baada ya hapo wakasome ubingwa (Shahada za Juu) katika masomo hayo wakibobea katika Mitaala!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

View attachment 1934136
Hakuna lolote wanalolitafuta hao mapolisi, zaidi ya kutaka kuzidhibiti nyumba za ibada.

Sunday school zinafundisha Theology, elimu ambayo hao mapolisi wetu hawana, sasa inashangaza wao ndiyo wachunguze elimu hiyo!

Hakika hiyo ni njia nyingine ya kutaka kuyafungia makanisa watakayoyaona ni "mwiba" kwao!
 
Tanzania hio Rwanda kadogo leo IGP wetu anafata kanchi kadogo au nae ana akili ndogo?


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Katika hili nimemuelewa Sirro. Polisi wana wajibu wa kulinda raia na mali zao. Kama wanahisi kuna mafundisho ambayo si sahihi wana haki ya kuelewa.

Katika hili polisi wanahitaji ushirikiano mkubwa na viongozi wa dini. Si hapo tu, raia pia wanapaswa kutaarifu polisi mienendo isiyo salama.
😍
 
Jeshi lake ni la kigaidi ndiyo sababu linachukiwa sana na Watozonia. Hawezi kujipa mamlaka asiyokuwa nayo na kwa maoni yangu madrasa ingekuwa ni tatizo nchi hii ingeshawaka moto.
Katika hili nimemuelewa Sirro. Polisi wana wajibu wa kulinda raia na mali zao. Kama wanahisi kuna mafundisho ambayo si sahihi wana haki ya kuelewa.

Katika hili polisi wanahitaji ushirikiano mkubwa na viongozi wa dini. Si hapo tu, raia pia wanapaswa kutaarifu polisi mienendo isiyo salama.
 
IGP SIMON SIRRO AJA NA MAPYA: JESHI LA POLISI SASA KUCHUNGUZA MAFUNDISHO (DOGMA) MAKANISANI NA MISIKITINI!

Mkaguzi wa Mtaala ni lazima aujue mtaala au awe na elimu kuhusu mitaala! Mitaala ya Shule ya Jumapili (Sunday School Curriculum) hutungwa na wasomi na wataalamu wa Theologia (Theology), Masomo ya Biblia (Biblical Studies), Falsafa (Philosophy) na Elimu ya Dini (Religious Studies/Education). Jeshi la Polisi nchini Tanzania linataka kujipa kazi ya kukagua Mitaala ya Sunday School Makanisani. Tunawakaribisha Askari Polisi kujiunga katika Vyuo vya Theologia na kwenye Seminari Kuu ili kusomea masomo hayo. Liandae watu wenye sifa kwa ajili ya kusomea Shahada za Theologia na Falsafa. Baada ya hapo wakasome ubingwa (Shahada za Juu) katika masomo hayo wakibobea katika Mitaala!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

View attachment 1934136
Alienda kusomea theology Rwanda
 
IGP SIMON SIRRO AJA NA MAPYA: JESHI LA POLISI SASA KUCHUNGUZA MAFUNDISHO (DOGMA) MAKANISANI NA MISIKITINI!

Mkaguzi wa Mtaala ni lazima aujue mtaala au awe na elimu kuhusu mitaala! Mitaala ya Shule ya Jumapili (Sunday School Curriculum) hutungwa na wasomi na wataalamu wa Theologia (Theology), Masomo ya Biblia (Biblical Studies), Falsafa (Philosophy) na Elimu ya Dini (Religious Studies/Education). Jeshi la Polisi nchini Tanzania linataka kujipa kazi ya kukagua Mitaala ya Sunday School Makanisani. Tunawakaribisha Askari Polisi kujiunga katika Vyuo vya Theologia na kwenye Seminari Kuu ili kusomea masomo hayo. Liandae watu wenye sifa kwa ajili ya kusomea Shahada za Theologia na Falsafa. Baada ya hapo wakasome ubingwa (Shahada za Juu) katika masomo hayo wakibobea katika Mitaala!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula

View attachment 1934136
Kwishney huyu mzee kuna mambo mengine ya usalama si lazima utangaze hadharani au useme umeiga kutoka wapi...! Sirro ni wa kupumzika sasa AMECHOKA
 
Jeshi lake ni la kigaidi ndiyo sababu linachukiwa sana na Watozonia. Hawezi kujipa mamlaka asiyokuwa nayo na kwa maoni yangu madrasa ingekuwa ni tatizo nchi hii ingeshawaka moto.
Tatizo ninalo liona hapa ni budget ya zoezi hili alilotangaza IGP. Hii issue inahitaji pesa nyingi, kwanza kuwapa mafunzo polisi waelewe na kutofautisha wacha dini na hao wanaowatafuta. Pili unahitajika manpower ya kutosha hasa sehemu za Taasisi kama vyuoni.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Soro...
Tunajifunza kilakitu Rwanda bila kujielewa tunatofautiana
  • Wao wananchi kidogo sisi wengu
  • Wao kanci kadogo sisi kubwa
  • Wao walikumbwa na ukabila....
  • Wao walipitia vita ya kimbari.....
  • Wao uongozi ni kijeda....
  • Wao wana mila na desturi zao tofauti
Etc etc. Kifupi serikali tusiigeige kama wasanii wetu wa bongofleva wanavyokopi mara sauzi mara nigeria....
 
Kwishney huyu mzee kuna mambo mengine ya usalama si lazima utangaze hadharani au useme umeiga kutoka wapi...! Sirro ni wa kupumzika sasa AMECHOKA
Yaani kati ya watu duniani wanao zeeka vibaya ni Siro. Huku Mh. Rais an ahamasisha utalii na uwekezaji, huku Siro ana tangaza ugaidi na kuokotwa risasi za Ak 47.
Mbatia alisema haelewi rais ni nani kwenye hii nchi kwa sasa...
Polisi wameota mapembe.
 
Hana mamlaka ya kufanya hili. I hope watamzuia kabla ya kuanza upuuzi wake ambao unaweza kuleta kizaa zaa kingine hasa ukitilia maanani jinsi jeshi lake la magaidi linavyochukiwa na Watozonia wengi.
Tatizo ninalo liona hapa ni budget ya zoezi hili alilotangaza IGP. Hii issue inahitaji pesa nyingi, kwanza kuwapa mafunzo polisi waelewe na kutofautisha wacha dini na hao wanaowatafuta. Pili unahitajika manpower ya kutosha hasa sehemu za Taasisi kama vyuoni.
 
Siamini kama idara ya usalama haijui kinachofundishwa kwenye madrasa na hizo sunday schools (jumuiya za mitaani kila j'mosi). Ila kama mnasema kuna wanaolengwa haya, ngoja tuone!!
 
IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.

Chanzo: Swahili times

My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti...

Polisi tu hawatoshi ila ni vema pia wakatoa elimu elekezi kwa namna na jinsi jamii ya kuwa wazalendo na kujifunza namna ya kukabiliana na ugaidi si tu baada ya majanga kutokea.

Maana magaidi ni watu kama polisi na tunaishi katika jamii.
 
Waende hadi Vatican na Saudi kuchunguza mashina ya mafundisho hayo.

Sent from my A71 using JamiiForums mobile app
Ya Rwanda yaliishia janga la 1994 kupitia ukabila. Kama tunataka kujifunza kutoka huko; KanzaTujiulize CCM na huu uchifu umerudishwa ili iweje?
Narudia:
Ambiguity, Arbitrariness and Caprice are the hallmarks of bad governance.

Sent from my A71 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom