johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #161
Ndio nani?Duh Suleiman Jumapili amefariki
View attachment 1934260
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nani?Duh Suleiman Jumapili amefariki
View attachment 1934260
Mfanya biashara nilikuwa na madogo mtaani walisoma huko Igunga jamaa. Siku moja madogo walipoteza begi lenye kila kitu.. Huyu jamaa from no where akawasaidia madogo/..Ndio nani?
Hiyo sio kazi ya jeshi la Polisi mosi, pili hakuna uhusiano wa mfano wa Rwanda na Tanganyika, Tatu angewashirikisha BAKWATA kwa upande wa waislam ambao nadhani ndio wahanga wa kuu wa hili, hizo Sunday schools zimetajwa kubalance stori tu, lakini pia wafanye utafiti wa mitaa badala ya kukurupuka, mfano Wakatoliki hawako radical kama walokole (mf juzi Gwajima yuko live kanisani kwake anatetea msimamo wake wa kuiprovoke, kuibehua na kuitweza serikali na viongozi wake, eti Adai ni ufunuo kutoka kwa Mbwana Mungu wake), huko kwa Waislam pia kuna makundi na makundi, mfano kuna ikhwaan muslimuna na khawarij ambao wao kwao jihad ni ibada ya kwanza nyingine zafuatia, tofauti na wale Masalafiy ambao wao wanahamsisha twaa kwa viongozi hata kama ni Makafiri.IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.
Chanzo: Swahili times
My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti.
===
Jeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa litakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro ameeleza hayo wakati akizungumzia ziara yake ya siku nne nchini Rwanda na kusema wamejifunza hilo kutoka huko, hivyo ni vyema wapite kwenye maneno hayo kujua malengo ya mafunzo yanayotolewa.
“Tumeona wenzetu hizi shule za dini, kwa mfano haya Madrasa, kwa mfano hizo Sunday schools kuna kikosi maalum kuona mafunzo yanayofundishwa. Je! Mafunzo yale yanatolewa kwa ajili ya uzalendo, au ni mafunzo yanayotolewa kwa ajili ya kuharibu nchi,” amesema Sirro akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Sirro ameeleza utaratibu huo ni mzuri na kwamba watawashirikisha viongozi wa dini na timu ya kupambana na makosa ya kigaidi kuona namna ya kupitia mafunzo yanayofundishwa kwenye shule za dini na shule za elimu dunia, hadi ngazi ya vyuo vikuu, kuona kama mafunzo yanawajenga au yanawabomoa vijana.
Aidha, ameitaka jamii kutoa taarifa endapo itabaini kuna mtu ana tabia au mwenendo kinyume na jamii husika, na kwamba sio lazima mhusika afungwe, bali wanaweza kumsaidia kuwa mtu mwema na akaendelea na shughuli zake.
ReallyInamaana jeshi letu la polisi lina mbinu kiduchu mpaka kamanda wake emeenda kwenye nchi ndogo kama Rwanda kwenda kuchukua mbinu?
Mtaa ganNdio hivyo. Kazi inafanywa kimya kimya kupitia special agents. Hilo ni eneo nyeti la kazi. Kuna masheikh/maimam na wachungaji na waumin ambao ni maajent wa CID/TISS. Walitakiwa wawe wanafanya kazi hiyo tangu tunapata uhuru.
Hii kutangaza hadharani ni kutafuta sifa za kisiasa. Ni aibu. Kama vile ma-informer wa TISS wanavyojitangaza mitaani siku hizi.
Cha ajabu hatujawahi kuona gaidi hata mmoja akipiga watu karate, magaidi wote wanatumia silaha zenye kutengenezwa na wazungu.Kwahiyo kareti ndio ugaidi?
TISSSiamini kama idara ya usalama haijui kinachofundishwa kwenye madrasa na hizo sunday schools (jumuiya za mitaani kila j'mosi). Ila kama mnasema kuna wanaolengwa haya, ngoja tuone!!
Kareti siyo ugaidi.Kwahiyo kareti ndio ugaidi?
My observations;IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.
Chanzo: Swahili times
My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti...
Amekosa kazi za kufanyaJeshi la Polisi Tanzania limesema kuwa litakuwa likipita katika nyumba za ibada kukagua mafunzo wanayofundishwa watoto katika madrasa na shule za Jumapili (Sunday schools) kufahamu aina ya mafundisho yanayotolewa
Basi tungekuwa na magaidi sana imagine kuna madrasa ngapi?Target hasa ni madrassa, hii sunday schools ni red herring. Wanajaribu kutaka kutuonesha kuwa matendo ya Hamza ni zao la elimu ya dini.
Ni mjinga tu anaamini kareti ni ugaidi, zipo shule nyingi sana na vikundi vya mitaani hufundisha kareti na hazina magaidi, na kama ni hivyo nchi za China, Japani na nyinginezo za mashariki ya mbali zinvekuwa ndiyo kitovu cha ugaidi duniani, pia hakuna gaidi anatumia kareti labda akimfumania hawara ya mke wake.IGP Sirro amesema jeshi lake litaanza kukagua yale yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada.
Chanzo: Swahili times
My take; Baadhi ya nyumba za ibada huzalisha magaidi kwa kufundisha kareti.
...