Hata akistafu kwa kashifa atabaki kuitwa igpIGP angestaafu tu abakie na heshima yake ya kuwa IGP
IGP aliyeshindwa Kutimiza Majukumu yake Polisi Wampige Risasi Akwilina kwa Mujibu wa Mambosasa Kina Mbowe Washtakiwa kuhusika Jaji Awaondolee Mashtaka kuna IGP hapoIGP angestaafu tu abakie na heshima yake ya kuwa IGP
Endapo Lisu angekuwa ameuawa siku ya tukio IGP angempigia simu nani,?IGP Simon Sillo amesema kwenye kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 alimpigia simu Lisu ili aje kituo cha polisi amhoji na atoe maelezo ya nini kilitokea hasa
Endapo Lisu angekuwa ameuawa siku ya tukio IGP angempigia simu nani,?
Ulitaka kutumwa tena!Lissu mhuni kaja hapa kafanya kampeni kalamba posho kisha karudi Ubelgiji kuganga njaa.
Protocol zinatofautiana mtu akiwa amekufa na akiwa amejeruhiwa ... maiti unaweza ukaenda kuifanyia postmortem mzima huweziEndapo Lisu angekuwa ameuawa siku ya tukio IGP angempigia simu nani,?
Mama yako au baba yako au kaka yako au dada yako au hata wewe ungepigiwa.Endapo Lisu angekuwa ameuawa siku ya tukio IGP angempigia simu nani,?
matusi ya nini sasa? hilo swali mbona la msingi kabisa?Mama yako au baba yako au kaka yako au dada yako au hata wewe ungepigiwa.
Nyumbu mkubwa
Huyu hajui anachokisemaMkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro amesema kwenye kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 alimpigia simu Lissu ili aje kituo cha polisi amhoji na atoe maelezo ya nini kilitokea hasa aliposhambuliwa kwa risasi jijini Dodoma lakini hakwenda kituo cha polisi hadi leo.
Sirro amesema Tundu Lisu anatumia hilo shambulio kama njia ya kujipatia kipato na kuweza kulelewa na wazungu Ulaya.
View attachment 1849326