evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Hili tukio haliwezi kwisha nakwambia kuna watu lazima watapandishwa kizimbani.[emoji3] [emoji3] [emoji3] Hili tukio la TL nalo ifike wakati liishe na watu wafanye mambo mengine.
Kesi ya jinai haina mwisho .
Inataka iishe bila wahusuka kuwajibishwa ?