IGP Sirro: Kipindi cha kampeni nilimtafuta Tundu Lissu aje kuhojiwa lakini hakuja

IGP Sirro: Kipindi cha kampeni nilimtafuta Tundu Lissu aje kuhojiwa lakini hakuja

Kwa nini Lissu hataki kwenda kuhojiwa?
Anayetakiwa kuhojiwa ni lissu kwanini alipigwa risasi au walinzi waliotoa camera na polisi kufanya uchunguzi.
Hakuna njia nyingine yakuchunguza hadi ahojiwe muathirika?

Huwa namkubali sana Siro,ila hapo huwa simuelewi
 
Anayetakiwa kuhojiwa ni lissu kwanini alipigwa risasi au walinzi waliotoa camera na polisi kufanya uchunguzi.
Hakuna njia nyingine yakuchunguza hadi ahojiwe muathirika?

Huwa namkubali sana Siro,ila hapo huwa simuelewi
Ahojiwe basi
 
Yani ndiyo sirro anamuita Lissu kituoni umuhoji katikati ya ratiba za mikutano ya kampeni za urais??

Siku zote hizo Lissu alizoomba kuhojiwa hata kwa video call mlikua wapi???

..Lissu alikwenda ofisini kwa rpc wa dodoma kuomba arudishiwe gari lake lakini polisi hawakumhoji.

..Lissu pia alikamatwa na polisi akiwa ubalozi wa eu akapelekwa kituoni. Balozi wa ujerumani alifuatilia ndio maana Lissu akajihifadhi ktk ubalozi huo.

..Polisi wangekua na nia ya kuchunguza wangemhoji siku waliyomkamata baada ya uchaguzi.
 
Hehe daah,

Jamaa anatumia tukio lake kama njia ya kuipatia kipato na kulelewa na wazungu??

Arudi nyumbani sasa.

..hapo Sirro amejibu kama uv-ccm.

..Tumsamehe.

..lakini kama IGP ana mitizamo kama hiyo basi ina maana hafai kuchunguza tukio la TL.

..mchunguzi anatakiwa asiwe biased waziwazi kama alivyoonyesha IGP Sirro.
 
IGP aliyeshindwa Kutimiza Majukumu yake Polisi Wampige Risasi Akwilina kwa Mujibu wa Mambosasa Kina Mbowe Washtakiwa kuhusika Jaji Awaondolee Mashtaka kuna IGP hapo
Unajuaje kama akina mbowe hawakuhonga hao mahakimu wabatilishe kesi kwa kuwa waliambiwa waewe huru ila kuingikiwa
 
Haihitaji elimu.
Katiba za vyama zimeharibu mifumo yote
 
Cct camera na Lisu nani mwenye uwezo wa kujieleza zaidi mbele polisi?

..ukiwa na cctv wala humhitaji Tundu Lissu.

..atakuja kueleza nini ikiwa waliohusika wanaonekana kwenye cctv?

..kwa hapa tulipofikia IGP atueleze jeshi la Polisi linamhisi na kumtafuta nani kuhusiana na shambulizi la Lissu.
 
Ukweli ninaoujua ni kwamba Lissu baada ya kuona shambulio lile ni mtaji wa kisiasa na kimaslahi akaamua kulitumia ipasavyo na ndilo linalomuweka mjini Brussels hadi leo hii

..hivi unaamini Lissu ana-enjoy kuwa mlemavu, kuliko kuwa mbunge, wakili wa mahakama kuu, na kuishi kwa usalama?

..mbona Lissu alikuwa na kazi yake nzuri na akiishi Marekani kabla hajarudi nchini na kugombea ubunge?

..Lissu angekuwa anapenda maisha ya "ulaya" na angekuwa hana uzalendo na wito wa kutetea Watz wenzake asingeacha kazi Marekani na kurudi nchini kuhangaika na siasa za upinzani za Tz.
 
Na kama Huyo TL hataki ushirikiano, kwani nini wasimkate kwa msaada wa interpol? Jinai ilifanyika ambayo ilihatarisha usalama wa nchi, haijalishi alitendea Lisu au nani, Jeshin la polisi lina wajibu wa kuchunguza hata kama Tundu Lisu anataka au hataki... huyo Kamanyoro Sirro anacheza tu na maneno... aache kuzunga mbuyu, atumbie watanzania, uchunguzi umefikia wapi na riport ya awali inasema nini ? Attempted murder ya Lisu ililichafua taifa na hata sasa bado inaendelea kulichafua kwa kuwan hakuna uchunguzi wa maana uliofanyika...
 
Na kamaHuyon TL hataki ushirikiano, kwani nini wasimkate kwa msaada wa interpol? Jinai ilifanyika ambayo ilihatarisha usalama wa nchi, haijalishi alitendea Lisu au nani, Jeshin la polisi lina wajibu wa kuchunguza hata kama Tundu Lisu anataka au hataki... huyo Kamanyoro Sirro anacheza tu na maneno... aache kuzunga mbuyu, atumbie watanzania, uchunguzi umefikia wapi na riport ya awali inasema nini ? Attempted murder ya Lisu ililichafua taifa na hata sasa bado inaendelea kulichafua kwa kuwan hakuna uchunguzi wa maana uliofanyika...
Lisu hana akili mpaka akamatwe ndiyo atoe ushirikiano kwenye kesi inayomhusu yeye?
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro amesema kwenye kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 alimpigia simu Lissu ili aje kituo cha polisi amhoji na atoe maelezo ya nini kilitokea hasa aliposhambuliwa kwa risasi jijini Dodoma lakini hakwenda kituo cha polisi hadi leo.

Sirro amesema Tundu Lissu anatumia hilo shambulio kama njia ya kujipatia kipato na kuweza kulelewa na wazungu Ulaya.
View attachment 1849358
Kasema lini huu ujinga?
Gari la LISSU bado liko Polisi Dodoma?
Wote wanaoumizwa nchini IGP ndo anawapigia simu wakahojiwe?
 
Lisu hana akili mpaka akamatwe ndiyo atoe ushirikiano kwenye kesi inayomhusu yeye?

..mtu anayekataa kutoa ushahidi anatakiwa kukamatwa.

..hivi unafikiri polisi wangekuwa wanamtafuta ili wambambikie kesi zao za uchochezi wasingemkamata Tundu Lissu?
 
Back
Top Bottom