IGP Sirro: Kipindi cha kampeni nilimtafuta Tundu Lissu aje kuhojiwa lakini hakuja

IGP Sirro: Kipindi cha kampeni nilimtafuta Tundu Lissu aje kuhojiwa lakini hakuja

Kila siku Lissu tangu yupo Nairobi mpaka ameenda Belgium kwenye matibu amekua akiomba kuhojiwa na polisi kwa kufatwa alipo au hata kwa teknolojia ya video mkamkwepa mmesubiri hadi alipoanza kumtia misumari mzee pombe kwenye kampeni ndiyo mnamuita kituo cha polisi,
hivi hata kama ingemuwa wewe ungewaamini na kujipeleka kuhojiwa?
Afatwe alipo yeye amekua NANI?
 
Hizi akili za ki-Musiba ndiyo zinakufanya unashupaza fuvu ila ukweli unaujua deep in your heart.
Ukweli ninaoujua ni kwamba Lissu baada ya kuona shambulio lile ni mtaji wa kisiasa na kimaslahi akaamua kulitumia ipasavyo na ndilo linalomuweka mjini Brussels hadi leo hii
 
Hehe daah,

Jamaa anatumia tukio lake kama njia ya kuipatia kipato na kulelewa na wazungu??

Arudi nyumbani sasa.
 
Ukweli ninaoujua ni kwamba Lissu baada ya kuona shambulio lile ni mtaji wa kisiasa na kimaslahi akaamua kulitumia ipasavyo na ndilo linalomuweka mjini Brussels hadi leo hii
Umataga ni shuhuli ngumu sana aisee.
 
Hehe daah,

Jamaa anatumia tukio lake kama njia ya kuipatia kipato na kulelewa na wazungu??

Arudi nyumbani sasa.
Alikua anasema magu ndio amempiga risasi magu kafariki arudi atoe maelezo sasa
 
Umataga ni shuhuli ngumu sana aisee.
Lissu ni mchumia tumbo kila kitu kwake ni maslahi anataka watu wa-solve kesi yake kwa kutumia mazingaombwe ilihali hataki kutoa ushirikiano kama haamini polis kwamba wanaweza tatua tatizo aache kuwalaumu aame na nchi aende mahali salama zaidi
 
Lissu ni mchumia tumbo kila kitu kwake ni maslahi anataka watu wa-solve kesi yake kwa kutumia mazingaombwe ilihali hataki kutoa ushirikiano kama haamini polis kwamba wanaweza tatua tatizo aache kuwalaumu aame na nchi aende mahali salama zaidi
Umataga ni kibarua kigumu sana sijui mnakimudu vipi.
 
Lissu ni raia aliyeshambuliwa na taarifa ziko polisi hakuna sababu yoyote ya Igp kuacha kuchunguza hilo swala kwasababu lissu hajaojiwa.Wanataka wamuhoji kitu gani mtu aliyeshambuliwa kwa risasi.jibu la lissu litakua moja tu kua sikumuona mtu yoyote kwasababu nilikua naangaika kujificha risasi zisinipate.Mambo mengine ni aibu kwa hili jeshi lililokosa weledi.na hili lakukosa weledi liko wazi ndo maana hadi leo Waliomteka Mo hawajapatikana na Mo yupo na alihojiwa.
 
Sina kadi ya chama chochote mpaka wakati huu ... hii inanipa uhuru wa kuona nani mhuni nani anafanya siasa za kweli
Siasa gani za kweli hapo.acha ulofa.inaonekana hata hujui majukumu na wajibu wa jeshi la polisi.Unadhani walioanzisha kitengo cha upelelezi ndani ya jeshi la polisi walikua mbulula kama wewe.Nyie ndio mnaolifanya jeshi la polisi lisiwajibike ipasavyo.
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro amesema kwenye kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 alimpigia simu Lissu ili aje kituo cha polisi amhoji na atoe maelezo ya nini kilitokea hasa aliposhambuliwa kwa risasi jijini Dodoma lakini hakwenda kituo cha polisi hadi leo.

Sirro amesema Tundu Lissu anatumia hilo shambulio kama njia ya kujipatia kipato na kuweza kulelewa na wazungu Ulaya.
View attachment 1849358
mlisha muhoji MO ile sinema yenu ya kihindui ya kuvishana khanga? tuanzie hapo.
 
Siasa gani za kweli hapo.acha ulofa.inaonekana hata hujui majukumu na wajibu wa jeshi la polisi.Unadhani walioanzisha kitengo cha upelelezi ndani ya jeshi la polisi walikua mbulula kama wewe.Nyie ndio mnaolifanya jeshi la polisi lisiwajibike ipasavyo.
Muambie aje ahojiwe isije ikawa aliiba mke wa mtu
 
Back
Top Bottom