Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,239
- 11,731
Warejeshe kwanza zile cctv ziangaliwe,waliowaamrisha walinzi wasiwepo kazini mida hiyo,ujio wa Makonda Dodoma jioni ile kabla ya tukio,na vielelezo vingine kadha wa kadha wahusika waweze kukamatwa na kuhojiwa.Kwa nini Lissu hataki kwenda kuhojiwa?
Ni suala la Muda tu,watatajana wenyewe sijui watafichia sura zao wapi hawa wazee wetu. "Vyeti vya mirembe" tungeyajua wapi?
Ni swala la muda tu.
Mungu hadhihakiwi