auferet dominus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,804
- 1,292
Anayo haki. wote hao wamo kwenye serikali inayowajibika kwa wananchi, mwananchi mmoja mmoja na wote kwa ujumla. wananchi ndio waajiri wao. yaani hata hili kichwa yako inalishindwaKwa nini Lisu anapenda kutoa mashariti kwa viongozi?
Rais anampa mashariti
IGP anampa mashariti