IGP Sirro: Kipindi cha kampeni nilimtafuta Tundu Lissu aje kuhojiwa lakini hakuja

Kwa nini Lisu anapenda kutoa mashariti kwa viongozi?
Rais anampa mashariti
IGP anampa mashariti
Anayo haki. wote hao wamo kwenye serikali inayowajibika kwa wananchi, mwananchi mmoja mmoja na wote kwa ujumla. wananchi ndio waajiri wao. yaani hata hili kichwa yako inalishindwa
 

..binafsi nimemshangaa sana IGP.

..nimeshangaa maneno ya KASHFA aliyoyatoa dhidi ya Tundu Lissu.

..Ni bahati mbaya kwamba tuna IGP anayetoa kauli za kashfa dhidi ya wahanga wa matukio ya kihalifu.
 
kati ya polisi wa ajabu nchi hii, huyu ni namba moja. angeomba astaafu tu
 
Anayo haki. wote hao wamo kwenye serikali inayowajibika kwa wananchi, mwananchi mmoja mmoja na wote kwa ujumla. wananchi ndio waajiri wao. yaani hata hili kichwa yako inalishindwa
Viongozi hawana haki?
 
Cct camera na Lisu nani mwenye uwezo wa kujieleza zaidi mbele polisi?
Kama cctv hazina msada mbona serikali iliziondoa iliogopa nini?

Baada jeshi la polisi kukili wazi kwamba wameshindwa kupata ushahidi juu ya lile tukio, Kwanini serikali iligoma issue ya kuletwa watalamu kutoka nje ya nchi waje kuchunguza lile tukio?.
 
Mseminari Simon Sirro anakwambia Tundu Lissu kwa asili ni mkaidi
 
Viongozi hawana haki?
narudia, akili yako ni ndogo mno. umeuliza kwanini TL anapenda kutoa mashariti kwa viongozi?
Rais anampa mashariti
IGP anampa mashariti
sasa unachouliza ni kuwa viongozi hawana haki ya kupewa masharti au ni nini. haki walionayo ni kufanya kazi kwa mujibu wa muongozo wa kazi zao ikiwa ni pamoja na kujibu maswali na matakwa ya wananchi waliowaweka madarakani. period
 
Haya maisha teh....yani kwa mfano tu unapanga kumuua mtu halafu hafi unakufa wewe 😁 inafurahisha
Unapiga push up kujimwambafai una afya njema huku ukimcheka lowassa ila mwisho wa siku unatangulia mwenyewe kufa🤣🤣🤣
 
Sijui wananchi wenzangu nani amewaroga??? Angekua anahofia uhai wake angerudi kufanya kampeni na changanyikeni ile tena korona ikiwa ya moto ... nyuma akiwa na mlinzi mmoja mwenye mkuki kama Mmasai??
 
Yamemkuta madhila makubwa sana bwana yule, kila mtu anajua lakini alipoanza kuyatumia kama mtaji... anafanya watu waanze kumfananisha na wale ombaomba ambao wanatembea kuonyesha vidonda au magonjwa ila wakitokea wasamaria wakuwapeleka hospitali, wanakimbia
 
The moment jamaa amewaambia anafuatiliwa walichukua hatua gani?

Unafiki mbaya sana.
 
Una akili sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…