IGP Sirro: Kipindi cha kampeni nilimtafuta Tundu Lissu aje kuhojiwa lakini hakuja

..IGP amekosea kutoa kauli za kumkashifu Tundu Lissu.

..kusema Lissu anatumia hilo tukio la kushambuliwa kujipatia kipato na kulelewa na wazungu sio sahihi.
Ni uongo?
 
Mwambieni Lisu na dereva wake waende polisi kuhojiwa
 
Siro naye ni mjinga wa kutupwa kama wajinga wajinga wenzake.
 
Kuna utofauti mkubwa kati ya kesi ya mauaji na kesi ya kujeruhiwa
Acheni kupotosha. Polisi walitakiwa kufungua jalada la uchunguzi mapema tu. Kuna wale waliokuwepo nyumba za jirani ambao walishuhudia na hata kusikia milio ya risasi. Hao ndio wa kwanza kuhojiwa. Hakuna aliyehojiwa.
Kuna ishu ya kamera za cctv. Tunaambiwa ziliondolewa. Hatujaelezwa chochote. Kuna walinzi wa eneo hilo ambao pia waliondolewa. Na kama hawakuondolewa, basi hao ni mashuhuda muhimu. Kama waliondolewa mapema, basi tukio zima lilipangwa na mamlaka ya juu.

Kuna kamati maalum iliyoundwa na Bunge, chini ya Adadi Rajabu. Tunaambiwa siku iliyopangiwa kuwasilisha ripoti Bungeni, ghafla taratibu zikabadilishwa na ripoti hiyo haikufika Bungeni. Kwa nini? Jibu ni wazi. Kuna mamlaka yenye nguvu ambayo haitaki uchunguzi ufanyike.

Ukimsikiliza vizuri Kamanda Sirro, haongei kama afisa wa polisi, kama ambavyo mtu kama Ernest Mangu angeongea. Haongei kitaalamu, anababaisha. Ana ushahidi gani kwamba Tundu Lissu kaenda Ubelgiji kutafuta unafuu wa maisha? Matibabu je?

Sirro anaongea kama kikaragosi cha watawala. Anawasaidia watawala
 
Wangemuuliza wamefiki wapi na ya Ben, Azory, viroba kuelea, ofisi za Immma, Mo, Roma na wengine
 
Kwa nini uhoji jirani wakati mwenye tukio yupo?
Nani mwenye taarifa sahihi kati ya jirani na Lisu?
 
Kijogoo D,Naona nguvu zipo za kutosha,nivyema ukazitumia vyema,zikipotea hazirudi.Ni mawazo tu.
 
Kwani Lissu bado yupo jamani, mbona hatumsikii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…