IGP Sirro tafakari sana maneno ya mtu aliewaua Polisi aliposikika akisema "Nawatafuta Polisi"

IGP Sirro tafakari sana maneno ya mtu aliewaua Polisi aliposikika akisema "Nawatafuta Polisi"

Siwezi kuwazia huyu jamaa aliekaa hapa kitu gani kilikuwa kinaendelea kichwani! Anajaribu kujifanya mdogo kama piriton lakini inashindikana! 🤣 🤣 🤣

1629914850599.png
 
Una unacho kifahamu mzee, mengine hacha kama yalivyo... Kama kungekuwa kuna back up ya waalifu na mmoja ndio amejionesha pekee...?

Vipi kibaka uliye muona ndani ya uzio wako wa nyumba, lakini bila kujua nje au njiana kuna wengine ambao wapo kumpa msaada kibaka mwenzao... Huku una jidanganya ni huyu huyu hakuna kibaka mwingine au majambazi wengine!?

mbona wakisikia ni chadema wanakuja mazima [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ninaamini kwa dhati kabisa, kwamba kama huyu mtuhumiwa wa mauaji ya Polisi angekuwa hapa amevaa nguo ya Chadema na sio ya CCM, IGP Siro saa hizi angekuwa anafanya sherehe na kusahau kwamba kuna Polisi wake watatu wameuwawa, na hata angekuwa anafikiria kuipeleka hiyo picha mahakamani ikatumike kama ushahidi katika kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe

View attachment 1908213

He Made My Day[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji1787][emoji1787][emoji2223]
 
tusipende sana kila jambo tunashutumu Polisi, hebu tujaribu kuwa na shukrani hata kwa kile kidogo wanachofanya...hivi hamuoni wanavyotulinda mitaani huku na kutatua changamoto za kila siku mtaani huku, hivi hatuoni hawa traffic police wanavyotusaidia huku mabarabarani pamoja na ujira mdogo wanaolipwa?... hakuna kazi isiyo na changamoto duniani hapa na hakuna police walio perfect dunia pote hapa tuache lawama....

Hivi hatujaona ile effort ya wale askari waliojitolea kuzikwepa risasi na kuleta amani pahala pale?.....kwa hiyo wangemuacha tu yule jamaa na bunduki zake anapiga marisasi na kuleta taharuki huku kazi zimesimama nk..
 
tusipende sana kila jambo tunashutumu Polisi, hebu tujaribu kuwa na shukrani hata kwa kile kidogo wanachofanya...hivi hamuoni wanavyotulinda mitaani huku na kutatua changamoto za kila siku mtaani huku, hivi hatuoni hawa traffic police wanavyotusaidia huku mabarabarani pamoja na ujira mdogo wanaolipwa?... hakuna kazi isiyo na changamoto duniani hapa na hakuna police walio perfect dunia pote hapa tuache lawama....

Hivi hatujaona ile effort ya wale askari waliojitolea kuzikwepa risasi na kuleta amani pahala pale?.....kwa hiyo wangemuacha tu yule jamaa na bunduki zake anapiga marisasi na kuleta taharuki huku kazi zimesimama nk..
Tunajua kuna Polisi ambao ni wazuri tu, lakini ni wachache sana, na hil halitafanya tuache kusema ukweli kwamba uhusiano wa jeshi la Polisi la Tanzania na raia ni mbovu na wala hawajali hilo. Sasa hao Polisi wachache wazuru hawawezi kuficha ukweli wa jumla juu ya Polisi wa Tanzania.
 
Tunajua kuna Polisi ambao ni wazuri tu, lakini ni wachache sana, na hil halitafanya tuache kusema ukweli kwamba uhusiano wa jeshi la Polisi la Tanzania na raia ni mbovu na wala hawajali hilo. Sasa hao Polisi wachache wazuru hawawezi kuficha ukweli wa jumla juu ya Polisi wa Tanzania.

wapi duniani kuna uhusiano mzuri wa jeshi la polisi na raia?
 
wapi duniani kuna uhusiano mzuri wa jeshi la polisi na raia?
Norway, Sweden, Japan, Botswana, Uingereza, nk nk

Angalia pia South Afrika, polisi wana bifu na majambazi tu, lakini kwa raia wa kawaida hawana tatizo na wanahusiana vizuri sana
 
Tatizo SMG na Glock Tanzania ni adimu eeh?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu umejuaje
 
Back
Top Bottom