IGP Sirro tafakari sana maneno ya mtu aliewaua Polisi aliposikika akisema "Nawatafuta Polisi"

IGP Sirro tafakari sana maneno ya mtu aliewaua Polisi aliposikika akisema "Nawatafuta Polisi"

Alitoa tamko kuwa jeshi limetuliza ghasia hiyo na wamekufa watu wawili tu ila baada ya muda limekuja tamko lingine wamekufa watu wanne .
Shagala-bagala.
Polisi wa Tanzania sio tu hawana ujuzi wa kukabiliana na matukio kama haya, hawana ujuzi wa kutoa matamko. Wanabwabwaja tu ooh tuna ushahidi wa ugaidi! Wameomba ugaidi ukaja.
 
Dunia nzima polisi hawana uhusiano na raia ni Kama ilivyo darasani monitor and class monitress wanavyochukiwa na wanafunzi wenzao kwakua wanawanyima uhuru wa kufanya mambo ambayo ni kinyume na sheria za darasa
Kazi ya polis ni kazi ambayo hata wafanye wema gani raia hatuwezi kuona wema wao na wao wanalijua hilo kikubwa wapo wachache wanao heshimu mchango wao na hiyo inatosha mimi naheshimu juhud zao na ninatoa pole kwa wote waliofarik Mungu awasemehe dhambi zao Amiin
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu umejuaje
Nimezitafuta sana!🤣🤣🤣.

Huyu jamaa kaniacha hoi. Kwanza kaenda kwenye banda la polisi na bastola, labda na risasi mbili au tatu tu. Kupitia polisi akapata SMG mbili, na risasi sitini! Utafikiri mchezo wa upatu!

Halafu watu wanadhani eti ni mental case. That was a damn good plan for a mental case!
 
Norway, Sweden, Japan, Botswana, Uingereza, nk nk

Angalia pia South Afrika, polisi wana bifu na majambazi tu, lakini kwa raia wa kawaida hawana tatizo na wanahusiana vizuri sana

kwahiyo Tanzania polisi wanabifu na raia huku mitaani.....mbona mara nyingi tu napishana nao usiku wakiwa kwenye doria zao barabarani sioni wakifyatulia raia risasi, mbona huko kwenye mabaa usiku watu wanakula ulabu sioni wakifyatua risasi....mbona hapo posta na kariakoo mchana sioni wakikamata watu hovyo?...

Bro naomba nikwambie, dunia kote polisi hawapendwi maana raia duniani kote tunapenda kuvunja sheria tuachwe tu.... duniani kote pia kuna polisi wabaya na wazuri pia..
 
Hivi Watanzania wangapi wanawaona polisi wa Tanzania katika taswira hii, walinzi wa raia na mali zao?
Watanzania wengi
Yaani mimi nina ndinga yangu Toyota Kruger napiga trip ya mkoa nakutana na polisi trafic na polisi wa wa kawaida huko njiani wananipiga mkono nisimame, unataka nijiambie moyoni nimekutana na walinzi wa Kruger yangu katika safari? Wewe naona una IST unatumia Dar tu!
 
Nimezitafuta sana![emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Huyu jamaa kaniacha hoi. Kwanza kaenda kwenye banda la polisi na bastola, labda na risasi mbili au tatu tu. Kupitia polisi akapata SMG mbili, na risasi sitini! Utafikiri mchezo wa upatu!

Halafu watu wanadhani eti ni mental case. That was a damn good plan for a mental case!

Hell Yeah, Hell Yeah, He Made My Day https://jamii.app/JFUserGuide polic,
 
Copy and Paste

[8/25, 7:31 PM] First Born: Alikua anaenda kumuhuzia mtu dhahabu maeneo ya masaki police wakamkamata so wakat wanaenda kituo salander
[8/25, 7:31 PM] First Born: Polisi ndio chanzo aise walitaka kumzulumu
[8/25, 7:31 PM] First Born: Wakaingia chobingo hili wamalizane police wakaleta tamaa yenye akawawahi na sirahara yake ndogo
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyo dogo anamigodi ya dhahabu kule chunya aliachiwa na baba yake
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyu dogo nakaa nae mtaa mmoja police ndio wamemzungua madini yake
[8/25, 7:31 PM] First Born: Jana usiku tulikua nae mtaa I aise police ndio wameleta tamaa zao tu
[8/25, 7:31 PM] First Born: No dogo mmoja cool sana
[8/25, 7:31 PM] First Born: Baada ya hapo akachukua hizo 47 ndio kuuza kupiga hivyo huku akisema anataka police
[8/25, 7:31 PM] First Born: Ata cc tunashangaa sana kutokea hivyo
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyo dogo sio jambazi kabisa yani
[8/25, 7:31 PM] First Born: Inasikitisha sana... Kumbe polisi ndio walisababisha hii shida yote... Uchunguzi wa kina na wauwazi utaitajika...
 
kwahiyo Tanzania polisi wanabifu na raia huku mitaani.....mbona mara nyingi tu napishana nao usiku wakiwa kwenye doria zao barabarani sioni wakifyatulia raia risasi, mbona huko kwenye mabaa usiku watu wanakula ulabu sioni wakifyatua risasi....mbona hapo posta na kariakoo mchana sioni wakikamata watu hovyo?...

Bro naomba nikwambie, dunia kote polisi hawapendwi maana raia duniani kote tunapenda kuvunja sheria tuachwe tu.... duniani kote pia kuna polisi wabaya na wazuri pia..
Huku kwetu saa 6 usiku ukutane na polisi daaah bora ukutane na simba jike unaweza pona si polisi
 
Nimezitafuta sana![emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Huyu jamaa kaniacha hoi. Kwanza kaenda kwenye banda la polisi na bastola, labda na risasi mbili au tatu tu. Kupitia polisi akapata SMG mbili, na risasi sitini! Utafikiri mchezo wa upatu!

Halafu watu wanadhani eti ni mental case. That was a damn good plan for a mental case!

polisi wanaupiga mwingi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kwahiyo Tanzania polisi wanabifu na raia huku mitaani.....mbona mara nyingi tu napishana nao usiku wakiwa kwenye doria zao barabarani sioni wakifyatulia raia risasi, mbona huko kwenye mabaa usiku watu wanakula ulabu sioni wakifyatua risasi....mbona hapo posta na kariakoo mchana sioni wakikamata watu hovyo?...

Bro naomba nikwambie, dunia kote polisi hawapendwi maana raia duniani kote tunapenda kuvunja sheria tuachwe tu.... duniani kote pia kuna polisi wabaya na wazuri pia..
Mkuu, Polisi wa Tanzania hawana uhusiano mzuri na raia, sio kwamba wana akili ya ukichaa dhidi ya raia itakayowafanya wawafyatulie risasi ovyo. Mbona unapenda kwenda kwenye extreme scenario kiasi hiki na ku-exaggerate mambo?

Sasa mtu kama wewe siku ukiwa na bifu na Polisi tutasikia umeua Polisi wote wa Central, maana unaenda kwenye extreme levels mno!
 
Tunajua kuna Polisi ambao ni wazuri tu, lakini ni wachache sana, na hil halitafanya tuache kusema ukweli kwamba uhusiano wa jeshi la Polisi la Tanzania na raia ni mbovu na wala hawajali hilo. Sasa hao Polisi wachache wazuru hawawezi kuficha ukweli wa jumla juu ya Polisi wa Tanzania.

We mpumbavu sana. Jitafakari Badilika.
 
Copy and Paste

[8/25, 7:31 PM] First Born: Alikua anaenda kumuhuzia mtu dhahabu maeneo ya masaki police wakamkamata so wakat wanaenda kituo salander
[8/25, 7:31 PM] First Born: Inasikitisha sana... Kumbe polisi ndio walisababisha hii shida yote... Uchunguzi wa kina na wauwazi utaitajika...
Alaa kumbe! Ngoja niwahi Polisi nikawaambie huyu jamaa alikuwa mchimba dhahabu Chunya nipate Milioni mbili!
 
Tunajua kuna Polisi ambao ni wazuri tu, lakini ni wachache sana, na hil halitafanya tuache kusema ukweli kwamba uhusiano wa jeshi la Polisi la Tanzania na raia ni mbovu na wala hawajali hilo. Sasa hao Polisi wachache wazuru hawawezi kuficha ukweli wa jumla juu ya Polisi wa Tanzania.
We mpumbavu sana. Jitafakari Badilika.
Najua na wewe ni Polisi, bado siku yako. Mmezidi sana nyie dawa yenu moja tu, vitu vyenye ncha kali, a taste of your own medicine!
 
Back
Top Bottom