Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
-
- #21
Na hayo ni mawazo hisia za Watanzania wengi sana, lakini kwa kusikitisha sana Polisi hawajali! Nimeona comments humu JF Polisi anaporipotiwa kuuwawa, inasikitisha sana.Mimi nasema wauwawe tu hakuna watu wabaya kama askari tena ameuwa wachache sana wangefika hata 15.
Kuna siku inaweza kutokea. Ngoja Polisi wetu waendelee kuzalisha "magaidi", itawatokea puani.Hao ni wachache sana,angeua 2,000
Polisi ni walinzi wa Raia na Mali zao. Mengine ni changamoto ndogo ndogo kwenye maeneo yao ya utendaji.
Una unacho kifahamu mzee, mengine hacha kama yalivyo... Kama kungekuwa kuna back up ya waalifu na mmoja ndio amejionesha pekee...?
Vipi kibaka uliye muona ndani ya uzio wako wa nyumba, lakini bila kujua nje au njiana kuna wengine ambao wapo kumpa msaada kibaka mwenzao... Huku una jidanganya ni huyu huyu hakuna kibaka mwingine au majambazi wengine!?
Ninaamini kwa dhati kabisa, kwamba kama huyu mtuhumiwa wa mauaji ya Polisi angekuwa hapa amevaa nguo ya Chadema na sio ya CCM, IGP Siro saa hizi angekuwa anafanya sherehe na kusahau kwamba kuna Polisi wake watatu wameuwawa, na hata angekuwa anafikiria kuipeleka hiyo picha mahakamani ikatumike kama ushahidi katika kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe
View attachment 1908213
Siwezi kuwazia huyu jamaa aliekaa hapa kitu gani kilikuwa kinaendelea kichwani! Anajaribu kujifanya mdogo kama piriton lakini inashindikana! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
View attachment 1908255
Tunajua kuna Polisi ambao ni wazuri tu, lakini ni wachache sana, na hil halitafanya tuache kusema ukweli kwamba uhusiano wa jeshi la Polisi la Tanzania na raia ni mbovu na wala hawajali hilo. Sasa hao Polisi wachache wazuru hawawezi kuficha ukweli wa jumla juu ya Polisi wa Tanzania.tusipende sana kila jambo tunashutumu Polisi, hebu tujaribu kuwa na shukrani hata kwa kile kidogo wanachofanya...hivi hamuoni wanavyotulinda mitaani huku na kutatua changamoto za kila siku mtaani huku, hivi hatuoni hawa traffic police wanavyotusaidia huku mabarabarani pamoja na ujira mdogo wanaolipwa?... hakuna kazi isiyo na changamoto duniani hapa na hakuna police walio perfect dunia pote hapa tuache lawama....
Hivi hatujaona ile effort ya wale askari waliojitolea kuzikwepa risasi na kuleta amani pahala pale?.....kwa hiyo wangemuacha tu yule jamaa na bunduki zake anapiga marisasi na kuleta taharuki huku kazi zimesimama nk..
jamaa ana roho nzuri sanaa kwa kweli Mungu amrehemu
Alitoa tamko kuwa jeshi limetuliza ghasia hiyo na wamekufa watu wawili tu ila baada ya muda limekuja tamko lingine wamekufa watu wanne .Siro yule wa kuutangazia ulimwengu kuwa nchi yetu ina ugaidi!!! Utashangaa siku akitoka kuelezea hili tukio.
Tunajua kuna Polisi ambao ni wazuri tu, lakini ni wachache sana, na hil halitafanya tuache kusema ukweli kwamba uhusiano wa jeshi la Polisi la Tanzania na raia ni mbovu na wala hawajali hilo. Sasa hao Polisi wachache wazuru hawawezi kuficha ukweli wa jumla juu ya Polisi wa Tanzania.
View attachment 1908292
Na inaonyesha wazi huyu jamaa hakuwa mental case, la sivyo raia wengi sana wangekuwa wameuwawa. Yeye alikuwa na bifu na Polisi tu, katika utimamu wake wa akili. Angekuwa mental case huyo mtu hapo angepigwa risasi.
Norway, Sweden, Japan, Botswana, Uingereza, nk nkwapi duniani kuna uhusiano mzuri wa jeshi la polisi na raia?
jamaa ana roho nzuri sanaa kwa kweli Mungu amrehemu
Tatizo SMG na Glock Tanzania ni adimu kupatikana eeh?🤣🤣🤣ni wengi tunachuki na polisi ila namna ya kufikisha ujumbe
Tatizo SMG na Glock Tanzania ni adimu eeh?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]