IGP Sirro tafakari sana maneno ya mtu aliewaua Polisi aliposikika akisema "Nawatafuta Polisi"

Jeshi polisi Tanzania limeharibiwa na CCM yaani kiukweli professionally wamebaki zeroo.
 
mi nilichoshangaa jamaa alikua mmoja ila hilo mbilinge lake jeshi la polisi watu kama wote.Hivi wangekua km watano ingekuwaje?si lingetoka jeshi lote la Dar?

Ogopa mtu akishika silaha,usijeleta mawazi ya kishujaa kama kwenye movie hata siku moja.
 
Mimi nasema wauwawe tu hakuna watu wabaya kama askari tena ameuwa wachache sana wangefika hata 15.

Wakifika askari 5 wewe linda huna.hata muda wa kuandika jf ungekosa.

Bad news ni kwamba polisi wataendelea kukufilimba tu hata wakifa wangapi.
 
Na hayo ni mawazo hisia za Watanzania wengi sana, lakini kwa kusikitisha sana Polisi hawajali! Nimeona comments humu JF Polisi anaporipotiwa kuuwawa, inasikitisha sana.

polisi wana dharau sababu coment hizi hazitoki kwa watu wao wanaowapenda.

unakutana na nguruwe mmoja akubabaishe kisa ana stress za maisha!!!
 
Polisi ni walinzi wa Raia na Mali zao. Mengine ni changamoto ndogo ndogo kwenye maeneo yao ya utendaji.
Umesikia Polisi walimnyanganya dhahabu waliyomkuta nayo katika harakati za kuuza, na jamaa ni mchimba dhahabu huko Chunya? Sasa hao ni walinzi wa mali zetu kweli? Unakumbuka wale jamaa waliuwawa Sizna na wakiwa na madini na kusingiziwa walikuwa majambazi? Polisi walimuua hata taxi driver ambae wala hakujua kinachoemdelea wao kupoteza ushahidi

Kama hawa Polisi wangejua ugumu wa kupata dhahabu kwenye machimbo Chunya, wasingethubutu kumnyanganya. Najua jamaa alikuwa anauza dhahabu kimagendo, lakini hiyo sio excuse kwa Polisi kumnyanganya ili iwanufaishe wao. Kwa hiyo kama hilo ndilo walilofanya ni good riddance kwa Polisi waovu walioko katika jeshi. Na kama kuna Polisi kjauwawa hakuhusika, basi wenzake ndio wa kulaumiwa, sio huyu mtu aliewaua
 

shukrani kutoka chadema!!!!hawa mbwa hata uwapikie hela wafanye mboga watalia na chakula mdomoni,muulize bi samia.

kaamua kuwafilimba tu,maana hawana maana.
 
Hivi hatujaona ile effort ya wale askari waliojitolea kuzikwepa risasi na kuleta amani pahala pale?.....kwa hiyo wangemuacha tu yule jamaa na bunduki zake anapiga marisasi na kuleta taharuki huku kazi zimesimama nk..


Tumekuambia hivi, huyu jamaa hakuwa na tatizo na raia, bali Polisi waliochukua dhahabu yake kwa dhuruma. Sasa nani kavuruga amani pale, yeye au Polisi zurumat? Wewe unaona huyo jamaa ana tatizo lolote na huyo raia kwenye picha?

Na ningekuwapo ningemwambia anipe bunduki moja tusaidiane kuondoa Polisi waovu
 
Umeenda mbali zanzibar polisi na raia wanapiga stori pamoja mda wa swala wote msikitini kuswali zanzibar raia wa kawaida anajibizana na askari halafu yanaisha ila sio bara huku kuumizana tu.
 
mi nilichoshangaa jamaa alikua mmoja ila hilo mbilinge lake jeshi la polisi watu kama wote.Hivi wangekua km watano ingekuwaje?si lingetoka jeshi lote la Dar?
Polisi wajiulize....huyu raia pengine hata JKT kwa mujibu hajapitia ila anamimina njugu kiasi kile. Wawe na adabu!
 
Police wamempa dingi yangu mdogo kesi ya Bangi kete 300 na hausiki nazo na wamemjua mmiliki lakini wamekomaa wapewe 2million,kesi Wametaka iende mahakamani kama hakuna pesa,ndo inaunguruma mahakamani.

Hawa jamaa sina hamu nao,walimbambikia kesi ya wizi na mama yangu mpaka akalala kituoni.

Hawa jamaa wanauzia unasonya mpaka basi
 
Polisi ni walinzi wa Raia na Mali zao. Mengine ni changamoto ndogo ndogo kwenye maeneo yao ya utendaji.
Ulinzi gani wa mali?
Police ndy adui namba moja wa Mali zako.
Ngoja siku uingie kwenye timings zao ,
Wakushike na mali zako halali au pesa.

Kama hukupewa kesi? Basi utaundiwa zengwe ,,
Ukubali kugawana nao..
 
Wewe HAYAJAKUKUTA ...! Nimekusoma muda mrefu sana unatetea polisi. Polisi wa Tz sio watu hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…