IGP Sirro tafakari sana maneno ya mtu aliewaua Polisi aliposikika akisema "Nawatafuta Polisi"

Nitakuwa wa mwisho kuamini huyo dogo ni gaidi.
Kuna kitu walimfanyia. Na ninahisi walimu_underestimate kutokana na muonekano wake, hawaukujua kama atakuwa ni imara kiasi hicho.
RIEP

mtu yeyote mwenye silaha ni imara.
 

Chief, umeshasema jamaa alikuwa anauza dhahabu kimagendo kifupi sio raia mwema, kama ilivyo kwa raia wapo wema na wapo wasio wema...hata polisi wapo wema na wasio wema....yeye hakuwa raia mwema kakutana na polisi ambao nao sio polisi wema kwenye dili zao chafu huko mitaani wamedhurumiana....

ndio maana huko juu nikakwambia hii ni shida ya duniani kote, polisi wa namna hii wapo ambao kazi yao ni kupiga deal za magendo na wauza magendo hii ni duniani kote sio Tanzania tu...
tukiongea kiuhalisia, dhahabu ina taratibu zake za kuuza na kusafirisha ukienda tofauti na hizo maana yake uko tayari kupambana na risk zote huko kwenye black market....

haya sasa wameshadhurumiana na wapiga dili wenzie, katoka huko na chuki zake na hasirs zake kavamia askari lindo kawashoot kachukua silaha anataka kushambulia askari walio kazini na kuleta taharuki 'UNATAKA AACHWE ASICHUKULIWE HATUA?.....kama issue ni kulipa kisasi angemalizana na hao waliomdhurumu kwenye dili zao huko...

TUITHAMINI NA KUSHUKURU HATA HIKI KIDOGO AMBACHO POLISI WETU WANAKIFANYA KUTULINDA NA KUILINDA NCHI..
 
Well said, na polisi imefika muda muafaka kubadilika, narudia, wale wanaolichafuwa jeshi la polisi tafadhali mbadilike..
 
Yupo Selander.

Anawatafuta polisi.

Badala ya kugeuka kuwafuata Oysterbay ambapo wapo wengi.

Anaenda kituo cha Selander?
 
Polisi ni walinzi wa Raia na Mali zao. Mengine ni changamoto ndogo ndogo kwenye maeneo yao ya utendaji.
Changamoto ndogo ndogo unazizungumzia vitu gani wewe!?

Yani mtu ambaye anakulazimisha umpe rushwa kwa kukusingizia kosa sababu tu ana kimashine cha kufyatulia invoice unaita hio changamoto ndogo ndogo? Hivi unaujua uchungu wa kusingiziwa kitu kisicho haki wewe?
 
Polisi kulinda ni jukumu lao wala hatuna haja ya kushukuru sababu wanatekeleza kile ambacho wanalipwa kukifanya! Kulisha familia yako ni jukumu lako wala hustahili pongezi kwa hilo its your duty!

Ila inapotokea unahujumu wananchi thats a sin regardless unafanya majukumu yako pia ila ni dhambi kubambikia watu makosa ama kuwaweka watu ndani kwa interest zako! Upuuzi mkubwa sana!
 
wapi duniani kuna uhusiano mzuri wa jeshi la polisi na raia?
Idi amini tulimpiga kwa kuwa alikuwa na mahusiano mabaya na raia wake,so tulipata ushirikiano mkubwa toka kwa wananchi wake wenyewe,mahusiano mazuri ndo mpango mzima,
 
Kwa kuongezea afande zirro ageenda na hiyo picha mahakamani na kudai gaidi kabla ya kuzidiwa nguvu na kuuawa na jeshi la polisi alikuwa akitamka maneno kuwa ametumwa na mbowe
 
Norway, Sweden, Japan, Botswana, Uingereza, nk nk

Angalia pia South Afrika, polisi wana bifu na majambazi tu, lakini kwa raia wa kawaida hawana tatizo na wanahusiana vizuri sana
Umemjibu vyema mvaa kaki
 
Acha uonge hapa zambia tunawapenda sana polisi!!! Hawspendelei chama tawala!!
 
...Dah! Inafikirisha na kuumiza sana! [emoji53]
 
Naomba kuuliza,hivi uwiano wa polisi na raia uko vp,yaan polisi anauwezo wa kudhibiti raia wangapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…