Kazia hapo hapo, ni lazima kujiridhisha kutumwa kwa pesa hizo. Kuna nia ovu ndani yake
Na ile trillion 1.5 iliyotoweka kwenye kapu letu la kodi mbona hawajaichunguza kama imetumika kununulie binadam au hiyo ni halali tu na ununuzi kweli umefanyika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazia hapo hapo, ni lazima kujiridhisha kutumwa kwa pesa hizo. Kuna nia ovu ndani yake
bilioni sita pesa ya mboga nchi gani?
Acha kukariri!Inskuwaje unasimamisha shughuli za taasis kama hiyo kwa hisia tu? Vp kama utakuta hakuna tatizo?Unajua waajiriwa wangapi wataathirika kwa maamuzi kama hayo?kuwa na open mind utaelewa hoja yangu ni nin!Process huhusisha akaunti kufungwa
Acheni kulisha watu matango pori!Sababu za kipuuzi sana!Mpaka muone magaidi wanawalipua ndio mtamuelewa IGP?
We tulia, acha vyombo vichunguze kwa maslahi mapana ya taifa.Acha kukariri!Inskuwaje unasimamisha shughuli za taasis kama hiyo kwa hisia tu?Vp kama utakuta hakuna tatizo?Unajua waajiriwa wangapi wataathirika kwa maamuzi kama hayo?kuwa na open mind utaelewa hoja yangu ni nin!
Awamu hii ni ya ajabu sana!
Ndio keshasema endelea kusubiri cv ya sirro huku utekekezaji umeshafanyika.Hivi kamaanda sirro ana kiwango gani cha elimu? Maana unaweza kumlaumu kumbee tatizo ni elimu ndogo aliyonayo ndo mana akakimbilia upolisi
Hivi kamaanda sirro ana kiwango gani cha elimu? Maana unaweza kumlaumu kumbee tatizo ni elimu ndogo aliyonayo ndo mana akakimbilia upolisi
Kwani chadema sio binadamu?Hicho ni kituo cha kutetea haki za Chadema
Vipi kama wakikuta kuna tatizo?Acha kukariri!Inskuwaje unasimamisha shughuli za taasis kama hiyo kwa hisia tu? Vp kama utakuta hakuna tatizo?Unajua waajiriwa wangapi wataathirika kwa maamuzi kama hayo?kuwa na open mind utaelewa hoja yangu ni nin!
Awamu hii ni ya ajabu sana!
Sawa
Hapa tz ni hela ya mboga tu, mbona mwenyekiti kala billion 8.9 michango ya wabunge?Bilioni sita pesa ya mboga nchi gani?