IGP Sirro: Ukiwa na mtoto mhalifu halafu usitoe ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama wewe ni tatizo kwa Watanzania

IGP Sirro: Ukiwa na mtoto mhalifu halafu usitoe ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama wewe ni tatizo kwa Watanzania

Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Simon Sirro wakati akitoa salamu za jeshi la polisi kwenye msiba wa polisi waliouawa na jamaa aliyejulikana kwa jina la Hamza , ametoa wito kwa jamii kuwa makini na watoto wao kwani kama ikitokea ukawa na mtoto gaidi na anayefanya mambo ya hovyo hovyo kama aliyokuwa anafanya Hamza andika maumivu kwani vyombo vya usalama vikimpata hatabaki salama.


Nyani haoni kundule, yeye ni hasara kwa u-IGP wake kwa taifa kama Hamza alivyo hasara kwa wazazi wake
 
Kwa muonekano wa yule gaidi askari walifanya makosa kumuamini
Ndo nnachoshangaa,muuaji kaua kapora bunduki bado mnamfata na akawa front kindezindezi.
Huyo alishapagawa pale kajua hachomoki kaona aondoke nao tu.
Ilikua mida hiyo polisi wawe makini sana na huyo mtu.

Wamemfata kijinga kawamaliza nasijui ukweli ni upi maana kuna madai ya muuaji kuporwa madini ndio kawehuka.

Polisi tabia hiyo wanayo.
Miaka mingi nyuma buguruni pale nasubiri bus la gongolamboto sa tano usiku wakanikamata twende kituoni najaribu kujieleza hamna wakaniunga tu na vibaka waliisomba mtaani huko polisi nikapigwa sachi wakalamba hela zote mda wananitoa masharti nisiulize maswali nikapewa 80elfu wakati nilikabidhi 187000.

Simu yangu motorola ya saa hawakunirudishia.
 
Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Simon Sirro wakati akitoa salamu za jeshi la polisi kwenye msiba wa polisi waliouawa na jamaa aliyejulikana kwa jina la Hamza , ametoa wito kwa jamii kuwa makini na watoto wao kwani kama ikitokea ukawa na mtoto gaidi na anayefanya mambo ya hovyo hovyo kama aliyokuwa anafanya Hamza andika maumivu kwani vyombo vya usalama vikimpata hatabaki salama.



ccm nako kuna ugaidi kumbe?
 
"Huwa nawaambia siku zote, usicheze na mtu wa hovyo hovyo, usimwamini kila mtu. Walipomuona huyu mtu wa hovyo hovyo Hamza anawasogelea, walijua ni Mtanzania wa kawaida, kumbe alikuwa na pistol na akafanya alichofanya."- IGP Simon Sirro katika ibada ya kuaga miili ya askari wanne https://t.co/wboL2HHZVt

Duu anamanisha barakashia aliyovaa jamaa nini?
 
Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Simon Sirro wakati akitoa salamu za jeshi la polisi kwenye msiba wa polisi waliouawa na jamaa aliyejulikana kwa jina la Hamza , ametoa wito kwa jamii kuwa makini na watoto wao kwani kama ikitokea ukawa na mtoto gaidi na anayefanya mambo ya hovyo hovyo kama aliyokuwa anafanya Hamza andika maumivu kwani vyombo vya usalama vikimpata hatabaki salama.

Asante sana mzee wetu Siro maana hawa magaidi wamezidi sana
 
Back
Top Bottom