IGP Sirro: Ukiwa na mtoto mhalifu halafu usitoe ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama wewe ni tatizo kwa Watanzania

kwa upande wa shabaha,
Hakuna police pale mzee,
Mungu azidi kutulindawaTz..
 
Makada wa CCM wamekuwa watu wa hovyo hovyo?
 
Kwa kauli hii ilipaswa kesho taarifa ya vyombo via habari Sirro kupangiwa majukumu mengine....

Mama anasubiro nini kumfurusha huyu IGP??
 
Sirro alete ripoti "independent" ya uchunguzi wa kina alioagiza Mh. Rais. Hizi kauli zinaharibu na zinaingilia uchunguzi. Sirro anaelekea kumtupia lawama Hamza hata kabla ya uchunguzi kukamilika.
 
Ndio maana mnaambiwa muache kubambikia watu kesi ni mambo kama haya. Siro hatoshi kwenye hiyo nafasi rais samia fanya mabadiliko haraka sana.
 
Na Biden nimemsikia pia kuhusu wanajeshi 13 waliokufa
Anasema Hatutasahau na hatutasamehe
Tutawawinda na kuwafanya mlipe”

Ila haya maneno ya kujifariji tu ya Biden
 
Nachukia ugaidi.lakini Hamza kuna hisia flani hivi kaingiza kwa baadhi ya watu,hasa kwa watu wanochukia serikali kwa maumivu ya ongezeko la kodi,miamala,luku n,k.wanamuona Hamza yupo sawa hata kama gaidi.
 
Nachukia ugaidi.lakini Hamza kuna hisia flani hivi kaingiza kwa baadhi ya watu,hasa kwa watu wanochukia serikali kwa maumivu ya ongezeko la kodi,miamala,luku n,k.wanamuona Hamza yupo sawa hata kama gaidi.
Umejuaje kama ni gaidi? Rais aliagiza uchunguzi wa kina, ripoti umeipata?
Binafsi naona ilipaswa bunge liunde tume ya kuchunguza kiini hasa cha kisa cha Hamza. Ripoti hizo zitatusaidia siku za usoni.

Tuache tabia ya kuishi kama viumbe wasioona mbele na wasioweza kujifunza kutokana na yanayowatokea kila siku.
 
Nadhani hapo anawaonya polisi kua wakiendelea kuzubaa na kumuamini kila mtu katika maeneo yao ya kazi, watakufa kizembe.
 
Mjumbe wa halmashauli ya CCM anakuwaje mtu wa hovyo hovyo?yule ni mwenzao ndio mana alipowasogelea hawakuwa na Mashaka nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…