DOKEZO IGP tuokoe na wizi ulioibuka Arusha unatisha

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tanzania hii hunidanganyi shughuli zangu zimenifanya niwajue watanzania wote kwa kina

Majambazi wengi wa Arusha toka zamani wana asili ya kondoa hata ukienda mererani watu katili zaidi ni warangi ndio wanaongoza kwa natukio ya kuua

Duh! Mimi najuaga waarusha na wamasai ndiyo katili
 
Poleni sana, acheni kutusema wanaume wa dar
 
Nyie si mlikuwa mnawacheka wana daslam wanavyoteswa na panya road
 
waap uyo jamàa Adam alikimbia na anatafutwa sana na Polisi kwa matukio ambayo aliyafanya...sisi ambaye tulikua tunaishi nae karb ndio tunaujua ukweli....shida chuga siasa na fitina ndio zimetawala!!!
 
waap uyo jamàa Adam alikimbia na anatafutwa sana na Polisi kwa matukio ambayo aliyafanya...sisi ambaye tulikua tunaishi nae karb ndio tunaujua ukweli....shida chuga siasa na fitina ndio zimetawala!!!
Hajakimbia mbona yupo na anajulikana anapatikana wapi. Wizi wote wa uvunjaji unaoendelea anaufanya yeye
 
Hapa ni swala la wananchi kuchukua sheria mikononi tu. Mnamlia timing hata kama ni mchana geto kwake mnamtia moto hadharani
 
Baadhi ya polisi wasio waaminifu especially wale wa doria wanaozunguka na zile diffender na magari mengine ya kiraia wamekuwa wakishirikiana na Hawa waaalifu ikiwemo hata kuwapa waalifu taarifa za siri .
Ndio maana JPM alikua ana deal sana na maaskari wababaifu, hadi wizi ulipungua
 
Tuma ujumbe huu kwa namba 0684111111 ni mawasiliano ya IGP Wambura utakua salama katika eneo lako. Taarifa zako ni siri hakuna atakaejuwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…