Nahisi pia machinga wamegeukia wiziSerikali iongeze watu katika ajira za Polisi. Polisi waliopo hawatoshi nchi hii, waongezwe kadhaa kwa kila kata na walipwe vizuri
Pia serikali ijitahidi kutengeneza mazingira ya ajira kwa vijana
Fikiria kama hizi bodaboda na Bajaji zisingekuwepo, je hawa Madogo wanaofeli form four kila mwaka wangefanya nini?
Naskia hawa ni tofauti na panya. Wanachofanya wanakuvizia huna hili wala lile na hakuna watu karibu wanakuchoma na sijui spoku au bisibisi wanaiba wanakimbia na boda.Hamna kitu hao ni porojo tu !! Na ivyo vijambazi vyao ni stimu za bangi tu mirungi hata miili havina vimekauka kwa kuvaa mashati oversize.
Hawa wezi wa tatu mzuka ni hatari mnooo . Wao kazi Yao ni kuvizia watuNaskia hawa ni tofauti na panya. Wanachofanya wanakuvizia huna hili wala lile na hakuna watu karibu wanakuchoma na sijui spoku au bisibisi wanaiba wanakimbia na boda.
Arusha watu ni wakorofi, bila kuviziana wanakuua wale. Kuna siku Nipo huko maeneo ya sakina kuna mama alichomwa na spoku akamshika mmoja, pamoja na spoku zote ila uyo mmoja hakumuachia mpaka watu wakafika, wawili wakakimbia na boda yao. Aisee yule aishukuru defender ya polisi, alipoiona tu alipata nguvu aliikimbilia akaingia huko ndani na kelele za niokoe za kutosha.
Majamaa tu waarushaHivi polisi inashindwa vipi kuwatafuta na kuwala shaba wote kudadadeki zao..
Watu wanaishi kwa hofu kisa watu wachache walioamua kupora mali za wengine..
Kamata wote kata shingo..
Njiro,. Sijasikia..Arusha ipi unayokaa wewe ? Matukio haya ya ujambazi yamekifthiri kila mahali . Watu wamepoteza ndugu zao pamoja na wengine kujeruhiwa alafu unakuja kuongea mashudu humu ndani . Kama hujapata athari ya haya yanayoendelea ni bora ukakaa kimya mzee
Wewe ni mjinga hamna kitu kichwani mwako.Arusha hamna akili mlifundishwa na chadema ujinga
Wawaibieni tu
Matejoo, ngarenaro, esso ni kondoa ndogoTanzania hii hunidanganyi shughuli zangu zimenifanya niwajue watanzania wote kwa kina
Majambazi wengi wa Arusha toka zamani wana asili ya kondoa hata ukienda mererani watu katili zaidi ni warangi ndio wanaongoza kwa natukio ya kuua
Wamerudi kweli , kiota Chao ni night spots za makao mapya. Ukiwa na Hela Arusha ni Bora kwenda kuspend time sehemu Kama Gran Melia, Sawa Sawa village, Aces Lounge nkArusha yakianzaga haya mambo huwa ni balaa. Huo mji una majambazi professional. Miaka ya karibuni kulipoa ila kama wameanza tena inabidi jeshi la polisi lichukue hatua za makusudi. Matajiri wengi wa Arusha huwa wanaishi kwa wasiwasi.
Kuna tofauti kati ya Panya road na hawa wezi wa Arusha. Panya road ni watoto ambao wanaishi mitaani na wanafahamika kabisa ila kwa upumbavu wa watu wa Dar wanafichiana siri. Utakuta kitoto cha miaka 13 kinasumbua mtaa mzima halafu watu wazima wa mtaani kwao wanamtazama tu. Hao wa Arusha wengi wao kuwafahamu ni hadi upelelezi.Mara ngapi tunasema ndugu zetu wamevamiwa na panyaroad angalia comments za wenzio wa huko kwenu uone dharau zao za kishamba.
Tanzania ufala mwingi sanaKumeibuka wizi mkoa wa Arusha unaotishia usalama wa wananchi wa kawaida na wafanyabiashara mbalimbali kuvamiwa na kuibiwa either kwa ujambazi wa kutumia pikipiki (tatu mzuka) ama kuibiwa manyumbani na wezi wa kawaida.
Wezi wa pikipiki ama tatu mzuka wamekuwa wakiwaibia watu kwa nguvu huku wakiwadhuru kwa kuwachoma visu ama spoko za baiskeli hata mchana kabisa, huku wakiwanyanganya vitu walivyobeba huku wananchi wa kawaida wakiogopa kuingilia kwa kuhofia maisha Yao.
Hawa wameua watu wengi sana wanojaribu kupambana nao ili kuzuia wizi.
Wezi wa pili ni wezi wa nyumbani na kuvamia sehemu za biashara. Hapa ndio watu wengi wanapoumizi watu zaidi .
Mfano.... Kata ya kimandolu imekumbwa na wezi wanaoiba kila nyumba na sehemu za biashara . Yaaani imekuwa kama imehalalishwa watu kuibiwa nyumba kwa nyumba na sehemu za biashara kila siku bila jeshi la polisi kuchukua hatua zozote za kuzuia wizi huo huku wakijua wahusika wa matukio yote ya wizi .
Mfano kwa kimandolu wanajua kuwa kuna kijana anaitwa ADAM ambaye amekuwa ni mwizi mkuu na ndiye anaye organize wizi wote unaotokea kimandolu. Mwezi watano mwaka Jana kama sijakosea kijana huyo alikamatwa akiwa amekodisha nyumba zaidi ya mbili zikiwa kama warehouse zake za kuifadhi vitu vyake anavyoibia wananchi.
Mwaka jana mwezi wa tano ama wa sita alikamatwa na laptop zaidi ya 30, pikipiki zaidi ya tano , generators zaidi ya kumi , tv haziesabiki na accessories kibao ila akaachiwa kutokana na polisi wasio waaminifu kutoa taarifa za whisle blowers waotoa taarifa. Hivyo wananchi waaogopa kwenda toa ushahidi mahakamani utakoweza kumtia hatiani kwa kuogopa kuja kuuliwa na mtuhumiwa.
Kinachotokea polisi wa doria na baadhi ya polisi central wanakuwa sehemu ya huu ujambazi unaotokea kila siku.
Huyu kijana na washirika wake wamekuwa tishio kwa Kimandolu na sehemu za karibu kwa sababu amekuwa na watu wake ndani ya Jeshi la polisi wanaompa taaarifa.
Chondechonde IGP tunaomba uingilie Kati wizi huu unaotusumbua mjini Arusha . Huyu kijana yupo well trained kiasi cha kwamba ana uwezo wa ku bypass camera na ana mavazi ya kujikinga na camera kutokana na polisi ambao wasio wema wamemtaarifu namna ya kujikinga ili asionekane kwenye camera sehemu mbalimbali anazokwenda kuiba.
Tunaomba IGP na viongozi waandamizi waaingilie kati kuingilia hili tatizo kwa mkoa wa Arusha maaana wananchi tumechoka .
Sisi waendaji wa Mrina na picnic itakuwaje?Wamerudi kweli , kiota Chao ni night spots za makao mapya. Ukiwa na Hela Arusha ni Bora kwenda kuspend time sehemu Kama Gran Melia, Sawa Sawa village, Aces Lounge nk
MtanikumbukaHuyo ni Adam sugu amaekaa kimandolu ndio style yake ya wizi hiyo. Polisi wanajua na wanakaaa kimya. Aibu kubwa sana hii
Kuwa makini tu mkuu, pale picnic, xo, Africana nk Kuna wajomba ni wazee wa kuchora ramani sana na ukijichanganya unaweza pigwa tukio ukiondoka kwani unaondoka na unafuatiliwa vizuri tu .Sisi waendaji wa Mrina na picnic itakuwaje?
Wanakula woteHuyo ni Adam sugu amaekaa kimandolu ndio style yake ya wizi hiyo. Polisi wanajua na wanakaaa kimya. Aibu kubwa sana hii