Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuiangusha serikali kamwe siyo uhaini, asitake ku generalise mambo hapa.
Umewaza fasta sana [emoji23]Kumbe kulikuwa na jaribio la kupindua nchi [emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Nikakope bank mapema
Kumbe ulikuwa hujui mimi ndio polisi wenyewePolisi wataanza na wewe
hivi leo ni jumapili au jumanne?#HABARI Jeshi la Polisi Tanzania, limetoa onyo kali watu wanaotangaza mpango wa kuiangusha serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais @samia_suluhu_hassan akibainisha kuwa huu ni uhaini na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Akitoa taarifa hiyo, Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillus Wambura ameeleza kuwa taarifa hiyo imekuwa ikisambaa tanga jana Agosti 10, 2023 kwenye mitandao ya kijamii ikihusu kundi la watu ambao wameeleza kwamba wanaandaa maandamano ya nchi nzima ili kuiangusha serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya awamu ya sita kabla ya mwaka 2025 huku hoja inayotajwa ikihusu masuala ya bandari.
IGP ametaka wananchi kuzipuuza taarifa hizo.
Maandamano
Sources Via East Africa
😆 😆 😆 😆Sasa tupuuzie wakati kashasema na kuonya
Wewe kaaandamane ndio utasikia na kujuaMimi na umri huu sijawahi kusikia maneno ya aina hii. Yaani mpaka nimewaza au anatushitua kiaina?🤣🤣🤣🤣
Mkuu IGP sir.
jipeni matumaini tu kuwa haelewi halafu mje muende mkaandamane yatayowakuta hatahusika mbowe wala lissu mtajuta wenyewe
Mno
Usicheke nikajahojiwa😆 😆 😆 😆
Kaaandamane au nenda kwenye chombo chochote Cha habari itisha press ya Maandamano uone moto,Tanzania hatutaki upuuzi mtavunjwa kama China ilibyofanya pale TiananMen Square
viongozi wa upinzani ndiyo wameichoka amani wewe kiongozi mzima na akili zako utawaambiaje watu wakaandamane badala ya kutoamhoja kusubiri ujibiwe mikutanoi si mnafanya? maandamano ya nini kila mtu ajuwe la kuambiwa changanya na zako yatakayo kukuta ni wewe na familia yako ndiyo itateseka wenzio wanakunywa mvinyo wewe huna mguuMkuu IGP sir.
Najua unapitiamo humu kuokota mawili matatu.
Hoja ya Bandari ninakubaliana nawe ijibiwe kwa hoja. Lakini kuna tatizo.
Tatizo ninaloliona ni kuwa wanaohoji uhalali wa mkataba wa Bandari wanajibiwa na meno ya polisi. Wanashughulikiwa na kuswekwa rumande bila kesi za maana.
Nashauri
Polisi ijikite kuimarisha ulinzi na usalama wetu sisi raia wakiwemo viongozi
Polisi muache kutumikia siasa kama ilivyo sasa
Polisi muanze kutufundisha sisi raia somo la.uzalendo kwa vitendo
Mimi sijaichoka amani
Mimi sijaichoka Tanzania
Viongozi wameonesha kuichoka amani na nchi yetu kwa jumla
Nchi ipo teteMimi na umri huu sijawahi kusikia maneno ya aina hii. Yaani mpaka nimewaza au anatushitua kiaina?🤣🤣🤣🤣
Kiongozi anayesigina haki, taratibu, sheria na katiba ndiye hupelekea hayo yote kutokeaviongozi wa upinzani ndiyo wameichoka amani wewe kiongozi mzima na akili zako utawaambiaje watu wakaandamane badala ya kutoamhoja kusubiri ujibiwe mikutanoi si mnafanya? maandamano ya nini kila mtu ajuwe la kuambiwa changanya na zako yatakayo kukuta ni wewe na familia yako ndiyo itateseka wenzio wanakunywa mvinyo wewe huna mguu
Ngoja nijipangeWewe kaaandamane ndio utasikia na kujua