Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we umetoa mpya tena wenzio wanataka ya warioba wewe unataka nyingine mpya?Nchi ipo tete
Hekima imewekwa kando
Busara ni kumsifu na kumshukuru mwanadamu
Upuuzi mkafanyie West Africa sio Tanzania huku mtapumzishwa kwenye graves kama mumechoka kupumzika chumbani kwenu.Ngoja nijipange
wataishian kulalamika na kuandamana mitandaoni tu hakuna lolote nani yuko tayari kwenda kuviunjwa miguu kwaajili ya kina mbowe na lissu?Nchi Ina raia wa ovyo hii,hakuna waandamanaji labda wa mitandaoni ubavu huo hawana 😀,na hivi wanajeshi wamefanya mazoezi ya kivita juzi juzi😂😂😂😂
Tanzania ya Nyerere sio ya kuletea upuuzi wao ,kama wamechoka kupumzika chumbani watapumzishwa kwenye kaburiwataishian kulalamika na kuandamana mitandaoni tu hakuna lolote nani yuko tayari kwenda kuviunjwa miguu kwaajili ya kina mbowe na lissu?
ile nayo tangu 2014 ni muda umeenda hata kufanyia marekebisho itaonekana na usumbufu bora tuanze upya lakini ya warioba iwe kama referenceswe umetoa mpya tena wenzio wanataka ya warioba wewe unataka nyingine mpya?
Kwa hiyo wanaouza bandari za tanganyika sio wahaini ila wanaopinga uuzwaji ndo wahaini. Ooooh my tanzaniaJeshi la Polisi Tanzania, limetoa onyo kali watu wanaotangaza mpango wa kuiangusha serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia akibainisha kuwa huu ni uhaini na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Akitoa taarifa hiyo, Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillus Wambura ameeleza kuwa taarifa hiyo imekuwa ikisambaa tanga jana Agosti 10, 2023 kwenye mitandao ya kijamii ikihusu kundi la watu ambao wameeleza kwamba wanaandaa maandamano ya nchi nzima ili kuiangusha serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya awamu ya sita kabla ya mwaka 2025 huku hoja inayotajwa ikihusu masuala ya bandari.
IGP ametaka wananchi kuzipuuza taarifa hizo za Maandamano.
Source: East Africa
Badala ya kuongea ongea Polisi wanatakiwa kuwachukulia hatua Kali waliotoa hayo matamshi ya kichochezi haraka sana Ili iwe funzo Kwa wengine.
Polisi acheni kuchekea manyani,Chukueni Hatua badala ya kutoa matamko.
Maslahi ya Mamilioni ya Watanzania ni muhimu kuliko hao wapuuzi wachache,tokomeza wakafie mbele huko.
😆😆😆 mbona hasira tena?Upuuzi mkafanyie West Africa sio Tanzania huku mtapumzishwa kwenye graves kama mumechoka kupumzika chumbani kwenu.
pof Asad keshasema hakuna bandari inayouzwa sasa wewe ni nani wa kupinga?Kwa hiyo wanaouza bandari za tanganyika sio wahaini ila wanaopinga uuzwaji ndo wahaini. Ooooh my tanzania
Mimi nitawasha tv mapema sana niwaone waandamanaji wanajitoa ufahamu,hawawezi na hawatoweza waandamane wajionee 😀😀😀wataishian kulalamika na kuandamana mitandaoni tu hakuna lolote nani yuko tayari kwenda kuviunjwa miguu kwaajili ya kina mbowe na lissu?
Hakuna kete ya kuhalalisha upuuzi wa aina yeyoteNaunga mkono hoja.huezi leta machafuko kwa kutumia kete ya bandari
Yaani jeshi litumie nguvu haswaa kumaliza hao chawa wanaotaka kuaribu nchi
Najua wengi wanaosuport nia yao machafuko yakianza waanze vunja maduka na kuiba mali za watu
nyie jitieni kichwa ngumu tu mtachakaaa mtapigwa halafu mkishapata maulemavu hakuan hata kiongozi mmoja anakuja kukuangalia hata kukuetea hela ya kula wakati unasota hospitali kwagarama zako mwenyewe mjitambue kila mtu anatafuta ugali wake hakuna cha mbowe wala lissu anayetaka kupata madaraka agawane na nyie mnaojifanya kuandamana mtakoma
Wanaotaka ya Warioba ni vopofu.we umetoa mpya tena wenzio wanataka ya warioba wewe unataka nyingine mpya?
Mkuu IGP sir.
Najua unapitiamo humu kuokota mawili matatu.
Hoja ya Bandari ninakubaliana nawe ijibiwe kwa hoja. Lakini kuna tatizo.
Tatizo ninaloliona ni kuwa wanaohoji uhalali wa mkataba wa Bandari wanajibiwa na meno ya polisi. Wanashughulikiwa na kuswekwa rumande bila kesi za maana.
Nashauri
Polisi ijikite kuimarisha ulinzi na usalama wetu sisi raia wakiwemo viongozi
Polisi muache kutumikia siasa kama ilivyo sasa
Polisi muanze kutufundisha sisi raia somo la.uzalendo kwa vitendo
Mimi sijaichoka amani
Mimi sijaichoka Tanzania
Viongozi wameonesha kuichoka amani na nchi yetu kwa jumla