IGP Wambura awaonya vikali wanaotaka kuandamana, asema huo ni uhaini akitaka "Wakome" na Wasitishe matamshi yao ya Kichochezi...

IGP Wambura awaonya vikali wanaotaka kuandamana, asema huo ni uhaini akitaka "Wakome" na Wasitishe matamshi yao ya Kichochezi...

Nchi Ina raia wa ovyo hii,hakuna waandamanaji labda wa mitandaoni ubavu huo hawana 😀,na hivi wanajeshi wamefanya mazoezi ya kivita juzi juzi😂😂😂😂
wataishian kulalamika na kuandamana mitandaoni tu hakuna lolote nani yuko tayari kwenda kuviunjwa miguu kwaajili ya kina mbowe na lissu?
 
Jeshi la Polisi Tanzania, limetoa onyo kali watu wanaotangaza mpango wa kuiangusha serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia akibainisha kuwa huu ni uhaini na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Akitoa taarifa hiyo, Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Camillus Wambura ameeleza kuwa taarifa hiyo imekuwa ikisambaa tanga jana Agosti 10, 2023 kwenye mitandao ya kijamii ikihusu kundi la watu ambao wameeleza kwamba wanaandaa maandamano ya nchi nzima ili kuiangusha serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya awamu ya sita kabla ya mwaka 2025 huku hoja inayotajwa ikihusu masuala ya bandari.

IGP ametaka wananchi kuzipuuza taarifa hizo za Maandamano.

Source: East Africa
Kwa hiyo wanaouza bandari za tanganyika sio wahaini ila wanaopinga uuzwaji ndo wahaini. Ooooh my tanzania
 
Badala ya kuongea ongea Polisi wanatakiwa kuwachukulia hatua Kali waliotoa hayo matamshi ya kichochezi haraka sana Ili iwe funzo Kwa wengine.

Polisi acheni kuchekea manyani,Chukueni Hatua badala ya kutoa matamko.

Maslahi ya Mamilioni ya Watanzania ni muhimu kuliko hao wapuuzi wachache,tokomeza wakafie mbele huko.

Naunga mkono hoja.huezi leta machafuko kwa kutumia kete ya bandari
Yaani jeshi litumie nguvu haswaa kumaliza hao chawa wanaotaka kuaribu nchi
Najua wengi wanaosuport nia yao machafuko yakianza waanze vunja maduka na kuiba mali za watu
 
wataishian kulalamika na kuandamana mitandaoni tu hakuna lolote nani yuko tayari kwenda kuviunjwa miguu kwaajili ya kina mbowe na lissu?
Mimi nitawasha tv mapema sana niwaone waandamanaji wanajitoa ufahamu,hawawezi na hawatoweza waandamane wajionee 😀😀😀
 
Naunga mkono hoja.huezi leta machafuko kwa kutumia kete ya bandari
Yaani jeshi litumie nguvu haswaa kumaliza hao chawa wanaotaka kuaribu nchi
Najua wengi wanaosuport nia yao machafuko yakianza waanze vunja maduka na kuiba mali za watu
Hakuna kete ya kuhalalisha upuuzi wa aina yeyote
 
nyie jitieni kichwa ngumu tu mtachakaaa mtapigwa halafu mkishapata maulemavu hakuan hata kiongozi mmoja anakuja kukuangalia hata kukuetea hela ya kula wakati unasota hospitali kwagarama zako mwenyewe mjitambue kila mtu anatafuta ugali wake hakuna cha mbowe wala lissu anayetaka kupata madaraka agawane na nyie mnaojifanya kuandamana mtakoma

Wajinga ndio wanaamini mbowe anapigania maslahi yao
 
Mkuu IGP sir.
Najua unapitiamo humu kuokota mawili matatu.

Hoja ya Bandari ninakubaliana nawe ijibiwe kwa hoja. Lakini kuna tatizo.

Tatizo ninaloliona ni kuwa wanaohoji uhalali wa mkataba wa Bandari wanajibiwa na meno ya polisi. Wanashughulikiwa na kuswekwa rumande bila kesi za maana.

Nashauri
Polisi ijikite kuimarisha ulinzi na usalama wetu sisi raia wakiwemo viongozi

Polisi muache kutumikia siasa kama ilivyo sasa

Polisi muanze kutufundisha sisi raia somo la.uzalendo kwa vitendo

Mimi sijaichoka amani
Mimi sijaichoka Tanzania

Viongozi wameonesha kuichoka amani na nchi yetu kwa jumla

Mkuu njia inayotumiwa na chadema ni kuleta mpasuko hawana maana hao
Wenyewe hawana hoja nzito zaid ya matuc na kebehi sasa utawajibu vp kwa hoja
Mtu jukwaani anatoa kauli za kibaguzi afu ndio tukubali kumskiza?
 
Back
Top Bottom