Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Manipulation:
Ni jinsi gani unaweza kumshawishi mwanadamu mwenzako?, its simple, mfanye akuamini zaidi ya nafsi yake, mfanye aamini ya kufikirika yana special connection na wewe.
Confusion:
Tulimshangaa sana ngwale lakini kuna upande mwingine ulituambia alifanya ushujaa ili ashawishi vijana, lakini pia upande mwingine ulituambia alifanya vijana wakabwateka kupigana bila ya tactics na plan.
One finger facing me, Three Facing you:
All in all kwa maana dawa haikufanya kazi, basi tukaja na conclusion ya kuuona kuwa mwamba alifanya utapeli, lakini tukasahau kuwa hata sisi tunaishi katika utapeli na la kushangaza tunaouona una ukuu zaidi ya ule wa ngwale.
We are the victims:
Unaambiwa uvae mabomu uende ukajiue na kuua watu fulani then Mungu atakupokea. Unapangiwa viwango vya sadaka kutoa ili kukuhamasisha kupata muujiza mkubwa. Unaambiwa utoe michango huko kwenye jumuia ili ujiapatie njia rahisi ya kubarikiwa kwenye harusi na kubarikiwa siku ya kuondoka.
Sasa sisi na vijana wa kinjekitile tuna utofauti gani?
Ni jinsi gani unaweza kumshawishi mwanadamu mwenzako?, its simple, mfanye akuamini zaidi ya nafsi yake, mfanye aamini ya kufikirika yana special connection na wewe.
Confusion:
Tulimshangaa sana ngwale lakini kuna upande mwingine ulituambia alifanya ushujaa ili ashawishi vijana, lakini pia upande mwingine ulituambia alifanya vijana wakabwateka kupigana bila ya tactics na plan.
One finger facing me, Three Facing you:
All in all kwa maana dawa haikufanya kazi, basi tukaja na conclusion ya kuuona kuwa mwamba alifanya utapeli, lakini tukasahau kuwa hata sisi tunaishi katika utapeli na la kushangaza tunaouona una ukuu zaidi ya ule wa ngwale.
We are the victims:
Unaambiwa uvae mabomu uende ukajiue na kuua watu fulani then Mungu atakupokea. Unapangiwa viwango vya sadaka kutoa ili kukuhamasisha kupata muujiza mkubwa. Unaambiwa utoe michango huko kwenye jumuia ili ujiapatie njia rahisi ya kubarikiwa kwenye harusi na kubarikiwa siku ya kuondoka.
Sasa sisi na vijana wa kinjekitile tuna utofauti gani?