Ijue bahari: Baharini kuna misitu mikubwa yenye miti mikubwa ya kutosha kuchana mbao kama utazamia

Nimeangalia documentary nyingi za kina kirefu zaidi cha bahari, kuhusu miti ndio naona hapa..itoshe kusema chai sukari haitoshi..
 
Nilishangaa kusikia et!! Ni Kwa asilimia 5 tu mwanaadamu yaani mwanasayansi anavyoijua bahari yaani Kwa kina kwa kujua viumbe vilivyomo baharini kwa uelewa mzima wa bahari ni mwanaadamu anaijua bahari kwa asilimia 5 tu asilimia 95 zote hizo mwanaadamu yaani mwana sayansi hajui Kwa kiwango hicho
 
Upo sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…