Nchi ambazo Mtanzania Anakwenda bila ya Viza
Tumeona ni vyema tukusogezee orodha ya nchi 57 ambazo Mtanzania mwenye pasipoti ya kawaida anaweza kusafiri ama kutembea bila ya kuomba viza;
Nchi Masharti ya Viza Muda
Antigua and Barbuda Huhitaji kuomba viza
Bahamas Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa miezi 3
Bangladesh Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 90
Barbados Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa miezi 6
Belize Huhitaji kuomba viza
Benin Huhitaji kuomba viza
Bolivia Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 90
Botswana Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 90
Burundi Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa miezi 3
Cambodia Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 30
Cape Verde Viza unapata utakapowasili
Comoros Viza unapata utakapowasili
Democratic Republic of the Congo Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 7
Djibouti Viza unapata utakapowasili
Dominica Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa miezi 6
Ecuador Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 90
Fiji Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa miezi 4
Gambia Huhitaji kuomba viza
Ghana Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 30
Guinea-Bissau Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 90
Haiti Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa miezi 3
Indonesia Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 30
Iran Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 30
Jamaica Huhitaji kuomba viza
Kenya Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 30
Laos Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 30
Lesotho Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 90
Madagascar Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 90
Malawi Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 90
Malaysia Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 30
Maldives Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 30
Mauritania Viza unapata utakapowasili
Mauritius Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 90
Micronesia Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 30
Mozambique Huhitajiki kuomba viza
Namibia Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa miezi 3
Nepal Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 90
Nicaragua Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 30
Palau Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 30
Philippines Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 30
Rwanda Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa miezi 6
Saint Kitts and Nevis Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa miezi 3
Saint Lucia Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa wiki 6
Saint Vincent and the Grenadines Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa mwezi
Samoa Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 60
Seychelles Kibali cha utalii utapata utakapowasili Kwa muda wa miezi 3
Singapore Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 90
South Africa Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 90
South Sudan Viza unapata utakapowasili
Swaziland Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 30
Timor-Leste Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siku 30
Togo Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa siiku 7
Tuvalu Viza unapata utakapowasili Kwa muda wa mwezi 1
Uganda Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa miezi 3
Vanuatu Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 30
Zambia Huhitaji kuomba viza Kwa muda wa siku 30
Zimbabwe Huitaji kuomba viza Kwa muda wa miezi 3
Matola