Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Mkuu soma post yangu niliyochangia mwanzo utaona rudi kidogo nyuma hapo utaiona
Nimeona hapo unapinga kuwa hakuitwa Ramesses unasema Quran haikutaja jina la pharao wa Enzi za Musa ndo maana mimi nakuomba utusaidie kutuambia Pharao huyo aliitwaje

SM-G955F Samsung S8+
 
Nimeona hapo unapinga kuwa hakuitwa Ramesses unasema Quran haikutaja jina la pharao wa Enzi za Musa ndo maana mimi nakuomba utusaidie kutuambia Pharao huyo aliitwaje

SM-G955F Samsung S8+

Mkuu haikutaja jina lake ndo maana wanahistoria wnafanya jitihada kila mmoja anakuja na theory yake ndo maana hata mleta uzi hapa nate akaona kuwa wanachemka na mi nikasena kila mtu ana haki ya kuwa na mashiko yake lakini kwa mleta uzi kuanza kulaumu vitabu vya dini kuwa vimepotosha sio kweli hata waislamu wao kwa wao hawajakubaliana alikuwa akiitwa na nani na pia hakuna TIJA mungu angetaka angemtaja kwa jina mbona mama yake yesu katajwa jina Anaitwa Maryam mtakatifu au wakristo wanamuita HOLY Mary na kuna wengine wengi wametajwa na hawakuwa hata mitume mfano ni Imraan ambaye alikuwa mchamungu sasa VITABU vimemsingizia vipi kama havikumtaja jina...
 
History umeisoma kwenye kitabu gani

Sent from my X1 atom using JamiiForums mobile app
 
Mtume muhamadi bwana alikuwa boya kweli! Eti aliiga kwa kudhani na yeye atafufuka kama Yesu Kristu akivyofufuka. Bwana mtume Mudy bwana alipoona anaumwa sana na akaweka utabiri wake feki, kwamba na yeye akifa atafufuka siku ya tatu kama Yesu! Wapi.... Alipokufa watu wakamsubiri naye afufuke kama alivyoa ahidi ikashindikana, na matokeo yake alianza kuoza, kisha alipasuka tumbo pwaaa!!!!... Wale waliokuwa wanamsubiria, wakesema Mtume Mudy Rasulu lah. Maana yangu ni kwamba usiige tembo kunya mavi makubwa, utapasuka msamba.

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 

Ni kweli BOYA huwa halizami na kupotelea chini ya maji huwa linaelea tu mpaka muelewe tu ndo maana tunaomkubali tuko mabilioni na tunaendelea kuongezeka we leta uzi special wa kwako hapa tuna mada nyingine mbona unakuwa kama JIWE ukiwekwa kwenye maji yenye kina unazama tu kirahisi jitahidi uwe BOYA utasurvive
 
Udogo sio kichagizo na ndo maana mlimsikiliza na mnasikiliza,kijana mdg sheikh sharifu,kwa upeo wake alojaaliwa na mungu,sasa basi nami nina mahala pa utawala wangu ndani ya kichwa changu,huwezi nizuia,huwezi nikadilia,huwezi nipangia na huwez nitabilia kitu wala kunifikilia pasipo kunitambua,swala la interntet lisikupe wenge ribrary ziko nyingi,mafundisho ya redion yako tele vitabu ndo kabisaa vya kusaza,ww hoja yako kuu umu ni kutaka kufaham jina la pharao wa kipindi cha mussa hivyo basi ili utupishe,tuendelee na somo tusije kupoteza hili somo tunaomba uachekuleta pumba zako ziczo na mashiko,kama umejipanga kumsumbuka kaka yetu apa secret star,ushindwe utulie ivo ivo...SASA HIVI DAWA YAKO HATUREPLAY UJUMBE WAKO UTABAKI IVOIVO MPKA UKICHOKA,nakueshimu sana samahani kwa maneno haya,kaka secret tuendelee na somo achana na uyu mjinga mjinga......

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
kwa hiyo herode alikuwa Muzungu??? na alikuwa katika nchi ipi maana kuna siku nimesoma kuwa hiyo israel na misri walikuwa wanaishi watu weusi
Mkuu naomba link ya hilo andiko

Sent from my G7-L01 using JamiiForums mobile app
 
Mnaburuzwa tu sio kama mnmwelewa.

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 

Nguvu za hoja hazipo mnaanza matusi na lugha chafu nyie mnaojiamini muendelee na hoja au jina la mtoa mada linawaogopesha mbona yete kaingia mitini. Sasa wewe angalia mtiririko uone jinsi alivyochemka kuanzia alivyoanza kunijibu na ndo maana akaanza kupanick
 
donniebrasco wewe unapinga kitu gani Secret Star has said?

Secret Star is making important point that the first greatest civilization the world have ever seen and the source for other great civilization like Arabs, Greek, Romans and Current Europeans civilization (Economics, religion, culture and science) is of Black / African origin. It was founded and developed in Africa, then move from African interior down the river Nile to lower Nile (Egypt today) then to Middle east and Europe.

And that this Kemet ( Land of Blacks) Civilization reached its high point while others were countries were still in dark ages, way before Judaism, Islam or Christianity.

What is your borne of contention?
 
Sio kaingia mitini watu kila mtu ana majukumu yake ww ucfikilie kila cku ya ni lazima atembelee kurasa hii,anakuwa na shughuli nyingine za kimaisha,mimi nachokuomba kaka ili usije tupotezea mda kwa hii elimu tuipatayo kama una mapingano na secret,naomba uka PM uko usilete ayo mambo uku tupishe tusonge na somo kaka mbn ivyo asee,mwisho tutafikisha pabaya kimatashi na kuonekana tusio na maana,mbn unakuwa mbishi asee,ushanipa dongo et mi mgeni kwny internet kwaiyo kitabu na iyo internet kip kilianza na kip bora zaid?,embu kuwa na ustaarabu kwny uchangiaji hoja,mbn unapenda tutyp visivyo na maana kaka?!.

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 

Nimekubali kaka endeleeni kujipendekeza na kuteteana katika kupotoshana sijui hata maslahi gani mnapata mkiambiwa ukweli mnajifanya kususa....

Pole yenuuuu......
 

Ndugu usidakie vitu kwa mbele rudi nyuma fuatilia utaona mimi ninachokipinga ni kipi...
 

Unajua maana ya neno Pharao boss?

SM-G955F Samsung S8+

Pharao ni kama cheo tu mfano mfalme fulani,ndiyo maana walikuwa na mapharao kadhaa..

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app

kuna mafarao zaidi ya 600 mzee kila pharao aljtawala katika kipindi chake! So hivi vitabu vya leo huwa vinataja jina la cheo cha huyo mtu na sio jina lake!

SM-G955F Samsung S8+

Najua boss ndo maana nikaandika Pharaoh wa kipindi cha Nabii Musa



HAPO NI MTIRIRIKO TOKEA NILIANZA KUCHANGIA NAJARIBU KUWAONESHA UKURUPUKAJI WA MLETA MADA....

HIZO NI ZA MWANZO TU ILI MPATE PICHA KWANINI ALIPANIC NA WANAOMTETEA KWANINI HAKUNISAIDIA KUNIULIZIA SWALI LANGU KWAKE BAADA YA KUWA NILIMJIBU SWALI LAKE LA KWANZA

SASA NDO MJUE MTU UKIWA NA CHEMBE YA KIBURI UKADHANI NDANI YA NAFSI YAKO KUWA WEWE NI BORA KULIKO WENGINE AU UNAJUA KULIKO WENGINE UTAKUTANA NA WANAOJUA ZAIDI NA HII TABIA HUWA IPO SANA HUMU KUNA BAADHI WANAFIKIRI WAO WANADESERVE KUWA ON ANOTHER FAR LEVEL NDIO MUNGU HUWA ANAWAONESHA ANAWAKUTANISHA NA VICHWA VINGINE MWISHO WAO HUWA NI KUINGIA MITINI
 
Mzee hapa mkurupukaji ni wewe mwenyewe unajiaibisha tu!
 
Umekurupuka mwenyewe mzee! mambo ya kutaka kucomment ili uonekane nawe ni mchangiaji mwisho wake huwa ni huu! hata hueleweki nini unataka. Nakushauri uwe unafikiria sana kabla ya kuingia kwenye malumbano ya hoja, ambazo zimeshapata wachangiaji wengi kama hizi. Maana kwa Jinsi tu unavyochangia unaonekana unakurupuka sana kwenye kuandika, ndo maana Secret star hata haangaiki kubishana na wewe, anatumia hizohizo Comment ulizoweka kuonyesha ukurupukaji wako! Kama unataka kubishana uwe unachukua muda Mrefu kusoma ulichoandika na kukielewa wewe mwenyewe kabla ya kutuma kwa hadhala!
 

Usijipendekeze kujionesha kidume nakuomba unisaidie my first comment ilikuwa na problem gani nisaidie kunielewesha uko huru... halafu ukishasoma jiulize, na kisha muulize Secret Star aliponiuliza kama najua maana ya Pharaoh baada ya comment yangu ya kwanza kabisa mantiki yake ilikuwa ni nini mbona unajitoa fahamu... halafu urudi tutaendelea
 
Mzee hapa mkurupukaji ni wewe mwenyewe unajiaibisha tu!

MTAHANGAIKA SANA
nakuomba unisaidie my first comment ilikuwa na problem gani nisaidie kunielewesha uko huru... halafu ukishasoma jiulize, na kisha muulize Secret Star Aliponiuliza kama najua maana ya Pharaoh baada ya comment yangu ya kwanza kabisa mantiki yake ilikuwa ni nini mbona unajitoa fahamu... halafu urudi tutaendelea

Mkinielewesha nikawaelewa naahidi kudelete post zangu ili muendelee

Nina imani kiswahili changu ni kirahisi kinaeleweka!!
 
Ushaoneka chizi rafiki, kunyamaza ni chaguo bora pia.

SM-G955F Samsung galaxy S8+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…