Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Yop! Na kuifanya Timbuktu in Mali iwe kichekesho cha duniani kote! Mtu wa pink alaniwe milele walahi! Afanalek!
Hivi tofauyi kubwa kati ya Ra na Horus ni ipi? Maana Ra na Horus wote hufananishwa na falcon? Hebu tusaidizane wote hapa tupeane mawazo
 
Hivi tofauyi kubwa kati ya Ra na Horus ni ipi? Maana Ra na Horus wote hufananishwa na falcon? Hebu tusaidizane wote hapa tupeane mawazo
horus ni mtoto wa osrs ambaye ni mungu wa air...war na vingne nmesahau.. huyu alizaliwa kama yesu wakat baba yake ameshafariki achana na ile movie ya gods of egypt mule kuna mambo yamepungua

ila raa ni baba wa mababa ambaye anasolar (jua) rise and shine

ka skosei
 
horus ni mtoto wa osrs ambaye ni mungu wa air...war na vingne nmesahau.. huyu alizaliwa kama yesu wakat baba yake ameshafariki achana na ile movie ya gods of egypt mule kuna mambo yamepungua

ila raa ni baba wa mababa ambaye anasolar (jua) rise and shine

ka skosei
Kama Ra ni baba wa mababa vipi kuhusu Atum?
 
Hebu hapa tuelekazane vizuri haya mambo tuyaelewe, maana Online nako kuna contradiction kibao kila mmoja anaandika ambalo alilisikia mahali ila uzuri wake haya mambo yameandikwa kwenye walls kule Egypt
 
Kwa ambavyo huwa nafikiria ni kuwa Story ya Yesu waliicopy kutoka kwenye Kisa cha Horus! So kama leo Tunavyodai kuwa Yesu ni Mungu Pia Yule Horus alikuwa ndiye Ra na ndiyo maana Horus na Ra walikuwa wakiwekewa alama ya falcon Vichwani kwa sababu ni the same! Horus alizaliwa kwa Mwili lakini Ra ni Roho na ndo maana hata leo tunasema Yesu ni Mwili Duniani ila Mbinguni ni Roho/Mungu. Kifupi unafichwa ukweli watu wasijue. Ra alitambulika kama The Sun God! Ila jambo la ajabu hadi leo hii ni kuwa watu wengi ulimwenguni tunasali Sun day maana yake siku ya Mungu jua, na ndiyo maana ukiangalia nyuma ya kichwa cha michoro mingi ya yesu huwa inawekwa picha ya Jua!/Sun disk/ mwanga fulani ikimaananisha Ni mtukufu kutoka mwanga/jua! Amen na Ra ni miungu miwili tofauti na punde Amen na Ra waunganishapo nguvu zao hupatikana nguvu kubwa isiyo na kipimo na ndiyo maana hawa huwa pamoja daima, Mtu wa Dini yoyote ile ulimwenguni atasali na kumpa sifa anazostahili Ra mwanzo wa sala ila mwisho ni lazima Aseme Amen ili kuunganisha nguvu ya Mungu Ra na Amun.
mwenye wazo hapa anaweza kuongezea au kunikosoa.
 
Hivi tofauyi kubwa kati ya Ra na Horus ni ipi? Maana Ra na Horus wote hufananishwa na falcon? Hebu tusaidizane wote hapa tupeane mawazo
HORUS ni mtoto wa ISIS NA OSIRI, RA ni JUA , lakini watu wa pink wamegeuza geuza sana! ISI RA EL, RA MA DHAN, ukiangalia wamechanganya maandiko sana ili ku confuse watu, ndiyo maana sasa hivi ni imani yako tu ndiyo itakayo kuponya! Ni inside out sio outside in!
 
horus ni mtoto wa osrs ambaye ni mungu wa air...war na vingne nmesahau.. huyu alizaliwa kama yesu wakat baba yake ameshafariki achana na ile movie ya gods of egypt mule kuna mambo yamepungua

ila raa ni baba wa mababa ambaye anasolar (jua) rise and shine

ka skosei
Amun Ra
 
Hebu hapa tuelekazane vizuri haya mambo tuyaelewe, maana Online nako kuna contradiction kibao kila mmoja anaandika ambalo alilisikia mahali ila uzuri wake haya mambo yameandikwa kwenye walls kule Egypt
Yaliandikwa lakini bado mtu wa pink aliyabadilisha na kumfanya mtu mweusi kuwa mtumwa wa ulimwengu na kutufanya tuchukiane wenyewe kwa wenyewe! Walibeba vitu vingi sana wakapeleka kwao! Ndiyo maana ukisoma Biblia Takatifu na kuielewa alafu ukajifunza Egyptology, kuna vitu flani unaona vina make sense!
 
Kwa ambavyo huwa nafikiria ni kuwa Story ya Yesu waliicopy kutoka kwenye Kisa cha Horus! So kama leo Tunavyodai kuwa Yesu ni Mungu Pia Yule Horus alikuwa ndiye Ra na ndiyo maana Horus na Ra walikuwa wakiwekewa alama ya falcon Vichwani kwa sababu ni the same! Horus alizaliwa kwa Mwili lakini Ra ni Roho na ndo maana hata leo tunasema Yesu ni Mwili Duniani ila Mbinguni ni Roho/Mungu. Kifupi unafichwa ukweli watu wasijue. Ra alitambulika kama The Sun God! Ila jambo la ajabu hadi leo hii ni kuwa watu wengi ulimwenguni tunasali Sun day maana yake siku ya Mungu jua, na ndiyo maana ukiangalia nyuma ya kichwa cha michoro mingi ya yesu huwa inawekwa picha ya Jua!/Sun disk/ mwanga fulani ikimaananisha Ni mtukufu kutoka mwanga/jua! Amen na Ra ni miungu miwili tofauti na punde Amen na Ra waunganishapo nguvu zao hupatikana nguvu kubwa isiyo na kipimo na ndiyo maana hawa huwa pamoja daima, Mtu wa Dini yoyote ile ulimwenguni atasali na kumpa sifa anazostahili Ra mwanzo wa sala ila mwisho ni lazima Aseme Amen ili kuunganisha nguvu ya Mungu Ra na Amun.
mwenye wazo hapa anaweza kuongezea au kunikosoa.
HOURS imetoka kwa jina HORUS, ni mambo mengi kwa kweli na cults nyingi wanatumia ili waweze ku control mind za watu! Kikubwa ni kujiamini na ku think positive!
 
Yaliandikwa lakini bado mtu wa pink aliyabadilisha na kumfanya mtu mweusi kuwa mtumwa wa ulimwengu na kutufanya tuchukiane wenyewe kwa wenyewe! Walibeba vitu vingi sana wakapeleka kwao! Ndiyo maana ukisoma Biblia Takatifu na kuielewa alafu ukajifunza Egyptology, kuna vitu flani unaona vina make sense!
Ni kweli, Musa alicopy na kupaste kutoka Egypt akahamishia ustaarabu huo kwenye bible leo tunajidharau wenyewe! Ukisoma kwenye kitabu cha kutoka unaona waisrael wakiwa njiani, baada ya kuona Musa Mbabaishaji, waliamua kuunda ndama wa dhahabu ili kumuabudu, kitu ambacho musa alikipinga hadi akawauwa wote waliofanya vile! So tukirudi Egypt ya kale kulikuwa na Mungu wa upendo wa kike aliyeitwa Hathor! Wamisri walikuwa wakimfananisha mungu huyo na Ndama! So unakuta mambo mengi na ujuzi mwingi waisrael wameutoa Misri
hathor-holy-cow.jpg
 
Musa amekulia misri tangu akiwa na mtoto hadi miaka 40! Hivyo alikuwa akiwa anasoma na kujifunza mambo kuhusu imani za wamisri, mpaka alipotoroka akiwa na kundi la waIs Ra El alikuwa anajua karibu kila kitu kutoka misri! Hivyo kitabu chake cha "Mwanzo" kwa kiasi kikubwa alicopy story za wamisri walizokuwa wakiamini kwenye Dini yao kama vile, Hapo mwanzo dunia ilikuwa Giza!, Dunia ilijaa maji!, Mwanadamu wa kwanza kuwa aliitwa Adam!, kisa cha kula tunda!, na mambo mengine kibao akayacopy kwenye dini ya kale ya Misri akaanza juhudi zake za kuanzisha imani mpya! Iliyokuwa inamtegemea Mungu "EL" Au Mungu Baba au "Osiris" au "Yahweh".
Siku ya Mungu huyu huwa ni Jumamosi na ndiyo maana hadi leo waebrania husali siku ya Jumamosi!. Wanaosali Jumapili wanamheshimu Mungu Jua, Ra. Na ndiyo maana katika wao ISIS, RA, na EL tunapata Holly trinity!
b482a55b21c08820c99d91db21fcdff2.jpg
 
Siri ya Utambuzi/maarifa iliyofichwa kwenye eye or Ra and Horus Inatumika sana kila pembe ya Ulimwengu hadi sasa!
Screenshot_20170422-022649.png

64bf7dff848cdbe5fee88277b421bff9.jpg
24fbebd5c504f595c8e2bbc64dfab8de.jpg
fa688e30a6d9cccce166c662fa80b04a.jpg
 
4a09a30fd90093a38dfa94599dccc9e0.jpg

Ankh Alama ya maisha, hii ilitumika kwenye dini ya kale ya misri! Leo wachakachuaji/pink wamegeuza kidogo umekuwa msalaba!
Well done! Shukran! Mwenye Enzi Mungu aendelee kukufungulia yaliyo fichwa, maana haiwezekani the richest continent in the world alafu tunakuwa kama mazezeta kugombana kwenye masiasa ili kupata utajiri! Hell no, it doesn't work that way! Mwafrica ameumbwa ku create sio kufuata mkumbo! Tuamke na tuanze kujithamini, tusiogope bali tusonge mbele na kila mtu a play its part in this beautiful world! A pure mighty positive mind ndiyo itakayo tutoa!
 
Back
Top Bottom