[emoji3]Nasikia hilo kaburi lilishawah kuwashangaza wale ndugu zetu weupe walitaka kulihamisha wakajikuta wanakula bakora za kutosha na kuumwa na nyuki,
Mwisho wa siku badala ya kulihamisha ikabid walijenge vizur libaki hapo hapo,ila ajabu ni kwanini hawakuweka utambulisho wa aliekuwemo
Duh sio mtu wa kawaida huyoSio la yule waliyetaka kuhamisha kaburi lake baada ya kufukua akakutwa bado ana nyama mbichi ikabidi warudishe na kumjengea
Nilisikia mambo ya kiimani alikuwa ostaz sana huyo aliyelala hapo na inasemekana aliyetuumba ameharamisha udongo kula mwili wa anaemuabudu ki kweli, baada ya kufukua kaburi kuona kivyo wakaamua kumuacha humo.Duh sio mtu wa kawaida huyo
Shukrani sana mkuu [emoji120][emoji120][emoji120]Ijue historia ya kaburi la Sharif Abdushakur Salim Al Attas lililopo Samora, Posta Jijini Dar es Salaam
Kuna bustani moja katikati ya jiji la Dar es salaam (katikati ya barabara ya Samora, India na Mosque) maeneo ya clock tower. Ukifika katika bustani hiyo, kitu cha kwanza utakachokiona pale ni kaburi lililojengewa na marumaru nyeupe na ambalo kwa mujibu wa watu waliozoea kukaa pale mara kwa mara...www.jamiiforums.com
Aziz AliJE NI NANI HUYU ASIYEKUWA NA JINA?
Kuna kaburi la siku nyingi sana mitaa ya Clock Tower posta dar es salaam
Ni karibu mita 300 hivi kusini mwa mnara wa saa jijini Dar es salam. Ipo bustani ya muda sana na inafikiriwa ipo hapo kama miaka 220 iliopita.
Kwanini kaburi hili liko peke yake tena katikati mwa jiji?
JE NI NANI HUYU?View attachment 2710939
Habari za hilo Kaburi imo humu. Tulishaijadili kitambo sanaJE NI NANI HUYU ASIYEKUWA NA JINA?
Kuna kaburi la siku nyingi sana mitaa ya Clock Tower posta dar es salaam
Ni karibu mita 300 hivi kusini mwa mnara wa saa jijini Dar es salam. Ipo bustani ya muda sana na inafikiriwa ipo hapo kama miaka 220 iliopita.
Kwanini kaburi hili liko peke yake tena katikati mwa jiji?
JE NI NANI HUYU?View attachment 2710939
Huyo sio Abushiri bin HeriJE NI NANI HUYU ASIYEKUWA NA JINA?
Kuna kaburi la siku nyingi sana mitaa ya Clock Tower posta dar es salaam
Ni karibu mita 300 hivi kusini mwa mnara wa saa jijini Dar es salam. Ipo bustani ya muda sana na inafikiriwa ipo hapo kama miaka 220 iliopita.
Kwanini kaburi hili liko peke yake tena katikati mwa jiji?
JE NI NANI HUYU?View attachment 2710939
Mpwayungu VillageYapata meta 300 hivi kusini mwa mnara wa saa jijini Dar es salam ipo bustani ya mda sana kama miaka 220 iliopita upande wa magharibi kuna Barbara ya samora samora na India steet huku upande wa kaskazini Na kusini kuna barabara ya aggrey na mosque street lakini upande wa kusini mwa mwa bustani hiyo ya kale kuna kaburi kongwe sana lisilokuwa na jina wala mwaka wala alama yeyote ile limekua mahali hapo yapata miaka karibu 200 hivi
Je ni nani huyu asiyekua hana jina ?
Kwanini alizikwa mahali pale tena peke yake!!
Twende sasa taratibu.....
Ni wachache sana wanajua siri ya kaburi hili la mtu asijulikana wala jina lake halipo hata mamlaka zimekaa kimya juu ya kaburi hili lililopotea hasa halmashauri ya jiji
Sharrif Abdul Shakur Sali'm L'attasi alifariki dunia mwaka 1862 kabla Seyyid Majjid wa Oman na wakoloni wa kijerumani kutua hapa nchini ndie alizikwa hapo
Kwenye miaka hiyo wakati jiji la Dar es salaam paliitwa Mzizima eneo hilo kuanzia clock tower mpaka kule. Magomeni likitawaliwa na Diwani Sharif Abdul L'aatasi
Ambaye ndio amelazwa hapo peke yake
Kwanini alizikwa mahali pale?
Ni maswali ya kujiuliza kaburi katikati ya mji lisilo na jinalimekujaje hapo
Jibu hili hapa....
Mnamo mwaka 1820 ulikuwapo msikiti ambao ulijengwa na Huyu bwana Sharif Abdul L'aatasi kwa kusaidiana na Wandugu wengine wa Mzizima wakati huo
Msikiti huo wa udongo wa kuchoma na miti uliendelea kuwako hadi mwaka 1865 wakati Sayyed Majjid akiishi jumba alilojenga ambalo sasa ni ikulu ya Magogoni
Wakoloni walipokuja wa kujerumani mnano 1885 baada ya kifo cha Sayyed Majid walifanya kazi na Laatasi kama Kadhi mkuu mpaka alipofariki dunia
Diwani Laataasi Sharif ni mzaliwa wa Mzizima lakini anaasili ya damu ya Uajemi au Persian alikuwa maarufu sana pia aliaminika sana na Wajerumani alifariki mwaka 1860 hivi na kuzikwa nje karibu na msikiti wake
Mwanae Omary Salem L'aatasi alirithi kiti kama Kadhi mkuu
Wakati ule ulitokea mgongano mkubwa kati ya watu na imani zao hasa baada ya wajerumani kujenga maeneo. Hayo na shughuli za kijamii eneo LA msikiti wa L'aatasi hivyo ilibidi msikiti ule uhamishwe na watachangia kujenga msikiti mpya
Basi wajerumani walitoa rupee 50 kama fidia ya jengo jipya lakini ilitoka udhuru kaburi la Diwani Sharif Abdul Shakur L'aatasi na kutunza kumbukumbu
Eneo. Jipya lililojengwa msikiti likawa ndio hapo Msikiti wa Ijumaa wa Kitumbini ulipo kwa sasa
Kwa kawaida Wakoloni hasa wajerumani wanaheshimu Sana makaburi hasa ya watu ambao walisaidiana na wenzao kipindi cha ukoloni
Hivyo kaburi lake likabakia pale pale hadi Leo ambalo halikuandikwa jina(Kaburi la Asienajina) mjini kabisa
Watu siku hizi wamegeuza kiti cha kupunga upepo kaburi hilo
Funguka zaidi mkuuMbona Said Ibin Batuta kazikwa kwenye jengo la jiji, hayo kawida tuu, sehemu zote yalikoanguka magorofa kuna makaburi basi kwa taarifa yenu.
Lipo wapi ? Nyama mbiji kiaje ? Yani Kama Binadamu mzima ?Sio la yule waliyetaka kuhamisha kaburi lake baada ya kufukua akakutwa bado ana nyama mbichi ikabidi warudishe na kumjengea