Chinji ilivohama tu kwenda VETA Nonde ikapoa sambamba na MabatiniHahaha...hiyo mitaa naielewa kuna mwana mmja
Wangu smbdy siwetu.fundi alikuwa natimba naye mitaa hiyo
Unajua ukiwa sehemu,kuna namna fulani ya kujiwekea,kujitafutia ulinzi so unajichanganya na wahuni ishi nao kimtindo....dar utapeta tu
Ova
Hahaha zamani mkuu ndy watu walikuwa wa mazabe
Manzese pia pale Amsterdam, midizini palikuwa ovyo sana ila maisha yanabadilika wahuni wengi wamepungua
Sahv utamfanyia nani ubabe au uhuni,raia si watakuaa
Ova
Jamaa aliokoka wakati ndio anaanza ku hitUlivyojitajia jina la Eluka umenikumbusha Ngoma yake ya Nikizipata, mpaka leo sijafanikiwa kuipata video yake.
Inaniuma sana.
Ulikuwa bishororoKuna mwamba alinipora simu kipande hicho nikaenda ofisi ya ccm kwa marinda Saba kushtaki na jina la mtemi nilitajiwa nikamtaja nilibaki kuambiwa hakuna shtaka kumamae
Vida palavida long time sana[emoji3][emoji3][emoji3] kuna mdau muhimu mzee wa Pachoto anapaswa kufika hapa! mrangi
Baadhi ya wanachama wake tishio ambao hawatanisahau huko kuzimu walipo ni
#Tito
#Kumbwiga
#Morroco
#Jumanne
#Pembe
Baada ya kufa hawa washenzi hata kijiwe chao cha VIDA PALAVIDA kilikufa
Hahah hahah hahahah hahahGesti ya chabo. Kuna mwamba alijikuta anampiga chabo maza ake! Halafu alikuwa analiwa jicho
Dah manzese Midizini umenikumbusha mbali mnoManzese pia pale Amsterdam, midizini palikuwa ovyo sana ila maisha yanabadilika wahuni wengi wamepungua
Sahv utamfanyia nani ubabe au uhuni,raia si watakuaa
Ova
Au wale wahuni wa illawarra,mchikichini walikuwa wanaitwa chaukucha,walikuwa hawafai kabisa ila walichokuja wafanyiwa ahhDah manzese Midizini umenikumbusha mbali mno
Mtaa gani huoLakini mpaka leo gongo inanyweka mchana bila wasi, kuvuta bange hadharani mtindo mmoja, malaya watoto ndio usiseme, ngoma na yenyewe pale imetamalaki.
Kuna siku nilienda na dogo fulani wa mitaa ile nilimkuta pale kota karibu na kwa black, nikamwambia leo nipeleke kitaa kwenu ila sitaki niibiwe, ndio nikajionea yote hayo.
💚💛Hahaha...hiyo mitaa naielewa kuna mwana mmja
Wangu smbdy siwetu.fundi alikuwa natimba naye mitaa hiyo
Unajua ukiwa sehemu,kuna namna fulani ya kujiwekea, kujitafutia ulinzi so unajichanganya na wahuni ishi nao kimtindo....dar utapeta tu
Ova
Walifanyiwa nini?Au wale wahuni wa illawarra,mchikichini walikuwa wanaitwa chaukucha,walikuwa hawafai kabisa ila walichokuja wafanyiwa ahh
Walifurahi
Ova
Haya majina ndo huwa yananiacha hoi, eti, SOGODO!Kwa wakongwe kama Mshana Jr, mitaa ya Dizonga anainyaka vyema, kwani kakaa huko hadi pale alipohahamishwa na jini lililo mnasa vibao akitaka kulinanilihiiii kwenye nyumba ya wageni, akaona isiwe taabu, akahamia Masaki.
Sogodo ni eneo linalopatikana Mwananyamala Bwawani, nyuma ya mahakama ya Kinondoni, kanisa la KKKT Kinondoni, linasambaa hadi jirani na kwa Pawa, baba yake Jaki, alikuwa baunsa wa Billicanas Club Zama zile za kale.
Sogodo Empire, ilikuwa na watu wa hatari, watu wa Shari, wagomvi, watemi, waliojikataa, ambao wako tayari kwa lolote.
Watu wa jamhuri hiii walikuwa ni tishio kiasi kwamba walikuwa na mahakama yao, polisi wao na mamlaka yao wenyewe.
Ukiiba unapelekwa kwa Pawa, Pawa anakusikiliza mhalifu na washitaka wako, baada ya hapo anatoa hukumu.
Hukumu ikitekelezwa hamna kupelekana Polisi wala Nini. Kesi imeisha hiyo.
Sogodo Empire waliishi hivyo kwa miaka mingi.
Chaukucha waliwafanyia watu umafia sana...Walifanyiwa nini?
Habari ndio hiyoHaya majina ndo huwa yananiacha hoi, eti, SOGODO!
Aliwafagiaje?Chaukucha waliwafanyia watu umafia sana...
Walikuwa kama wameshindikana
Tukio moja wililifanya walimpora dem mmja hadi wakambaka..ilibdi viongz wa ilala wakae kikao
Cha chinichini wapange nmna ya kuwatuliza
Alikuja tafutwa mafia mmja wa zamani(rtd)
Smbdy m--nyga.....alipewa baraka zote
Jamaa aliwafagia wote,kmya kmya
Ndipo kipande kile kikaja kutulia
Unajua kuna watu wanajifanya wahuni,wakabaji
Kumbe kuna raia wapo wanawacheki wanawaona kama mafala,siku raia wakiamua
Ohooo ni nomaa
Ova