Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Tanzania GDP ni USD bilioni 75 wakati Korea ya Kiduku ni USD billion 25.Shida Kuna watu Kila kitu Wanataka watafananishe na USA, we uko Tanzania hebu ifananishe Noko na tz wewe nimmarekani? Kila kitu Kizuri unafikiri kiko Marekani tu, Tananisha na nchi yako korea wako vizuri.
North Korea ni mojawapo ya nchi masikini zaidi za Asia.