Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #261
Siyo umekuwa wewe ni mdogo wangu sana.Dah! Kwahiyo nimekuwa mdogo wako?
Tatizo lako una mihemko sana. Uliuanza uzi wako vizuri sana, mwisho umeingiza ushabiki na kujaribu kugombana na watu.Siyo umekuwa wewe ni mdogo wangu sana.
But enjoy north korea products
Pyongyang Optical Fibre Cable Factory
Tel: 850-2-341-3180
Fax:
Email: mptird@star-co.net.kp
View attachment 2707036
View attachment 2707038
View attachment 2707041
View attachment 2707042
View attachment 2707043
Sijagombana na wewe kijana wangu labda unataka kugombana na mimi?Tatizo lako una mihemko sana. Uliuanza uzi wako vizuri sana, mwisho umeingiza ushabiki na kujaribu kugombana na watu.
Sawa. Lakini mimi si mdogo wako.Sijagombana na wewe kijana wangu labda unataka kugombana na mimi?
Sawa basi lakini unatakiwa kujua kwamba hawa jamaa wako juu sanaSawa. Lakini mimi si mdogo wako.
Uwe na asubuhi njema.
[emoji16][emoji16][emoji16]haya basi nimejuaSawa basi lakini unatakiwa kujua kwamba hawa jamaa wako juu sana
View attachment 2707055
kumbe hawa watu tunaweza fanya nao biashara? nilijua labda vikwazo vinazuia hilo...Waganda ndio maana bidhaa zao ziko chini wengi wao huchukulia north korea na Vietnam hawafuati mkumbo wa sijui china mara wapi
Vipi Urusi mikate imeisha kwenye shelf za supermarket!!??Acha uongo picha nyingine ni animation na hapo ni centre tu puangyong ukisogea Kama km 50 tu waliobaki bora Kigoma
UongoWaganda ndio maana bidhaa zao ziko chini wengi wao huchukulia north korea na Vietnam hawafuati mkumbo wa sijui china mara wapi
Toa ukweli miss YondoUongo
Baadhi ya Mitumba unayovaa hutoka Korea Kusini.kumbe hawa watu tunaweza fanya nao biashara? nilijua labda vikwazo vinazuia hilo...
Uko sahihi.Baadhi ya Mitumba unayovaa hutoka Korea Kusini.
Mabehewa ya treni ya SGR yatatoka Korea Kusini.
Samsung unayotamani sana kuipata ni kutoka Korea Kusini.
Hata hapo mjini bado wamesogea mbali saanaNi kweli kwamba sehemu za mjini jamaa wameendelea sana. Ila kwa vijijini ambako HAIRUHUSIWI. NARUDIA TENA; HAIRUHUSIWI KABISA kupiga picha kuna umasikini mkubwa. Picha zinazopigwa ni za maeneo mazuri mazuri tu tena kwa maelekezo. Ukikutwa umepiga picha sehemu zile mbaya mbaya, unaweza hata kunyongwa.
Shezia zao zinasema: Kuwa mwangalifu sana unapopiga picha. Ni kinyume cha sheria kupiga picha kitu chochote isipokuwa tovuti maalum za watalii wa umma . Omba ruhusa kila mara kwa mwongozo wako wa Korea Kaskazini kabla ya kupiga picha. Korea Kaskazini ina sheria kali kuhusu kile unachoweza kuleta nchini.