Ijue Korea Kaskazini kwa Undani (Known Details of North Korea)

Kumsong Tractor Factory

Tel: 850-2-18111-381-8102
Fax:
Email: kigye@star-co.net.kp











 
Tatizo lako una mihemko sana. Uliuanza uzi wako vizuri sana, mwisho umeingiza ushabiki na kujaribu kugombana na watu.
Sijagombana na wewe kijana wangu labda unataka kugombana na mimi?
 
Waganda ndio maana bidhaa zao ziko chini wengi wao huchukulia north korea na Vietnam hawafuati mkumbo wa sijui china mara wapi
 
Waganda ndio maana bidhaa zao ziko chini wengi wao huchukulia north korea na Vietnam hawafuati mkumbo wa sijui china mara wapi
kumbe hawa watu tunaweza fanya nao biashara? nilijua labda vikwazo vinazuia hilo...
 
Kaesong Koryo Insam Lotion and Milk Cream




 

Making Effective Use of Solar Energy​

The Ryuwon Footwear Factory is making proactive use of solar energy for its production and other business activities.

 
kumbe hawa watu tunaweza fanya nao biashara? nilijua labda vikwazo vinazuia hilo...
Baadhi ya Mitumba unayovaa hutoka Korea Kusini.
Mabehewa ya treni ya SGR yatatoka Korea Kusini.
Samsung unayotamani sana kuipata ni kutoka Korea Kusini.
 
Baadhi ya Mitumba unayovaa hutoka Korea Kusini.
Mabehewa ya treni ya SGR yatatoka Korea Kusini.
Samsung unayotamani sana kuipata ni kutoka Korea Kusini.
Uko sahihi.

Ila mleta mada unazungumzia Korea KASKAZINI.
 
Channel Yao kctv inafika huku kwetu nyuzi 87.5, yaani wanainjoy kuliko maana hata baadhi ya league za mipira inauzwa huku kwetu huko ni free ndio na sisi tunaslopia huko
 
Hata hapo mjini bado wamesogea mbali saana
Watu wanatengeneza kila kitu kuanzia simu,Magari, electronics, train za umeme na silaha
Hao sio masikini kiuhalisia
Hakuna masikini anaeweza kutengeneza train ya umeme, electronics na silaha za nuke
Masikini ni Sisi ambayo hata kijiko na soksi hatuwezi kutengeneza
Hata panapoitwa mjini kwetu ni hovyo
Hakuna mtaa hata mmoja hapo ambayo unaweza kulinganisha na Posta ama kkoo ama masaki na mikocheni ambayo ndio mjini zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…