Ijue Korea Kaskazini kwa Undani (Known Details of North Korea)

Ijue Korea Kaskazini kwa Undani (Known Details of North Korea)

Umefika lini huko NK hadi useme nchi ya kimaskini,je umaskini wao unalingana na wazee wa kuuza bandari?
Raia wote wa kawaida wanaotoroka Korea Kaskazini huwa wanakutwa na minyoo ya kutisha tumboni. Inakadiriwa watu milioni 5 wa Korea Kaskazini wanakabiliwa na tatizo la minyoo na sababu kubwa ni kusakura kama kuku wakitafuta chakula.
 
Duh,!! wanajitegemea kwa asilimia kubwa mnoo, naona vitu vingi wanajitengenezea wao wenyewe.

NAona wanajenga site kwa ajiri ya utalii wa pwani, kama hakuna watalii basi wasingejenga eneo kubwa kama hilo.
Nusu ya msaada wa China nje ya nchi unaenda Korea Kaskazini.
 
North Korea ni kama wanaishi kwenye sayari Yao. Yale madudu wanayotestigi ni mabilioni ya pesa, nchi masikini haiwezi kuvutana na marekani.
Nusu ya msaada wa China nje ya nchi unaenda Korea Kaskazini.
 
North Korea ni nchi mojawapo yenye raia watoroka nchi wengi zaidi duniani "defectors"
Wengi wao hukimbilia zaidi Korea Kusini kwa sababu nchi majirani za Urusi na China ni marafiki wa Kiduku hivyo ukikimbilia huko unarudishwa kunyongwa North Korea.
 
North Korea ni nchi mojawapo yenye raia watoroka nchi wengi zaidi duniani "defectors"
Wengi wao hukimbilia zaidi Korea Kusini kwa sababu nchi majirani za Urusi na China ni marafiki wa Kiduku hivyo ukikimbilia huko unarudishwa kunyongwa North Korea.
Kuna video moja NK soldier anavuka mpaka na kukimbilia SK alikuwa anatupiwa risasi kama njugu ila alisurvive.

SK ina madefectors wengi wa NK kuna documentary nyingi zinaeleza hivyo.
 
Taarifa katika taifa hilo Hermit Kingdom hupatakana zaidi kupitia defectors, wafungwa wanaobadilishwa na nchi majirani za Korea Kusini na China kwa sababu waandishi wa habari huru kutoka mataifa ya nje hawaruhusiwi kabisa nchini humo, pia kupiga picha bila kibali sehemu yeyote hairuhusiwi.
 
Wako vizuri ,westerners wanajaribu sana kutusadikisha kuwa hawa jama wana njaa kali,kwakuwa tu dunia imewatenga,lakini kiuhalisia inaonekana kuwa maisha yanaendelea na wako mbali sana.Kiufupi ni kuwa maisha bila ya kubanana haya maendeleo tutayasikia tu kwa wenzetu...
Taarifa karibia zote kuhusu North Korea hupatikana kupita raia wake wenyewe ambao ni defectors kama Hyeonseo Lee.
 
HISENSE SMART 4K INCH 75 SLIM ULTRA
NIME KWAMA JAMANIIII NJOO UKAGUWE CHAP UONDOKE NAYO NIMESHUSHA BEIII IMETUMIKA MIEZII 3 IMENYOOKA HAINA KIPENGELE CHCHOTE BEIIII NIMESHUSHA M2.3 NI CHECK TUMALIZANE LOCATION KIGAMBONII 0762407301View attachment 2705974View attachment 2705970
IMG-20230730-WA0003.jpg
View attachment 2705971View attachment 2705972View attachment 2705973
IMG-20230730-WA0004.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20230801_211101_Lite.jpg
    Screenshot_20230801_211101_Lite.jpg
    36 KB · Views: 5
  • Screenshot_20230802_090548_Lite.jpg
    Screenshot_20230802_090548_Lite.jpg
    36.2 KB · Views: 7
  • Screenshot_20230730_221423_Lite.jpg
    Screenshot_20230730_221423_Lite.jpg
    40.7 KB · Views: 6
Mtoa mada rekebisha heading yako, badala ya North Korea isomeke Pyongyang, waombe mods wakurekebishie. Tunajua tofauti na Pyongyang hakuna sehemu nyingine ya maana.
 
na kama ujazaliwa city centre huwezi kwenda kuishi......labda uwe na sababu maalumu tu labda kipaji au una akili sana
Hii mbona nzuri, inakuaje utoke kwenu uje mjini huko kwenu kutajengwa na nani. Watu wabakie katika miji waliozaliwa washiriki katika ujenzi wa miji hiyo, unakimbilia mjini nani apeme maendeleo katika mji wako. N Korea wapo vizuri sana kama hizo ndio sera zao nawakubali. sana.
 
Back
Top Bottom