Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,005
- 20,425
- Thread starter
- #61
Kumbe wanamaduka makubwa? Mnawaoneagere? sasa wakati umefika wakula mali zao,kumbuka jasho la mtu haliliwi,nanyie chapeni kazi mtajirika kama wao.
Huo ni mtazamo finyu sana mkuu,
Kile Rwanda inachokifanya Kongo laiti ungefunguka macho nakuona usingesema haya!