Ijue sababu ya marafiki wa DSM kuwakimbia na kuanzisha visingizio pale inapofika mda wa kupokea washkaji zao wa mikoani

Ijue sababu ya marafiki wa DSM kuwakimbia na kuanzisha visingizio pale inapofika mda wa kupokea washkaji zao wa mikoani

Machalii zangu walioenda dar wameharibika sana wakipata smartphone , earphone, viatu pea mbili, suruali fupi zile wanavaa bila soksi, shati 3 na kuvaa miwan nyeusi wanakuja kunivimbia.

Kuna mmoja alirud nikampeleka sehem tukachoma nyama kilo na ugali mbili kwenye stori zake akaanza kukosoa eti dar wanajua kuchoma nyama kuliko huku, eti mara nyingi wachoma nyama wanamjua wakimuona tu huwa hatoi order wanamletea kama kawaida yake.

Alivyomaliza kula nikajisachi nikamwambia aise nimesahau hela hebu lipia alafu nakurudishia maana Nina card tu mfukon, jamaa akaanza kutoka jasho tu.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna watu wanaishi Dar maisha magumu sana mpaka unajiuliza hivi huyu mtu kwanini asirudi kijijini kujipanga upya?

Ukiwa na time pita mitaa ya ndani ndani around Temeke uone nyumba zilivyo na maisha wanayoishi watu ukiwa na roho nyepesi unaweza kutokwa machozi
 
Kuna watu wanaishi Dar maisha magumu sana mpaka unajiuliza hivi huyu mtu kwanini asirudi kijijini kujipanga upya?

Ukiwa na time pita mitaa ya ndani ndani around Temeke uone nyumba zilivyo na maisha wanayoishi watu ukiwa na roho nyepesi unaweza kutokwa machozi
Lakini kuna umeme? Nyumba ya sakafu, nje bomba la maji.

Kwa sisi tulioishi kwenye typical vijiji tunasema maisha ya mjini ni bora sana hata iweje.
 
Back
Top Bottom