Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
Mara ya kwanza kufika dar mwaka 1981 vipi ulikuwa wapi?Tafuta nauli ufike dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ya kwanza kufika dar mwaka 1981 vipi ulikuwa wapi?Tafuta nauli ufike dar
Nyie mkija mkoani(Kwny seminar,'michongo' etc) hua mnakua hamjajipanga kifedha sio?Maana hua hamfikii lodge mnafikia kwa ndg zenu.Wacheni kulalama
Zama za kufikia kwa ndugu zimepitwa na wakati otherwise uwe ni mtegemezi
Unajua unasafari jipange kipesa, naulu chakula na malazi
Watatushambulia leo hadi tukome🤣🤣Nimegundua huu uzi wa wakuja
Nikafikiri unaniambia nitafutie nauli nikadandie Soyuzi nikatalii anga za juuTafuta nauli ufike dar
Dar ni Kijiji tu kilichochangamka siku ukifika kwenye majiji utajua namanisha niniWatatushambulia leo hadi tukome🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Machalii zangu walioenda dar wameharibika sana wakipata smartphone , earphone, viatu pea mbili, suruali fupi zile wanavaa bila soksi, shati 3 na kuvaa miwan nyeusi wanakuja kunivimbia.
Kuna mmoja alirud nikampeleka sehem tukachoma nyama kilo na ugali mbili kwenye stori zake akaanza kukosoa eti dar wanajua kuchoma nyama kuliko huku, eti mara nyingi wachoma nyama wanamjua wakimuona tu huwa hatoi order wanamletea kama kawaida yake.
Alivyomaliza kula nikajisachi nikamwambia aise nimesahau hela hebu lipia alafu nakurudishia maana Nina card tu mfukon, jamaa akaanza kutoka jasho tu.
Angalau hapa hapa dar huko kwingine tuwachie wengineDar ni Kijiji tu kilichochangamka siku ukifika kwenye majiji utajua namanisha nini
Angalau hapa hapa dar huko kwingine tuwachie wengine
Dar Kuna nini Cha mno?Angalau hapa hapa dar huko kwingine tuwachie wengine
Wee,wapi huko nihamieMkosni mchicha unachuma tu uani ndani kuna stock ya mpunga na mahindi,dar mchele kilo 3500
Lakini kuna umeme? Nyumba ya sakafu, nje bomba la maji.Kuna watu wanaishi Dar maisha magumu sana mpaka unajiuliza hivi huyu mtu kwanini asirudi kijijini kujipanga upya?
Ukiwa na time pita mitaa ya ndani ndani around Temeke uone nyumba zilivyo na maisha wanayoishi watu ukiwa na roho nyepesi unaweza kutokwa machozi
KabisaDar maisha magumu sana pia ni rahisi sana kama utaishi maisha yako halisi na sio fake
Ndio hizi fikra za watu wa bushi ndio maana tunawakimbia wakitupigia simu🤣🤣Huyu anaesema dar ni kijijini natoa mchango kwenye gharama za matibabu yake
😂 comment inatokea bariadi uko bdani vocha ya jero inauzwa 1200/= inasema dar kijijini 😂😂Ndio hizi fikra za watu wa bushi ndio maana tunawakimbia wakitupigia simu🤣🤣
Njoo huku lushoto,mboga za majani hatununuiWee,wapi huko nihamie
Kabisa
Tatizo lipo kqwnu kumbe mna masela huku ?nilitaka kushangaa hawa mateja wakose familia 😂😂Usimwamini msela wa DAR