wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Dar Ni Kijiji kikubwa Cha wavuvi.Nimekwambia nenda huko duniani na si mikoani utajua dar ni kijiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dar Ni Kijiji kikubwa Cha wavuvi.Nimekwambia nenda huko duniani na si mikoani utajua dar ni kijiji
Hajazungumzia Mlinganisho wa gharama kwa hizo sehemu hizo mbili.DSM chumba Tsh 100,000
Mkoani nyumba kukodi 100,000
Unategemea nini hapo
Sijabeba,nimekurupushwa safari hii kuna kibarua nafukuzia huko Kigamboni.Kama umebeba mahindi na mchele na kuku fikia kwangu
😂😂😂😂😂Kama umebeba mahindi na mchele na kuku fikia kwangu
Ni Kijiji kwani uongo ndugu zangu?Dar Ni Kijiji kikubwa Cha wavuvi.View attachment 2473403
Dah pole nami nimepata safari ya ghafla hapa 😂😂Sijabeba,nimekurupushwa safari hii kuna kibarua nafukuzia huko Kigamboni.
Utakula ulikopeleka mboga mzee.Sijabeba,nimekurupushwa safari hii kuna kibarua nafukuzia huko Kigamboni.
GesiNakuja huko j4, naomba nipate mwenyeji humu.
NB: Nakuja na unga na mchele wangu wa Ifakara
Unaenda kutembelea miradi yako ya mashamba huko vijijini 😄😄Dah pole nami nimepata safari ya ghafla hapa 😂😂
Kuna watu hawana aibu ati, akishafika ndo haondoki. Akiondoka jua unakuwa adui wakeHivi mwanaume unapata wapi ujasiri wa kutembelea mkoa fulani na kutaka ufikie/ulale kwa mwanaume mwenzio?
Hebu acheni unafiki kuna thread nyingi humu wengine mnasema hamruhusu hata ndugu zenu wafikie kwemye nyumba zenu kwasababu hamuamini mtu na watoto wenu,leo tena mnalialia mmekataliwa kufikia kwa wanaume wenzenu.
Ukilinganisha na wapi na kwa criteria zipi?D
Dar Kuna nini Cha mno?
Hapana asee.....Kwanini usimpeleke evelyn?
DunianiUkilinganisha na wapi na kwa criteria zipi?
Navipataaa kwako au nije navyoooo.Gesi
Sufuria
Madumu ya maji
Shuka
Sabuni
Chumvi
Sahani na vikombe
Mwiko
Etc
Hao wa kukaa ni ma jobless mzee au wanafunzi..tunaongelea tayar kwa watu wanajiweza.ambaye km una inshu mkoani mwake anakukampani kwa ile tym ambayo mtakuwa wote free na inshu zingine..Kuna watu hawana aibu ati, akishafika ndo haondoki. Akiondoka jua unakuwa adui wake
Hii ina ukweli asilimia kubwa, maana watu wengi wa Dar wanaunga unga maisha.Daaaa watu wanamaisha magumu balaa ,muda wote wanatoa jasho na hasira usoni .....
Hawana tabasamu kabisa usoni ,muda wote wamenuna ,jua linawapiga mpaka mfukoni ...
Ukiwa kituo cha daladala utaona nyuso zao zilivochoka na kukasirika [emoji848][emoji848][emoji91][emoji91][emoji3][emoji3][emoji3]
Hapana asee.....
1: kuna mmoja alitoka mkoa anaomba nimepeleke kutafuta shela, siku hiyo nlikua na buku tu mapema asubuhi nikatoka home tembea sinza yote tangu saa nne asubuhi hadi kumi na moja jioni, njaa balaa nauli nshatumia jero imebaki jero...kumi na moja akatoa 1m akalipa kisha akaniambia kwaheri yani kuzunguka kote asiseme hata tukae tule hata chips kavu 😏😏 nikarudi home na njaa na mchoko nikasema sirudii
2: akaja mwingine nipeleke kariakoo bwana weeeh zunguka mno nipeleke kwenye viatu, kwenye pochi, kwenye vyupi, maduka ya nini sijui kabeba mamfuko hayooo hata kusema basi mwenyeji wangu nae nimchukulie hata kyupi hakunaaa😏😏😏
Nimeshakoma mi siwezi kwenda na mtu shopping tena kanipeleka nisiache kumnunulia chochote haipo....japo sio kwamba ndio inalipa muda wa mtu ila ina maana hata kama ni kitu kidogo. kwahiyo watu wa mikoa kwahilo wasahau pambafff