Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Kuna watu wanaweza wakashangaa sana kuona USA kuna watu wanaishi maisha magumu sana. Kwamba huko USA kuna watu hata mlo wa siku kwao ni shida. Kuna watu wanashinda njaa na wanakufa kwa kukosa chakula.
Leo katika uzi huu nitaenda kiundani sana kuiongelea Marekani katika mambo yafuatayo:-
1. Homeless People
2. Transport
3. Food
4. Security
Na mengine mengi tu
Leo katika uzi huu nitaenda kiundani sana kuiongelea Marekani katika mambo yafuatayo:-
1. Homeless People
2. Transport
3. Food
4. Security
Na mengine mengi tu