Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Unafahamu sababu zinazo pelekea mtu kuwa homeless USA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioUnafahamu sababu zinazo pelekea mtu kuwa homeless USA?
Ungekuwa una zijua usinge andika huu uzi wako.Ndio
Mbona hujaleta mantik yoyote mfuasi wa marekani?Ungekuwa una zijua usinge andika huu uzi wako.
Maana hauna mantiki.
Sawa kijana wa mama Ngina.Ukifika kwenye maskini uniite maana naona unatumia nguvu nyingi kwa mlivyoaminishwa wazee wa death to America.
Ukifika kwenye maskini uniite maana naona unatumia nguvu nyingi kwa mlivyoaminishwa wazee wa death to America.
Hawa masikini wanawaka kuliko teacher wa bongo, cheki masikini wetu
This is Tanzania
Sawa kijana wa mama Ngina.
Watu zaidi ya milioni 46 hawana msosi huko marekani halafu bado jamaa anajiita supa pawa 🤣 🤣 🤣 najua ndoto yako ni kwenda kukaa marekani
View attachment 2712365
Mtoto wa mama Ngina unasumbua sana.Ndio ndoto ya hata nyie wavaa makanzu, huwa mnapatamani sana USA baby..japo mkikataliwa visa mnabwatuka "death to America"...
Soma data yako imeeleza definition ya hiyo low food security, sio sawa na njaa ya kwetu hapa Afrika, ni level tofauti sana.
Mtoto wa mama Ngina unasumbua sana.
Yaani niondoke kutoka kwenye nchi ya amani niende kwenye nchi inayoua watu wake kila siku. Huu utakuwa ni upumbavu. Je, wewe ni mpumbavu?
Nimekuamba, wenye ndoto ya kwenda USA ni ninyi wavivu na mashoga. Sisi wenye uwezo wetu our dream country is Tanzania.Mkikataliwa visa hua mnatukana sana....
Kuna mnatamani bora hata mkaishi kama mbwa wa Marekani....kuliko umaskini wenu hapo.
Nimekuamba, wenye ndoto ya kwenda USA ni ninyi wavivu na mashoga. Sisi wenye uwezo wetu our dream country is Tanzania.
Vipi kunyatalk.com imekufa?
Mdogo wangu hebu kaa kimya. Shughulikia kwanza mambo ya kibera Slums.Mashoga wengi mlioshindwa kwenda USA huwa mnakutwa na hao wazungu mnaliwa huko Pwani ambapo dini yenu ipo sana tu.