Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahah Dah mzee mwenzagu kama unayajua yote haya nakushauri OA aisee 😂😂.Inspector Haroun kwenye ngoma ya nje ndani kuna sehemu aliimba;
"Shuruba sio bongo hata UK, New York, Stockholm hilo lazima ufahamu
haujawahi kusikia mtu kalala njaa ndani ya Paris Ufaransa? Au kwakuwa mji wa maraha basi unajua watu hawalambi galasa?"
Tumeshakuwa age goo mzee mwenzangu ngoja nitafute mchumba nioe sasa 🤣🤣🤣Ahahahah Dah mzee mwenzagu kama unayajua yote haya nakushauri OA aisee 😂😂.
Umenikumbusha mbali sana.Acha niitafute hii ngoma niiongeze kwenye playlist yangu
kuna msaafu unasema masikini hawatakomaa juu ya nchi hivyo popote pale duniani kwenye nchi yoyote utakuta masikini wapo hivyo ukweli kuwa marekani kwa sasa ni nchi tajiri unaendelea kuwa ukweli!! hata kama kuna masikini ndani ya USA.Tulitegemea supa pawa maisha ya watu wake yawe ni mazuri. Kumbe wapi
Kwahyo US hakuna masikini? Yaani hupendi kusikia kua US kuna umasikini pia?Mods jukwaa la international kuweni active jamani. Mambo ya kipuuzi haya ni kuyaondoa tu.
Nje nje nje ndani,Inspector Haroun kwenye ngoma ya nje ndani kuna sehemu aliimba;
"Shuruba sio bongo hata UK, New York, Stockholm hilo lazima ufahamu
haujawahi kusikia mtu kalala njaa ndani ya Paris Ufaransa? Au kwakuwa mji wa maraha basi unajua watu hawalambi galasa?"
Jamaa wanapenda mno ugomviugomvi na ndio maana wameweka wajeda lundo nje ya nchi yao kwamba kikinuka popote wanakiwasha na ndio maana bajeti ya jeshi lao ni kubwa kuliko ya afyaFedha nyingi ya US zinatumika kugharamia vita na kuangusha serikali halali duniani zilizochaguliwa kihalali.
Bejeti za wizara ya ulinzi huwa ni kubwa kuliko wizara yoyote hata hapa bongo ndivyo ilivyo.Jamaa wanapenda mno ugomviugomvi na ndio maana wameweka wajeda lundo nje ya nchi yao kwamba kikinuka popote wanakiwasha na ndio maana bajeti ya jeshi lao ni kubwa kuliko ya afya
KuuumbeBejeti za wizara ya ulinzi huwa ni kubwa kuliko wizara yoyote hata hapa bongo ndivyo ilivyo.
Duh!ina maana yule masikini wa USA anayelala nje akija hapa Tz kwetu tajiri???njaa ya USA haiumi sana kama ya Africa,Maskini wa USA akija bongo tajiri
Mzee kwanza umekula?.Tulitegemea supa pawa maisha ya watu wake yawe ni mazuri. Kumbe wapi
Mwambie huyo sadistnjaa ya USA haiumi sana kama ya Africa,Maskini wa USA akija bongo tajiri
Yaani mtu analala kwenye mabox unajiita supa pawa 😀 😀 😀 .njaa ya USA haiumi sana kama ya Africa,Maskini wa USA akija bongo tajiri