Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
uzi tayari, au umeanza na picha kwanzaKuna watu wanaweza wakashangaa sana kuona USA kuna watu wanaishi maisha magumu sana. Kwamba huko USA kuna watu hata mlo wa siku kwao ni shida. Kuna watu wanashinda njaa na wanakufa kwa kukosa chakula.
Leo katika uzi huu nitaenda kiundani sana kuiongelea Marekani katika mambo yafuatayo:-
1. Homeless People
2. Transport
3. Food
4. Security
Na mengine mengi tu
View attachment 2711628
Tayari mtu wangu.uzi tayari, au umeanza na picha kwanza
Picha nyingine zinahusu watu walioathiriwa na vimbunga. Ukimaliza za US utuletee na za Mpiji Magohe, Kisukuru na Madibila
Sawa nitakuletea. Je, zile statistics umeziona?Picha nyingine zinahusu watu walioathiriwa na vimbunga. Ukimaliza za US utuletee na za Mpiji Magohe, Kisukuru na Madibila
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Tulitegemea supa pawa maisha ya watu wake yawe ni mazuri. Kumbe wapiLakini bado kwetu Africa kiboko.
.Tulitegemea supa pawa maisha ya watu wake yawe ni mazuri. Kumbe wapi
katika uchumi kuna kitu tushakisoma kinaitwa (HIDDEN POVERTY) Ni njia ambayo serikal nying inaitumia katka hii issue case study nzur ni UNITES STATE OF AMERICA .Kuna watu wanaweza wakashangaa sana kuona USA kuna watu wanaishi maisha magumu sana. Kwamba huko USA kuna watu hata mlo wa siku kwao ni shida. Kuna watu wanashinda njaa na wanakufa kwa kukosa chakula.
Leo katika uzi huu nitaenda kiundani sana kuiongelea Marekani katika mambo yafuatayo:-
1. Homeless People
2. Transport
3. Food
4. Security
Na mengine mengi tu
View attachment 2711628