Ijue USA kwa namna nyingine (Details about USA you don't know)

Maisha ndio yalivyo. Hata apa Dar es salaam Kuna watu wanalala nje na wakati Kila siku anakula cocaine ya Tshs 15,000. Kwa iyo kulala nje no mipango na Wala sio kukosa pesa. Ni mipango tuuu
North Korea hakuna upumbavu kama huo.
 
Ukisikiliza wimbo wa Akon hautoshangaa hayo.

Wao kuishi kwenye Projects ni Umasikini ila kwa huku kwetu ukiishi NHC ni tajiri.
 
Sasa jambo ambalo we tanzanians sijui ni ujinga au nn Umasikini lazma uwepo hio ndio maana ya Uchumi sasa mnataka hao jobless wapew hela na makazi kila nchi zina Useless group of people
USA hata uoneshe upande wake mbya kias gan bado they way good kwenye kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…