mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
- Thread starter
-
- #161
mwendo wa kula makande tu
Hili Maandiko yameliweka vizuri.kwahio siku ya sabato hutakiwi kufanya kazi yoyote?
PoleeeUmetype Sana ila umejikoroga Sana
Mabadiliko ya sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili yalifanywa na Mungu mwenyewe. Kisha hilo kufanyika Yesu aliwatangazia wayahudi kwa maneno na matendo.1.Je kwa Nini tusali Siku ya ufufuo wa Yesu,je ndio maandiko yanatutaka tufanye hivyo?Huoni kwa makusudi kabisa tumeamua kukiuka Amri ya Mungu baba mwenyewe aliyetutaka tusali Sabato?
kwahiyo nikiyafanya hayo yote siku ya jumatano alafu jumamosi nikafanya kazi ntakua nimekosea?Hili Maandiko yameliweka vizuri.
Sio siku ya kufanya kazi za kipato maana ulikuwa umakitafuta siku sita.
1: Ni siku ya kusanyiko takatifu la ibada (Holy Convocation).
2: Ni siku ya kustarehe kwa kuwa na Masa mengi na Mungu na neno lake maana kiukweli hata yeye alijua ulikuwa Bize kutafuta shilingi. Sabato ndio Siku kuu ya mkristo.
3: Ni siku ya Kuwafanyia wengine mema. Kuwapooza wagonjwa, Kuwafungua wanaoteswa na majini na uchawi, kuwapa faraja watu. Kimsingi Fanya yote aliyofanya Yesu siku ya sabato.
Utaona tofauti kubwa sana.
Yasemaje maandiko.kwahiyo nikiyafanya hayo yote siku ya jumatano alafu jumamosi nikafanya kazi ntakua nimekosea?
Hatujadili sabato ya kiyahudi.Poleee
Mabadiliko ya sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili yalifanywa na Mungu mwenyewe. Kisha hilo kufanyika Yesu aliwatangazia wayahudi kwa maneno na matendo.
Kiufupi kabisa. Mwisho wa sabato ya kiyahudi umetangazwa mara nne katika Biblia Na kukuthibitishia hilo zisome sehemu hizo kama zinavofuata hapa. Hosea 2:11, Ebr 4;4-10, Rum 14;4-10 , kol 2:16-17
Sabato imebailishwa na kutangazwa kuwa ilikuwa ni kivuli tu cha mambo yajayo
(rejea kol 2:16-17)
Nanukuu
“16Kwa hiyo mtu asiwahukumu ninyi kuhusu vyakula au vinywaji, au kuhusu kuadhimisha sikukuu za dini, au Sikukuu za Mwandamo wa mwezi au Siku ya Sabato. 17Hizi zilikuwa kivuli cha mambo ambayo yangekuja, lakini ile iliyo halisi imo ndani ya Kristo.”
na hatimaye siku zote zimetangazwa kuwa sawa mbele ya Mingu (rejea Rum 14:4-10)
kiufupi, kwa sababu ya uzito na woga wa kuachana na siku walioizoea kusudi kifuata siku mpa (SIKU YA BWANA), wafuasi wa yesu walikuwa njia panda na hivyo wakawa wanahuduria sabato pamoja na wayahudi wote na SIKU YA BWANA ilipofika wakawa wanajikusanya peke yao ili kusali, kusoma maandishi yao na kumega mkate (rejea matendo 20:7)
Nanukuu “7Siku ya kwanza ya juma tulikutana pamoja kwa ajili ya kumega mkate. Paulo akaongea na watu, naye kwa kuwa alikuwa amekusudia kuondoka kesho yake, aliendelea kuongea mpaka usiku wa manane”
mbona swali laini kabisa hilo!Yasemaje maandiko.
Muasisi wa siku saba za wiki ni Mungu.
Akazitolea Muongozo.
Wewe na Mungu wako nani anaakili kuliko mwenzake?
Samahani kama swali ni Kali kidogo.
Ratiba ya Mungu ndio inatakiwa ipange ratiba ya kazi. Na ratiba ya Mungu ilishatolewa tangu Eden haihitaji maboresho.mbona swali laini kabisa hilo!
Maana yangu ni kuwa mimi jumatano ndo nimeamua kuifanya kama jumamosi yako kutokana na ratiba zangu na kazi zangu, sipangiwi juma linaanza lini wala linaisha lini. Muda wowote kazi muda wowote weekend jumatano naifanya kama jumamosi yako, hapo vip? (in Makongoro's voice)
Acha kuhalalisha uvunjaji wa amri ya Mungu kwa kuweka vifungu nusunusu...sis tukubali tu,tunafuata mapokeo kutoka kwa Warumi waliokuwa wakimuabudu Mungu jua siku ya jumapili full stop.Poleee
Mabadiliko ya sabato kutoka jumamosi kwenda jumapili yalifanywa na Mungu mwenyewe. Kisha hilo kufanyika Yesu aliwatangazia wayahudi kwa maneno na matendo.
Kiufupi kabisa. Mwisho wa sabato ya kiyahudi umetangazwa mara nne katika Biblia Na kukuthibitishia hilo zisome sehemu hizo kama zinavofuata hapa. Hosea 2:11, Ebr 4;4-10, Rum 14;4-10 , kol 2:16-17
Sabato imebailishwa na kutangazwa kuwa ilikuwa ni kivuli tu cha mambo yajayo
(rejea kol 2:16-17)
Nanukuu
“16Kwa hiyo mtu asiwahukumu ninyi kuhusu vyakula au vinywaji, au kuhusu kuadhimisha sikukuu za dini, au Sikukuu za Mwandamo wa mwezi au Siku ya Sabato. 17Hizi zilikuwa kivuli cha mambo ambayo yangekuja, lakini ile iliyo halisi imo ndani ya Kristo.”
na hatimaye siku zote zimetangazwa kuwa sawa mbele ya Mingu (rejea Rum 14:4-10)
kiufupi, kwa sababu ya uzito na woga wa kuachana na siku walioizoea kusudi kifuata siku mpa (SIKU YA BWANA), wafuasi wa yesu walikuwa njia panda na hivyo wakawa wanahuduria sabato pamoja na wayahudi wote na SIKU YA BWANA ilipofika wakawa wanajikusanya peke yao ili kusali, kusoma maandishi yao na kumega mkate (rejea matendo 20:7)
Nanukuu “7Siku ya kwanza ya juma tulikutana pamoja kwa ajili ya kumega mkate. Paulo akaongea na watu, naye kwa kuwa alikuwa amekusudia kuondoka kesho yake, aliendelea kuongea mpaka usiku wa manane”
Torati 5:12-15 “Ishike siku ya sabato uitakase-siku hiyo usifanye kazi yoyote-Nawe utakumbuka ya kuwa wewe ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri-Mungu wako alikutoa huko kwa mkono wenye nguvu- Kwa sababu hiyo Bwan Mungu wako, alikuamuru uishike sabato.”2.Unaposema Sabato Ni Siku ya kumbukumbu ya Wayahudi kutolewa Misri wewe hili andiko umelitoa wapi?he
Ndio3.Unalewa maana ya Passover?
Joannah Hili sioni kama lina mantiki yeyote.4.Halafu hapo unapouliza wakristo wote tulikombolewa toka lini kutoka Misri ukimaanisha sisi sio Wayahudi,Sasa mbona unamuamini mesiah ambaye Ni myahudi
Wewe Ni mlokole?samahani lakini naomba nijibu kwa haki na kweli.Torati 5:12-15 “Ishike siku ya sabato uitakase-siku hiyo usifanye kazi yoyote-Nawe utakumbuka ya kuwa wewe ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri-Mungu wako alikutoa huko kwa mkono wenye nguvu- Kwa sababu hiyo Bwan Mungu wako, alikuamuru uishike sabato.”
Ndio
Joannah Hili sioni kama lina mantiki yeyote.
Kwa logic ya kawaida tu unapotaka kuanza shughuli au kazi fulani lazima upange point ya kuanzia na ujue ni wapi utaishia au kumalizia.
Mfano umeenda shambani lazima uanzie sehemu au kona fulani kulima kisha umalizie kona fulani HUWEZI ANZA LIMA SHAMBA LOTE KWA MARA MOJA AU KWA PAMOJA.
Sasa basi Mungu naye alikuwa na shughuli nasi wanadamu ya kutukomboa toka katika utumwa wa dhambi hivyo point aliyoona kuanzia au sehemu alipoona yeye ni sahihi kwa kuanza shughuli yake ya kumkomboa mwanadamu ni kwa wayahudi (na sababu zipo kadhaa wa kadhaa why alianzia huko) baada ya miaka zaidi ya 2000 leo shughuli au kazi ya kumkomboa mwanadamu yoka katika utumwa wa dhambi imeenea dunia nzima hivyo tunaweza kusema kuwa amefanikiwa kwa 100% shughuli alioianzisha ya ukombozi toka katika utumwa wa dhambi. Kwani mpaka mimi na wewe ambao hata hatujawahi kanyaga iyo ardhi ya wayahudi tumemfahamu vyema huyo yesu na kuonja mapato ya jazi yake ya ukombozi wa mwanadamu
Nafikiri hapo kwenye kumuamini yesu ambaye ni myahudi nimekujibu
Hope nimekujibu vyema.Acha kuhalalisha uvunjaji wa amri ya Mungu kwa kuweka vifungu nusunusu...sis tukubali tu,tunafuata mapokeo kutoka kwa Warumi waliokuwa wakimuabudu Mungu jua siku ya jumapili full stop.
Hapana mimi sio mlokoleWewe Ni mlokole?samahani lakini naomba nijibu kwa haki na kweli.
Bado unahitaji muda wa ziada kutafakari na kutafuta kweli..nimekuuliza wewe Ni mlokole kwa Sababu walokole wengi Wanapenda kukata vifungu vidogo na kunitumia Kama point ya kuhalalisha Mambo.sasa nimeona hii kitu pia kwako.Hapana mimi sio mlokole
Hujanijibu kwa viwango hata kidogo,.Hope nimekujibu vyema.
Binafsi naweza kukubali kwa maandiko tuu na sio maneno matupu.
Ratiba ya Mungu ndio inatakiwa ipange ratiba ya kazi. Na ratiba ya Mungu ilishatolewa tangu Eden haihitaji maboresho.
Ni kosa. Badili ratiba ya kazi ifuate ratiba ya Mungu aliyekupa Kazi, nguvu na Pumzi yako na hiyo bosi.
Ratiba ya Mungu ndio inatakiwa ipange ratiba ya kazi. Na ratiba ya Mungu ilishatolewa tangu Eden haihitaji maboresho.
Ni kosa. Badili ratiba ya kazi ifuate ratiba ya Mungu aliyekupa Kazi, nguvu na Pumzi yako na hiyo bosi.
Kukopi sura nzima na kukuwekea humu sifikirii kama ni kitu sahihi, ndio maana hata biblia yenyewe imegawanywa katika mistariii na aya.Bado unahitaji muda wa ziada kutafakari na kutafuta kweli..nimekuuliza wewe Ni mlokole kwa Sababu walokole wengi Wanapenda kukata vifungu vidogo na kunitumia Kama point ya kuhalalisha Mambo.sasa nimeona hii kitu pia kwako.
Na Hellen G white ni mwebrania??1. MMEJENGWA JUU YA MSINGI WA MITUME NA MANABII NA YESU KRISTO MWENYEWE NDIYE JIWE KUU LA PEMBENI
(MITUME NA MANABII WOTE NA YESU WALIKUWA WAEBRANIA) - WAEFESO 2:20
2.NINYI MNAABUDU MSICHOKIJUA,SISI TUNAABUDU TUKIJUACHO KWA KUWA WOKOVU WATOKA KWA WAYAHUDI -(MANENO YA YESU MWENYEWE) YOHANA 4: 22
IKIWA "SABATO" NI KWA AJILI YA WAEBRANIA BASI NI DHAHIRI INANIHUSU PIA,MAANA MITUME,MANABII NA YESU MWENYEWE WOTE NI WAEBRANIA.
NA WOTE WALIPUMZIKA JUMAMOSI (SABATO) SIO JUMAPILI (SIKU YA KWANZA YA JUMA).
LUKA 23 :54 - 56.
54Siku hiyo ilikuwa Ijumaa, na maandalio ya siku ya Sabato yalikuwa yanaanza.
55Wale wanawake walioandamana na Yesu kutoka Galilaya walimfuata Yosefu, wakaliona lile kaburi na jinsi mwili wake Yesu ulivyowekwa.
56Halafu, walirudi nyumbani, wakatayarisha manukato na marashi ya kuupaka mwili wa Yesu.
Siku ya Sabato walipumzika kama ilivyoamriwa na sheria.
1: Kwa sababu Paulo alikuwa anaongea na watu wa kanisani wanaojua maandiko. Hizo tofauti kati ya siku na siku ni siku ambazo hazinauhusiano na Mungu alivyoelekeza. Maana hapo nazungumzia mtu hivyo hizo tofauti ni nje ya maagizo ya Mungu. Ndio maana na Mimi nimemwambia siku ya jumatano huwa nasalikama mtu na sihukumu anayesali jumanne, au pia tunasali jumapili asubuhi. Hizo zote hazina uhusiano na agizo la Mungu la sabato.Mkuu hivi anachojaribu kusema huyo mchangiaji kinaweza kuwa na uhisiano na
Warumi : 14 : 5 - Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe.
Naomba pia ufafanuzi wa
Wakolosai : 2 : 16 - Basi, mtu asiwahukumu ninyi katika vyakula au vinywaji, au kwa sababu ya sikukuu au mwandamo wa mwezi, au sabato;
Mtume paulo alikuwa na maana gani kwenye hilo andiko
HahahaHujanijibu kwa viwango hata kidogo,.